balibabambonahi
JF-Expert Member
- Apr 5, 2015
- 14,438
- 12,563
Si ufungue matokeo ya shule mojawapo ya zilizotajwa uone kama utakuta matokeo!Wamesema mkuu , vituo, na wanafunzi wamefutiwa matokeo
Sent from my TECNO B1f using JamiiForums mobile app
Si ufungue matokeo ya shule mojawapo ya zilizotajwa uone kama utakuta matokeo!Wamesema mkuu , vituo, na wanafunzi wamefutiwa matokeo
Jibu la swali lake ni,Mkoa wa Dar Es Salaam.Wilaya ya Ubungo,ipo Mbezi ya Kimara.
Wanaruhusiwa baada ya vyeti na matokeo yao kufanyiwa verification na NECTA.Nahisi umedanganya,, Mfano watoto waliosoma kenya primary ama uganda primary je hawaruhusiwi kusoma o level Tanzania?
Nimefanya hivyo, yameandikwa W*Si ufungue matokeo ya shule mojawapo ya zilizotajwa uone kama utakuta matokeo!
Sent from my TECNO B1f using JamiiForums mobile app
Sasa hivi hakuna hyo kitu yaani mpktu amalize la sabaAisee !
Mambo yamekuwa magumu
Zamani ilikuwa si lazima sana ,watoto wale wanaojiweza hata la 7 walikuwa hawafiki,wanarushwa haoo wanaanzaa form1 private.
Mmhhh...hisia zako ziwazishe vzr nenda uulize kwenye system za elimu ndo utajua km nadanganga au nasema kweliNahisi umedanganya,, Mfano watoto waliosoma kenya primary ama uganda primary je hawaruhusiwi kusoma o level Tanzania?
anabishana na miye niliye jikoni nakua Kila kitu daahh...Bora umenisaidiaHajadanganya,kuna utaratibu wao ambao wanapaswa kuufuata na watapewa na Baraza,hakuna anaekuja tu na kusoma bila kupitia pale NECTA kama mwisho wa siku utataka afanye mitihani ya Baraza.Inawezekana tu kama mtoto wako utataka asome mitaala ya Cambridge ambayo iko nnje ya NECTA
Shule atakayoenda pia itahitajika tsm 9 mwanao Hana,kurudia hakuepukiki labda km baraza wawape tamko kuhusu watoto wenu ila Sasa hivi ht mwanao akienda private tsm 9 inaenda huko poaMfano mimi mtoto wangu kafutiwa matokeo ila prem Number ipo, japo haina matokeo (W) je anaweza endelea std 7 au inapaswa arudie Darasa std7
Mbona ukisikiliza yule Boss wa Necta kasema hao wanafunzi wamefutiwa sababu ya kuiba mitihani?Inategemea na sababu zilizopelekea kufutiwa hayo matokeo.Si kweli kuwa ukienda pale una uhakika wa kupewa hayo matokeo.Cha muhimu tu ni kwemda ili upate uhalisia lakini pia na hatma ya watoto wenu itakuwaje? Nachokiona hapa ni watoto kurudia mitihani tu swala linakuwa watarudia lini,mwaka huu au watasubiri tena Next year which is the worst case scenario kwa mtoto kupoteza mwaka mzima tena
Wanasoma kwa kupitia necta kwanza kwa kibali maalumuNahisi umedanganya,, Mfano watoto waliosoma kenya primary ama uganda primary je hawaruhusiwi kusoma o level Tanzania?
Haya mpeleke mwanao kama atakubaliwa kama hajafaulu la 7Prem haianzii std 7 inaanzia std toka std 1 namba ya usajili wa mwanafunzi ambao haukufutwa kilichofutwa ni matokeo.
Kaulize shuleniMfano mimi mtoto wangu kafutiwa matokeo ila prem Number ipo, japo haina matokeo (W) je anaweza endelea std 7 au inapaswa arudie Darasa std7
NECTA walisema kuwa wamefuta matokeo ya wanafunzi 2260 kutoka shule 24 ambao walihusika katika udanganyifu...Shule atakayoenda pia itahitajika tsm 9 mwanao Hana,kurudia hakuepukiki labda km baraza wawape tamko kuhusu watoto wenu ila Sasa hivi ht mwanao akienda private tsm 9 inaenda huko poa
Naomba ukipata muda tafuta shule ya sekondari karibu nenda kaulize kwa uhakika zaidi maana humu tunaonekana waongo
Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
Sekondari utampelekaje bila TSM9?Cheti ya darasa la saba ni kama cheti ya kipaimara tu.. hakina maana yoyote... Peleka mtoto private... Au nenda wizaran wanaweza kukusaidia kumpeleka shule mtoto
Sent from my M2010J19SI using JamiiForums mobile app
Bila hiyo prem number mtoto hawezi kusajiliwa kwa ajili ya mtihan wowote wa sekondari iwe private au gavoo.Waalimu wa sekondari waje watuambue nini umuhimu wa PREM NUMBER ambayo mtoto anatokanayo shule ya msingi
Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
Acha kuongea mambo usiyokua na ufahamu nayo, toa ushauri kwa jambo unalolielewa.Relax. Hakuna shida mpeleke shule za binafsi.
Sijawahi kusikia wanaulizia cheti cha darasa la saba
DuhSasa hivi hakuna hyo kitu yaani mpktu amalize la saba
Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
Sio kwamba mtoto anarudia mtihani wa la 7?Bila hiyo prem number mtoto hawezi kusajiliwa kwa ajili ya mtihan wowote wa sekondari iwe private au gavoo.
Cha muhimu mzazi atafte shule nyingine mtoto aanze la sita afanye mtihani wa la saba tena.