FaizaFoxy
Platinum Member
- Apr 13, 2011
- 92,894
- 109,227
- Thread starter
- #141
kweli huwa mchungu. Hata wewe na mimi na mwengine yeyote yule, tutapotapoondoka kuelekea ahaera unafikiri tutakuwa na chochote tena duniani? Utakuwa huna chako wala lako.Aiseeeeee ...kumtetea kote like!😅
Huo ndio ukweli wa maisha kwa sote. Ni nini cha ajabu hapo?