Koplo prof
Senior Member
- May 7, 2017
- 175
- 139
Liverpool atapigwa nyingi sana. Aggregate itakuwa 4:3
l'pool hawezi shinda mzeeNachoweza kumshauri Guardiola ni kuwa aingie kama mechi nyingine tu asije na tatctic kama alizotumia juzi za kumjazia dogo Alexander Arnold wale wakali wake akina Sane, KDB na Silva akidhani kuwa ndio weak link ya defense ya Liverpool matokeo yake mbinu imemtia aibu.
Ajaribu kucheza mchezo balanced ana amwanzishe chura sterling ili tuone anavyopewa vitasa na Robertson
Pili mwambie sasa hivi Liverpool imepata kiranja pale nyuma anaitwa vVD hivyo akumbuke first leg hawakupiga hata shot moja on target. Wajaribu kupiga za mbali.
Pia waambie wasifanye fitna kwa mashabiki wa Liverpool na wasinaribu kuiga walichokifanya mashabiki wa Liverpool kwenye kuzipokea team maana wale ni wahuni haijawahi kutokea.
Man City akishinda labda atapata draw. Liverpool anashinda kwa mbembwe zote. Kama unaweka mkeka weka hata mke au nyumba
Wakalale kwa babu awapasulie nazi za ugoko kwa kila mchezajiHali tete sana .... kama una la kumshauri Guadiola hebu weka maoni yako hapa huenda kuna mtu akayaona akampelekea ili ayafanyie kazi kesho.
Kwa Salah akifunguka kinyumbu atalokota kunyavu hadi aibu!Yaani kitendo cha kupigwa 3 bila ni kosa kubwa sana. Cha msingi akafunguke acheze mpira haswaaa maana hana sababu ya kujilinda.
Kwenye mpira yote yanawezekana na kuhakikisha hilo PSG analijua hilo
Atakuwa ametupwa nje ya mashindano maana mpaka sasa aggregate inasoma 3-0 kwa hiyo akiruhusu hiyo 5-4 mwenzake atakuwa name aggregate ya 5-7 upo hapo? Ili asonge mbele anatakiwa ashinde 4-0kitu anaweza man city labda kushinda 5-4
Labda kumuona refa mapema atoe kadi nyekundu mbili asubuhi asubuhi.Liverpool atapigwa nyingi sana. Aggregate itakuwa 4:3
Nachoweza kumshauri Guardiola ni kuwa aingie kama mechi nyingine tu asije na tatctic kama alizotumia juzi za kumjazia dogo Alexander Arnold wale wakali wake akina Sane, KDB na Silva akidhani kuwa ndio weak link ya defense ya Liverpool matokeo yake mbinu imemtia aibu.
Ajaribu kucheza mchezo balanced ana amwanzishe chura sterling ili tuone anavyopewa vitasa na Robertson
Pili mwambie sasa hivi Liverpool imepata kiranja pale nyuma anaitwa vVD hivyo akumbuke first leg hawakupiga hata shot moja on target. Wajaribu kupiga za mbali.
Pia waambie wasifanye fitna kwa mashabiki wa Liverpool na wasinaribu kuiga walichokifanya mashabiki wa Liverpool kwenye kuzipokea team maana wale ni wahuni haijawahi kutokea.
Man City akishinda labda atapata draw. Liverpool anashinda kwa mbembwe zote. Kama unaweka mkeka weka hata mke au nyumba[/QUOTE mkuu chura sterling ndio nini
Nimecheka sana mkuu...you have made my day!Ni kumsomea Albadiri yule nuksi mwarab wa Liver ashindwe kucheza
Man City ndiyo wenye shida ya kufunguka...Wafunge goli ndani ya dak15 first half.
Hii itawanya liverpool wafunguke mapema.