Dr. Zaganza
JF-Expert Member
- Jul 15, 2014
- 1,410
- 2,159
Habari wakuu.
Tumekuwa tukikutana kwa anuani ya wauza nyumba,viwanja na kadhalika.
Leo hii, naomba wazazi au walezi hususani wenye wanafunzi wanaosoma kutwa tukutane hapa na kujadili changamoto zinazowakuta watoto hawa walio chini yetu.Pia tujadili ufumbuzi rahisi wa kuweza kutatua changamoto hizo. .
Kikubwa taja ni changamoto ipi inakuumiza kichwa zaidi kuhusu mwanao.
KARIBUNI.
UPDATE:Unaweza kujiunga kwenye group la whatsap kwa link ifuatayo:
WAZAZI NA WALEZI
Tumekuwa tukikutana kwa anuani ya wauza nyumba,viwanja na kadhalika.
Leo hii, naomba wazazi au walezi hususani wenye wanafunzi wanaosoma kutwa tukutane hapa na kujadili changamoto zinazowakuta watoto hawa walio chini yetu.Pia tujadili ufumbuzi rahisi wa kuweza kutatua changamoto hizo. .
Kikubwa taja ni changamoto ipi inakuumiza kichwa zaidi kuhusu mwanao.
KARIBUNI.
UPDATE:Unaweza kujiunga kwenye group la whatsap kwa link ifuatayo:
WAZAZI NA WALEZI