Wazazi wenye wanafunzi waliofutiwa matokeo ya Darasa la Saba 2022 tukutane hapa tutiane moyo

Jecha alipofuta matokeo ya urais zenj, maalim aliapishwa kuwa rais smz na mwenyekiti wa baraza la mapinduzi?
 
Hajadanganya,kuna utaratibu wao ambao wanapaswa kuufuata na watapewa na Baraza,hakuna anaekuja tu na kusoma bila kupitia pale NECTA kama mwisho wa siku utataka afanye mitihani ya Baraza.Inawezekana tu kama mtoto wako utataka asome mitaala ya Cambridge ambayo iko nnje ya NECTA
anabishana na miye niliye jikoni nakua Kila kitu daahh...Bora umenisaidia

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
 
Mfano mimi mtoto wangu kafutiwa matokeo ila prem Number ipo, japo haina matokeo (W) je anaweza endelea std 7 au inapaswa arudie Darasa std7
Shule atakayoenda pia itahitajika tsm 9 mwanao Hana,kurudia hakuepukiki labda km baraza wawape tamko kuhusu watoto wenu ila Sasa hivi ht mwanao akienda private tsm 9 inaenda huko poa
Naomba ukipata muda tafuta shule ya sekondari karibu nenda kaulize kwa uhakika zaidi maana humu tunaonekana waongo

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
 
Inategemea na sababu zilizopelekea kufutiwa hayo matokeo.Si kweli kuwa ukienda pale una uhakika wa kupewa hayo matokeo.Cha muhimu tu ni kwemda ili upate uhalisia lakini pia na hatma ya watoto wenu itakuwaje? Nachokiona hapa ni watoto kurudia mitihani tu swala linakuwa watarudia lini,mwaka huu au watasubiri tena Next year which is the worst case scenario kwa mtoto kupoteza mwaka mzima tena
Mbona ukisikiliza yule Boss wa Necta kasema hao wanafunzi wamefutiwa sababu ya kuiba mitihani?
Wanafunzi ndo wameiba na shule zimehusika

Sent from my M2006C3LG using JamiiForums mobile app
 
Shule atakayoenda pia itahitajika tsm 9 mwanao Hana,kurudia hakuepukiki labda km baraza wawape tamko kuhusu watoto wenu ila Sasa hivi ht mwanao akienda private tsm 9 inaenda huko poa
Naomba ukipata muda tafuta shule ya sekondari karibu nenda kaulize kwa uhakika zaidi maana humu tunaonekana waongo

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
NECTA walisema kuwa wamefuta matokeo ya wanafunzi 2260 kutoka shule 24 ambao walihusika katika udanganyifu...

Ila wanafunzi wamepewa nafasi ya kurudi mtihani mwaka 2023

Shule zimefungiwa kuwa vituo vya mitihani hadi necta wakijiridhisha

Shule zingine 6 zenye wanafunzi 500+ matokeo yao yalishikiriwa kwa ajili ya uchunguzi, ikibainika hawakuhusika na wizi watafunguliwa. Siku ya jana hizo shule zimefunguliwa matokeo

Sent from my M2006C3LG using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom