Wazee wa Etihad, nini kifanyike kesho tutoboe UEFA?

Mpira hautabiriki,kuna mwaka flan sikumbuki vizuri Ila Chelsea alicheza na PSG kule ufaransa na chelsea alishinda goli 3-1 Ila cha ajabu PSG walipokwenda England walirudisha goli zote Na wakapita kwenda semi- final......so kwa city pia msishangae akapita Na kumbukeni kwamba city nayo imejaa mafundi.
 
Nachoweza kumshauri Guardiola ni kuwa aingie kama mechi nyingine tu asije na tatctic kama alizotumia juzi za kumjazia dogo Alexander Arnold wale wakali wake akina Sane, KDB na Silva akidhani kuwa ndio weak link ya defense ya Liverpool matokeo yake mbinu imemtia aibu.

Ajaribu kucheza mchezo balanced ana amwanzishe chura sterling ili tuone anavyopewa vitasa na Robertson

Pili mwambie sasa hivi Liverpool imepata kiranja pale nyuma anaitwa vVD hivyo akumbuke first leg hawakupiga hata shot moja on target. Wajaribu kupiga za mbali.

Pia waambie wasifanye fitna kwa mashabiki wa Liverpool na wasinaribu kuiga walichokifanya mashabiki wa Liverpool kwenye kuzipokea team maana wale ni wahuni haijawahi kutokea.

Man City akishinda labda atapata draw. Liverpool anashinda kwa mbembwe zote. Kama unaweka mkeka weka hata mke au nyumba
l'pool hawezi shinda mzee
 
Siku ile angepata goli moja tuu..angepita..kitendo cha kutopata goli moja la ugenini itamkost sana
 
Yaani kitendo cha kupigwa 3 bila ni kosa kubwa sana. Cha msingi akafunguke acheze mpira haswaaa maana hana sababu ya kujilinda.

Kwenye mpira yote yanawezekana na kuhakikisha hilo PSG analijua hilo
Kwa Salah akifunguka kinyumbu atalokota kunyavu hadi aibu!
 
Nachoweza kumshauri Guardiola ni kuwa aingie kama mechi nyingine tu asije na tatctic kama alizotumia juzi za kumjazia dogo Alexander Arnold wale wakali wake akina Sane, KDB na Silva akidhani kuwa ndio weak link ya defense ya Liverpool matokeo yake mbinu imemtia aibu.

Ajaribu kucheza mchezo balanced ana amwanzishe chura sterling ili tuone anavyopewa vitasa na Robertson

Pili mwambie sasa hivi Liverpool imepata kiranja pale nyuma anaitwa vVD hivyo akumbuke first leg hawakupiga hata shot moja on target. Wajaribu kupiga za mbali.

Pia waambie wasifanye fitna kwa mashabiki wa Liverpool na wasinaribu kuiga walichokifanya mashabiki wa Liverpool kwenye kuzipokea team maana wale ni wahuni haijawahi kutokea.

Man City akishinda labda atapata draw. Liverpool anashinda kwa mbembwe zote. Kama unaweka mkeka weka hata mke au nyumba[/QUOTE mkuu chura sterling ndio nini
 
Back
Top Bottom