Wazee wa CHADEMA wakutana na Dr. Slaa leo

Wazee wa CHADEMA wakutana na Dr. Slaa leo

Mazungumzo yameisha salama mungu mkubwa na dr slaa atarejea kazini muda si mrefu kuendelea na majukumu yake ya kichama.

Nitawawekea picha baadae kidogo.

Wito kwa wana chadema tujifunze uvumilivu wa kisiasa tuache siasa za kufata mkumbo na tuwe na heshima kwa wazee wa chama.

Ninashukuru kwamba unakiri kuwapo mgogoro wa kimaslahi kati ya Dr Slaa na Mbowe. Mwanzo wafuasi wa Chadema walibisha na kudiriki kusema gazeti la raia Tanzania lifungiwe. Kweli muda hauna RAFIKI.
 
mwaka huu mtataga magamba nyie

Cdm hakuna magamba, yeye akiondoka ndiye atakaye kwenda kuota magamba pamoja na wafuasi wake. Akibembelezwa sana atajiona mungu mtu. Imani ya kuwang'oa ccm Ipo bila dr, Tulisha wachoka.
 
kama ni kweli moyo wangu nilikuwa nimeuazima hebu niuludishe maana niliumia sana, sasa safi nitaurejesha kesho, nitakuwa nashangilia vitu viwili kumwona slaa katika sura ya upendo na pia kuona maccm yakihuzunika kwa propoganda kufeli na gazeti lao uchwara Raia mwema na Raia Tanzania kupelekwa burundi zaidi
 
Believe Pisto Lero.Your post has blessed me very much.
Mazungumzo yameisha salama mungu mkubwa na dr slaa atarejea kazini muda si mrefu kuendelea na majukumu yake ya kichama.

Nitawawekea picha baadae kidogo.

Wito kwa wana chadema tujifunze uvumilivu wa kisiasa tuache siasa za kufata mkumbo na tuwe na heshima kwa wazee wa chama.
attachment.php
 
Lawama zote za watanzania endapo ukawa itashindwa lazima zidondokee dr slaa, na haizitafutika ktk historia ya Tanzania yetu na zitakuwa na madhara makubwa sana kwake. Anatakiwa kufikiria mara mbili na kutafakari kwa makini.
 
Kawaida maombi ya wenye haki hujibiwa na MUNGU kwa utashi wa waombaji. Watu walikesha kuomba pepo mchafu asiwavurugr CHADEMA hatimaye maombi yao yamejibiwa..
#teammabadirikodaima
 
Mazungumzo yameisha salama mungu mkubwa na dr slaa atarejea kazini muda si mrefu kuendelea na majukumu yake ya kichama.

Nitawawekea picha baadae kidogo.

Wito kwa wana chadema tujifunze uvumilivu wa kisiasa tuache siasa za kufata mkumbo na tuwe na heshima kwa wazee wa chama.
attachment.php

Lete picha sasa muda unaenda
 
Hizi stori tumezichoka. mara leo kuwepo kwenye vikao vya chama mara amezungumza na wazee

Unajichosha mwenyewe kwa kuendelea kuzisoma, puuza tu na uendelee kusoma stori nyingine. Mbona stori zipo nyingi tu?
 
Huyu Dr.ni wa muhimu kipindi hiki kuliko kipindi kingine chote alicho hudumu chama.Kwa kuiondoa Ccm madarakani,ni lazima arejeshwe relini mapema iwezekanavyo
 
Mkuu PISTO LERO naomba kukuhakikishia kuwa hakuna mwana cdm wa kweli,hakuna aliye kuwa against na Dr slaa,hao wote unao waona wanatukana au kushinikiza mambo ya kijinga ni ingizo la Lumumba kutaka kuchafua hali ya hewa ndani ya cdm kwa makusudi hata hivyo makamanda tupo macho na ikibidi kukesha kuhakikisha tuna zuia upotoshaji huo kwa kueleza ukweli kwa watanzania wapenda mageuzi ya kweli

Uko sahihi sana mkuu,vijana wa lumumba wamemwaga humu kuleta propaganda chafu hata usalama wa taifa nao wameingia kwenye mtego
 
Mkuu dr yupo ndani ya cdm

Haya maneno yananipa matumaini lakini ya mashaka sana! Niko kwenye maombi hali bado si nzuri tunapozana humu ndani lakini naumia sana Dr wangu slaa anapumzika siasa.
 
Back
Top Bottom