3llyEmma
JF-Expert Member
- Oct 23, 2017
- 6,172
- 6,882
Sikuwa wrong...Angekuwa na messi ningemshauri ila kwa kuwa hata mo sarah si wa upande wake.. pole yake ajaribu mwaka ujao
Sikuwa wrong...Angekuwa na messi ningemshauri ila kwa kuwa hata mo sarah si wa upande wake.. pole yake ajaribu mwaka ujao
Ushauri wako umefanikiwa.. na livar wakafunguka vp hapoWafunge goli ndani ya dak15 first half.
Hii itawanya liverpool wafunguke mapema.
Man city kashakua mteja wa majogoo aseee yani nje ndani ni aibuUpo?
mngeenda kwa mganga mngefuzuHali tete sana .... kama una la kumshauri Guadiola hebu weka maoni yako hapa huenda kuna mtu akayaona akampelekea ili ayafanyie kazi kesho.
Correct score 5-1
Mark my word
Mo salah yule anaskills kama messi aseee, sio kwa magoli yale!!!
Walioweka mkeka nipeni hela kidogo ya supu wakuuNachoweza kumshauri Guardiola ni kuwa aingie kama mechi nyingine tu asije na tatctic kama alizotumia juzi za kumjazia dogo Alexander Arnold wale wakali wake akina Sane, KDB na Silva akidhani kuwa ndio weak link ya defense ya Liverpool matokeo yake mbinu imemtia aibu.
Ajaribu kucheza mchezo balanced ana amwanzishe chura sterling ili tuone anavyopewa vitasa na Robertson
Pili mwambie sasa hivi Liverpool imepata kiranja pale nyuma anaitwa vVD hivyo akumbuke first leg hawakupiga hata shot moja on target. Wajaribu kupiga za mbali.
Pia waambie wasifanye fitna kwa mashabiki wa Liverpool na wasinaribu kuiga walichokifanya mashabiki wa Liverpool kwenye kuzipokea team maana wale ni wahuni haijawahi kutokea.
Man City akishinda labda atapata draw. Liverpool anashinda kwa mbembwe zote. Kama unaweka mkeka weka hata mke au nyumba
Naona kashindwa hivi nyie mnamjua Klopp au mnamsikia?l'pool hawezi shinda mzee
Vice versaMan city atashinda mbili na liva kuku atapata bao moja tu