Wazee wa Etihad, nini kifanyike kesho tutoboe UEFA?

Nachoweza kumshauri Guardiola ni kuwa aingie kama mechi nyingine tu asije na tatctic kama alizotumia juzi za kumjazia dogo Alexander Arnold wale wakali wake akina Sane, KDB na Silva akidhani kuwa ndio weak link ya defense ya Liverpool matokeo yake mbinu imemtia aibu.

Ajaribu kucheza mchezo balanced ana amwanzishe chura sterling ili tuone anavyopewa vitasa na Robertson

Pili mwambie sasa hivi Liverpool imepata kiranja pale nyuma anaitwa vVD hivyo akumbuke first leg hawakupiga hata shot moja on target. Wajaribu kupiga za mbali.

Pia waambie wasifanye fitna kwa mashabiki wa Liverpool na wasinaribu kuiga walichokifanya mashabiki wa Liverpool kwenye kuzipokea team maana wale ni wahuni haijawahi kutokea.

Man City akishinda labda atapata draw. Liverpool anashinda kwa mbembwe zote. Kama unaweka mkeka weka hata mke au nyumba
Walioweka mkeka nipeni hela kidogo ya supu wakuu
 
Back
Top Bottom