Boeing 747
JF-Expert Member
- Mar 30, 2018
- 3,510
- 9,349
Ikishafikia point ya kuandikiwa cheti, aisee hicho ni chako..msela anakuacha kama hakujui.... anashuka anakuachia ka msala kako.. noma tupu
Ikishafikia point ya kuandikiwa cheti, aisee hicho ni chako..msela anakuacha kama hakujui.... anashuka anakuachia ka msala kako.. noma tupu
Kibongi bongo wanabanana na dereva wanajua ndiyo rahisi kumbana kuliko abiria...Kwani seat belt ni kosa la asievaa au dereva? UK kama asievaa belt kavuka 18yrs anapigwa yeye fine,kama ni underage ndio dereva unawwjibika!
Yes yes mkuu nakubaliana na wewe....askari wa kike balaa....ukikutana na wale wamama wanaokaribia kustaafu, wanakuwa na roho ya kutu sana..Sio kwamba jinsia tu ndo inahusika???
Ukikutana na askari sister du hakuachii wewe
Madereva wakishazoea hiyo 30, askari wanahamisha kibandaWa huku dar naona kwa sasa malori na mabasi ya morogoro road yanawatosha.
Hawafuatilii vibao vya 30, na Mungu awaongoze waendelee hivyo hivyo.
Siku wakiamua kimara-kibaha, mwenge-morocco, kilwa road yani ni vichwa tu
..please weka pic ya sister hapa tumpe credits zake...Road trip yangu ilikuwa Dar - Moro, wakati wa Moro - Dar nilirudi na bus.
Nilikuwa na sister, mzigo ulikuwa ni Athlete. I enjoyed the trip.... Crown tamu aisee ile comfortability yake si mchezo, yan sometimes inavutwa mpaka anavuka 140 lakini nafeel kama bado yuko kwa 80. Sis angu akiwa barabarani ni anadrive kama mwanaume, hanaga wasiwasi na traffic kabisa.
Another trip was Dar to Arusha na Kidia one. Ilikuwa Poa kiasi, Shekilango tulitoka 06:00 kufikia saa kumi na dk 29 tulikuwa around Tengeru. Napenda ile view ya Wami, Tanga ile milima, na wapi pale kunakuwaga na mashamba kibao ya katani, Mombo nk
Bado nasisitiza...kuna Afande masai akikukamata huna bahatiI mean akishindwa kumpanga traffic mpaka aandikiwe cheti
Sasa inabidi umrudie umwambie hata sahmahani, roho itatuliaDuh leo nimetenda dhambi roho imeniuma sana. Nilikuwa na gari sijaizoe. Taa ya mafuta imewaka range inanionesha nina km20 tu. Nikaamua niweke mafuta ya kunifikisha home tu nikaweka 10,000 nilijua itaongeza range hadi km60 hivi. Baada ya kuweka mshale haukusogea wala range haikubadilika. Nikaenda ninapoenda range inashuka.
Kurudi nikapita njia ile ile range iko 14, nikapita pale kituo cha mafuta nikamwambia Yule dada nimeweka mafuta hapa kwako lakini gauge haikupanda wala kuonesha kuna mafuta yameingia, umeniibia! Dada Yule akasema sijakuibia nimekuwekea hela ulionipa nikamwambia haiwezekani kusiwe na mabadiliko kwenye gauge, ikabidi niende kituo kingine nikaweka 10, aisee gauge ikakurupuka ikapanda sana na range ikaja kwenye 110km. Hapo nikajua ni kweli aliweka mafuta nimemsingizia tu. Nimejisikia vibaya sana.
Ngoja kwanza game ya Simba na Yanga iishe. 😁Bado nasisitiza...kuna Afande masai akikukamata huna bahati
Naangalia hii mechi tumbo linatetema kama engine ambayo haichomi plug moja..Ngoja kwanza game ya Simba na Yanga iishe.
Ulipotelea wapi dea jomoneeeh, mie had huku naumwa lol.Ngoja kwanza game ya Simba na Yanga iishe.
Ni halftime sasa.Naangalia hii mechi tumbo linatetema kama engine ambayo haichomi plug moja..
Nipo dia. Heri ya mwaka mpya.Ulipotelea wapi dea jomoneeeh, mie had huku naumwa lol.
Mwaka mpya kwangu uko vizuri, naamin nawe pia ni hvyo.Nipo dia. Heri ya mwaka mpya.
@Depal mshiki..View attachment 1676786
Naelewa, maana si kwa ule mtelezo wake. Ye mwenyewe atakuwa anajua maana ni wale madada wa mjini mjini kiasi
Majuzi tu hapo imepitiwa kidogo. Ila hii ya mshikaji
Nipo Arusha..Unasemaje?
Nimeumia mechi ilee..Ni halftime sasa.
Refa anazingua, simba wanaonewa bana.
Andaa trip basi,Kwani si tushamaliza kulipa ada?
Kwetu wapi tena jamani?Nipo Arusha..
nina simulizi tamu ya safari yangu jana..
kutoka nilipotoka hadi hapa kwenu