bless on
JF-Expert Member
- May 22, 2026
- 705
- 1,659
Kama wazazi wako huwa wanalalamika kuwa walijinyima sana kwa ajili yenu, basi umezaliwa na wazazi waliofeli vibaya sana. Watu hawapendi ukweli, yaani kuwaza tu hivyo wanaona tayari wanapata laana. Mtu anajinyimaje kugharamia matokeo ya furaha na starehe zake.
Watoto ni matokeo ya starehe zako, hakuna mtoto yoyote aliyeomba umzae. Halafu unakaa kabisa kumuambia mtoto eti niliuza shamba usome.
Wee shenzi nini🤣 Uza chochote aisee si ulitaka mwenyewe. Ungetuliza 'genye' unadhani huyo angekuwepo? Na wewe unahaha kwa mikopo kama mwehu kusomesha utitiri wa wadogo zako kisa eti mzazi alijinyima kwa ajili yako. Ulitaka nani ajinyime kwa ajili yako.
Watoto siyo biashara wala bima ya maisha, tunazaa tu kufurahia na siyo kuwafanya pensheni ya uzeeni. Achana na huu mtazamo uliosababisha turithishane umaskini kwenye jamii nyingi.
Watoto ni matokeo ya starehe zako, hakuna mtoto yoyote aliyeomba umzae. Halafu unakaa kabisa kumuambia mtoto eti niliuza shamba usome.
Wee shenzi nini🤣 Uza chochote aisee si ulitaka mwenyewe. Ungetuliza 'genye' unadhani huyo angekuwepo? Na wewe unahaha kwa mikopo kama mwehu kusomesha utitiri wa wadogo zako kisa eti mzazi alijinyima kwa ajili yako. Ulitaka nani ajinyime kwa ajili yako.
Watoto siyo biashara wala bima ya maisha, tunazaa tu kufurahia na siyo kuwafanya pensheni ya uzeeni. Achana na huu mtazamo uliosababisha turithishane umaskini kwenye jamii nyingi.