bakarikarayi
Member
- Aug 2, 2015
- 9
- 11
Kwani tatizo hadi akafatwa na wazee ilikuwa nini.
Mazungumzo ya nini mnamuomba msamaha, mimi napenda Dr.Slaa arudi Chadema kuendelea kumnadi Lowassa.Mazungumzo yameisha salama mungu mkubwa na dr slaa atarejea kazini muda si mrefu kuendelea na majukumu yake ya kichama.
Nitawawekea picha baadae kidogo.
Wito kwa wana chadema tujifunze uvumilivu wa kisiasa tuache siasa za kufata mkumbo na tuwe na heshima kwa wazee wa chama.
Mazungumzo yameisha salama mungu mkubwa na dr slaa atarejea kazini muda si mrefu kuendelea na majukumu yake ya kichama.
Nitawawekea picha baadae kidogo.
Wito kwa wana chadema tujifunze uvumilivu wa kisiasa tuache siasa za kufata mkumbo na tuwe na heshima kwa wazee wa chama.
Mazungumzo yameisha salama mungu mkubwa na dr slaa atarejea kazini muda si mrefu kuendelea na majukumu yake ya kichama.
Nitawawekea picha baadae kidogo.
Wito kwa wana chadema tujifunze uvumilivu wa kisiasa tuache siasa za kufata mkumbo na tuwe na heshima kwa wazee wa chama.
make sure unaongea u kweli..mmezidi uzushi humu
Mazungumzo yameisha salama mungu mkubwa na dr slaa atarejea kazini muda si mrefu kuendelea na majukumu yake ya kichama.
Nitawawekea picha baadae kidogo.
Wito kwa wana chadema tujifunze uvumilivu wa kisiasa tuache siasa za kufata mkumbo na tuwe na heshima kwa wazee wa chama.
Kwenye "wito" umeonyesha udhaifu wa akili yako, maana ni kama vile unamnanga Dr.
Dk ameonyesha udhaifu.
Ngoja aje awashushue hao wazee pamoja na we mwenyewe
Mungi naye ni pandikizi la CCM?Jaman weng wanaoongea vibaya humu sio CDM ni mapandikiz tu ila kwa mwanachama wa cdm kabisa kabisa hawez kumsema vibaya mzee wetu dr slaa, Tunakuhitaj sana dr rudi tuendeleee na harakat za ukomboz dr