Hazard CFC
JF-Expert Member
- Apr 7, 2015
- 16,615
- 38,589
Kuloga tu ndio kutaiokoa cty
Man united ingekua liver basi kesho basi la nguvu lingepakiwa na kuhakikisha tunatoka suluhu ya bila bila!!Hali tete sana .... kama una la kumshauri Guadiola hebu weka maoni yako hapa huenda kuna mtu akayaona akampelekea ili ayafanyie kazi kesho.
Chelsea ndo alifungwa 3-1 ufaransaMpira hautabiriki,kuna mwaka flan sikumbuki vizuri Ila Chelsea alicheza na PSG kule ufaransa na chelsea alishinda goli 3-1 Ila cha ajabu PSG walipokwenda England walirudisha goli zote Na wakapita kwenda semi- final......so kwa city pia msishangae akapita Na kumbukeni kwamba city nayo imejaa mafundi.
Tukutane baada ya gemuLabda kumuana refa mapema atoe kadi ya njano asubuhi asubuhi.
alisikika akimkoromea team captainLet me talk, let me talk, let me talk by Debruyne
mkuu uko serious?Liverpool atapigwa nyingi sana. Aggregate itakuwa 4:3
Cha kumshauri ni asiingize timu uwanjani!!
l'pool hawezi shinda mzee