Wazazi wenye wanafunzi waliofutiwa matokeo ya Darasa la Saba 2022 tukutane hapa tutiane moyo

Umasikini si sifa
Tunatengeneza kizazi lege lege ,mtoto anatakiwa kugangamala na kujua kuchambua Mambo ,kujua kujitafutia maarifa .....


Hizo shule zimekaa kuwatoza wazazi mamilion ya pesa ,kununua mitihani ilimradi tu waonekane wamefaulu ....

Ndio maana tukikutana nao vyuoni Hao waliosoma za njano hawana maajabu kabisa ,Tena wanakuwa na supp za kutosha ,kwanze wengine hata vyuo vinawashinda maana walishazoea kutafuniwa ,wakati chuoni Ni kukomaa wewe kama wewe kufanya research,na kujitafutia maarafi ,kudefend research ,kufanya presentation mbali mbali ....
 
Ile namba ni ya darasa la kwanza si la saba, mtoto akianza shule tu anapewa namba inayoanzia mwaka aloanza shule
Ndio kuna kautaratubu fulan kuna dogo hakufanya mtihan wa form 2 mwaka huu sababu ya situation kama hizo
Mi naona bora wawende tu hapo pben ya tbc wakapate ufafanuz
 
Ndio kuna kautaratubu fulan kuna dogo hakufanya mtihan wa form 2 mwaka huu sababu ya situation kama hizo
Mi naona bora wawende tu hapo pben ya tbc wakapate ufafanuz
Hizo shule zinazofanya udanganyifu zatakiwa ziwe zinafungiwa hata miaka 5
 
Mtoto wako hajafutiwa matokeo mkuu,shule ndiyo imefungiwa kuwa kituo cha mtihani,matokeo atapata tu mkuu kuwa na amani,baraza halina mamlaka ya kufutia usajili mwenye mamlaka ni kamishna wa elimu pekee tu.
Shule zimefutiwa matokeo wewe endelea kusema kamishina nini nini sijui wakati wametaja sababu ikiwa ni udanganyifu
 
Ni kweli....kabisa.usajili wa form 2 unategemea matokea ya la saba..
Yaani cheti ni muhimu cha la saba vinginevyo hufanyi mtihan wa form 2.
Siku hizi ndo utaratibu.ile namba ya la saba inahitajika
NIMESOMA KOMENT NYINGI SIJAONA HII.
nafikiri watu wnegi hawaelew mfumo wa sasa
Basi hujasoma zote mzee mbona yangu ipo
 
Ni kweli....kabisa.usajili wa form 2 unategemea matokea ya la saba..
Yaani cheti ni muhimu cha la saba vinginevyo hufanyi mtihan wa form 2.
Siku hizi ndo utaratibu.ile namba ya la saba inahitajika
NIMESOMA KOMENT NYINGI SIJAONA HII.
nafikiri watu wnegi hawaelew mfumo wa sasa
Mbona hii issue imefafanuliwa na comment nyingi tu tena kwa ufasaha kabisa
 
Ndugu zangu, usiku wa leo sijalala vizuri, nimefadhaishwa sana na kitendo cha mwanangu wa darasa la saba aliyekuwa anasoma shule ya St Anne Marie academy ya jijini Dar es Salaam kufutiwa matokeo. Yaani nina hasira kali sana kiasi sijajua nichukue hatua gani dhidi ya uongozi wa shule.

Naombeni tushauriane, kama wewe siyo mhanga wa jambo hili unaweza pita kimya kimya tu maana kwa sasa sihitaji kejeli, nahitaji faraja na ushauri.

Hivi mtoto ataenda private? Je, haiwezi kuwa na athari kwenye mitihani ya form four?

Naomba kuwasilisha.
Hivi mkitafuta wanasheria hamuezi kuishitaki shule na ikawalipa mamilioni ya hela kwa kuzingatia mambo yafuatayo:-
1. Wewe kama mzazi uliingia mkataba na shule kwa makubaliano ya kumpatia mwanao elimu ya msingi kuanzia darasa la kwanza mpaka la saba. Kama mzazi ulitimiza wajibu wako wa kuhakikisha mtoto anaenda shule ikiwa ni pamoja na kulipa ada, kununua uniforms, madaftari nk.
2. Shule ilikuwa na wajibu wa kumfundisha mtoto na kumwandaa kufanya mtihani wa taifa, badala yake shule kama shule haikutimiza wajibu wake na ikachukuwa njia ya mkato ya kuvujisha mitihani ili kuficha uzembe wake.
3. Mzazi na mtoto kwa pamoja hamkuomba mtoto aonyeshwe mitihani ilikuwa ni utashi wa shule husika. Mimi nadhani watanzania tunauzembe wa kupuuza mambo ya msingi na kuita kupoteza muda. Kichwa ngumu kama mimi tungeishia kwanza mahakamani kwa kudai fidia ya mamilioni
 
Haina athari ndugu. Anakosa tu admission shule za serikali.
Anaendelea sekondari kama kawaida na haitadhuru kufanya mitihani ya taifa ya kidato cha 2 na kuendelea.
Mambo yamebadilika kidogo,ili kuanza kidato Cha kwanza hata kama ni private school ni lazima akachukue Prem number shule ya msingi alikomalizia,na hizo Prem number zinatolewa na Baraza la Mitihani (NECTA)
 
Waziri gani huyo?
Ajira kupitia digrii hutaipata bila kuonesha
Cheti Cha la Saba.
Form four.
Form six
Na mwisho cheti Cha digrii

Sent from my TECNO RA7 using JamiiForums mobile app

Alisema ummy mwalimu alipokua tamisemi. Na ndugu yangu kapata kazi TRA mwaka huu na hakuna mahali wamaitaji cheti cha darasa la saba.

Na ndugu yangu pia kapata kazi kampuni ya mawasiliano hakuna mahali aliombwa cheti cha darasa la saba.
 
Ndugu zangu, usiku wa leo sijalala vizuri, nimefadhaishwa sana na kitendo cha mwanangu wa darasa la saba aliyekuwa anasoma shule ya St Anne Marie academy ya jijini Dar es Salaam kufutiwa matokeo. Yaani nina hasira kali sana kiasi sijajua nichukue hatua gani dhidi ya uongozi wa shule.

Naombeni tushauriane, kama wewe siyo mhanga wa jambo hili unaweza pita kimya kimya tu maana kwa sasa sihitaji kejeli, nahitaji faraja na ushauri.

Hivi mtoto ataenda private? Je, haiwezi kuwa na athari kwenye mitihani ya form four?

Naomba kuwasilisha.
Je ni shule nzima wamefutiwa?
 
Naomba ushauri wako mkuu
Hapa boss Cha kwanza kutana kwanza na mwalimu mkuu wa sekondari umuulize usajiri unahitaji vitu Gani... Na umuulize je PREM number ya mtoto Ina athari Gani..?

Nimeongea hivi Kwa sababu juzi Kuna mzazi alikuwa anatafta uhamisho anauliza anapataje maana mtoto wake alichaguliwa kwenda form one selkal Naye akawa amempeleka private...

Hapa unapaswa kwenda Kwa akili cyo kama wadau wengine wanavochangia Kwa mifumo ya zamani!!!!
 
ebu jaribu kuvaa viatu vya hao wazazI ambao watt wao wamefutiwa matokeo kwa mara ya pil
Eh ehh.
Hilo gundu mzee.

Anyway mi nafikiri wazazi tuachane na shule za vichochoroni. Hasa za watu binafsi.

Shule zilizo chini ya kanisa huwezi yakuta haya
 
Alisema ummy mwalimu alipokua tamisemi. Na ndugu yangu kapata kazi TRA mwaka huu na hakuna mahali wamaitaji cheti cha darasa la saba.

Na ndugu yangu pia kapata kazi kampuni ya mawasiliano hakuna mahali aliombwa cheti cha darasa la saba.
Hilo litaanza miaka 10 baada ya prem no ya kwanza kumaliza chuo
 
Mambo yamebadilika kidogo,ili kuanza kidato Cha kwanza hata kama ni private school ni lazima akachukue Prem number shule ya msingi alikomalizia,na hizo Prem number zinatolewa na Baraza la Mitihani (NECTA)
Je Prem number zina uhusiano na matokeo?
 
Alisema ummy mwalimu alipokua tamisemi. Na ndugu yangu kapata kazi TRA mwaka huu na hakuna mahali wamaitaji cheti cha darasa la saba.

Na ndugu yangu pia kapata kazi kampuni ya mawasiliano hakuna mahali aliombwa cheti cha darasa la saba.
Unaongelea miaka hiyo.Haya mabadiriko yameanza tangu 2019,au huyo ndugu yako kamaliza darasa la saba 2019? Ukitaka kujua mambo yamebadilika,mtoto wako afike darasa la sita kisha mrushe aende Form one kwakuwa tu ana uwezo uone kama utapata admission kama zamani
 
Back
Top Bottom