Wazazi Wanaolalamika Wamefeli?

Wazazi Wanaolalamika Wamefeli?

Alitumwa kuzaa, yy ndiye anachangia huyo kiumbe kupata tabu hapa duniani ..Mnaishi kwa ujinga , usawa huu unajipa mamlaka ya kuzaa mpaka watoto wanne .

Baadaye, pesa zote zinaishia kuhudumia watoto huku ukiwa na matarajio lukuki .
Mzee pia mmekariri vibaya hata mzazi pia sio wajibu wake kukulea maana wewe mwenyew ni shobo zako kukimbilia yai tumboni kwa mama ako wakati wenzako walikuwa wengi tu we ukaleta ujuaji na speed zisizo na maana


Halafu pia hata yeye inabidi akulete duniani halafu kila mtu apambane kivyake tuone kama usingelalamika kutokukulea

Ukiulizwa kisa nini ety kakukazaa ila wewe ukiulizwa mbona humjali si mzazi wako unasema hapana sio jukumu lako kumjali
 
Wanufaika wakubwa wa huu muundo wa familia ni mke na watoto. Mwanaume usijinyime sana kwajili yao ukajisahau ukitegemea unafuu wa maisha badae.

Ukizeeka watamsikiliza, watawasiliana, watajali, watampa pesa mama yao kuliko wewe mwanaume. Kama uwezo wa kuwapa maisha mazuri upo, wape maisha mazuri. Kama hakuna usijinyime wape kilichopo

Upo sahihi kabisa.
Hasa kwa wanaume wengi ambao hawana uwezo wa kusuka mfumo Bora na wenye nguvu katika Familia zao.

Yaani kama hujui kusuka mfumo ni bora uwe mbinafsi
 
Siku moja binti yangu wa pili aliniomba pesa, nikampa kidogo, akalalamika, nikamuonyesha bill nilizonazo! Alichoniambia sijakisahau mpaka leo!!!
" Aliniambia, Baba hayo ni majukumu yako, pambana", Kweli nikaongeza bidii ya kupambana.

Huko tunakoenda kitaibuka kizazi korofi Sana ambacho mtu kabla hajazaa impasa afikirie mara tatutatu
 
Mzee pia mmekariri vibaya hata mzazi pia sio wajibu wake kukulea maana wewe mwenyew ni shobo zako kukimbilia yai tumboni kwa mama ako wakati wenzako walikuwa wengi tu we ukaleta ujuaji na speed zisizo na maana


Halafu pia hata yeye inabidi akulete duniani halafu kila mtu apambane kivyake tuone kama usingelalamika kutokukulea

Ukiulizwa kisa nini ety kakukazaa ila wewe ukiulizwa mbona humjali si mzazi wako unasema hapana sio jukumu lako kumjali


Sasa si ungemtupa chooni au kumuua kama sio wajibu wako?
 
Kama wazazi wako huwa wanalalamika kuwa walijinyima sana kwa ajili yenu, basi umezaliwa na wazazi waliofeli vibaya sana. Watu hawapendi ukweli, yaani kuwaza tu hivyo wanaona tayari wanapata laana. Mtu anajinyimaje kugharamia matokeo ya furaha na starehe zake.

Watoto ni matokeo ya starehe zako, hakuna mtoto yoyote aliyeomba umzae. Halafu unakaa kabisa kumuambia mtoto eti niliuza shamba usome. Wee shenzi nini🤣 Uza chochote aisee si ulitaka mwenyewe. Ungetuliza 'genye' unadhani huyo angekuwepo? Na wewe unahaha kwa mikopo kama mwehu kusomesha utitiri wa wadogo zako kisa eti mzazi alijinyima kwa ajili yako. Ulitaka nani ajinyime kwa ajili yako.

Watoto siyo biashara wala bima ya maisha, tunazaa tu kufurahia na siyo kuwafanya pensheni ya uzeeni. Achana na huu mtazamo uliosababisha turithishane umaskini kwenye jamii nyingi.
MBONA LEO TUMEANZA KUSEMANA SEMANA ASUBUHI SANA BWASHEE, USALAMA UPO KWELI AU NYUMBANI WAMEKUNYIMA HELA YA MIHOGO ?
 
Kujuta kunatokea pale ambapo alijitoa sana KWAAJILI yako halafu umekuwa unamuonesha dharau

Kwa mfano wewe umesema ushawahi kuzinguana na dingi wako so dingi IKABIDI akukumbushe hata wema aliokutendea ili urudi kwenye mstari Ila bro ukakaza

Sasa hapo atachaje kujuta ikiwa hela ya ada aliyotumia kukusomesha wewe kuna wengine kipindi hiko hiko walitumia kulia gambe na kutekeleza watoto wao
Ni wajibu wa mzazi kulea watoto anaowaza, tena kuwalea katika mazingira bora kabisa. Ndio maana zamani ilikuwa mzazi usipomplekea mtoto shule unakuja kukamatwa na mgambo.
 
Wanufaika wakubwa wa huu muundo wa familia ni mke na watoto. Mwanaume usijinyime sana kwajili yao ukajisahau ukitegemea unafuu wa maisha badae.

Ukizeeka watamsikiliza, watawasiliana, watajali, watampa pesa mama yao kuliko wewe mwanaume. Kama uwezo wa kuwapa maisha mazuri upo, wape maisha mazuri. Kama hakuna usijinyime wape kilichopo
NAUNGA MKONO HOJA ZOTE
 
Maisha kusaidiana bhana


Kama kakupambania kuna umuhimu wa kumpambania na yeye

Kuna wengine wamezaliwa wakatelekezwa mpaka Leo hawana mbele wa nyuma vipi wewe uliyekuzwa na wazazi wako
WAZAZI KUHUDUMIA WATOTO NI KAMA SERIKALI KUTOA HUDUMA KWA WANANCHI WAKE. NI WAJIBU WA MZAZI KUHUDUMIA WATOTO WAKE. KUHUDUMIA SIO FAVOUR KWA MTOTO/WATOTO.
 
Ni wajibu wa mzazi kulea watoto anaowaza, tena kuwalea katika mazingira bora kabisa. Ndio maana zamani ilikuwa mzazi usipomplekea mtoto shule unakuja kukamatwa na mgambo.
Unakamatwa ikiwa unawalea ila wangap wanakataa kuwalea kabisa na hakuna sehemu wanapofikishwa

tatizo tunalazimisha wazazi wawe na mzigo wa Kujali watoto peke Yao huku watoto wakiwa hawana tatizo lolote ikiwa hawatowajal wazazi wao
 
WAZAZI KUHUDUMIA WATOTO NI KAMA SERIKALI KUTOA HUDUMA KWA WANANCHI WAKE. NI WAJIBU WA MZAZI KUHUDUMIA WATOTO WAKE. KUHUDUMIA SIO FAVOUR KWA MTOTO/WATOTO.
Sawa sikatai lakini mzazi hashindwi kumtelekeza huyo mtoto na kufanya mambo yake na kula starehe zake kama mtoto anavyotaka akijipata kimaisha asishobokewe na mzazi wake
 
Mzee pia mmekariri vibaya hata mzazi pia sio wajibu wake kukulea maana wewe mwenyew ni shobo zako kukimbilia yai tumboni kwa mama ako wakati wenzako walikuwa wengi tu we ukaleta ujuaji na speed zisizo na maana


Halafu pia hata yeye inabidi akulete duniani halafu kila mtu apambane kivyake tuone kama usingelalamika kutokukulea

Ukiulizwa kisa nini ety kakukazaa ila wewe ukiulizwa mbona humjali si mzazi wako unasema hapana sio jukumu lako kumjali
UMEANDIKA UTUMBO MTUPU
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom