tremendous
JF-Expert Member
- Aug 12, 2016
- 3,237
- 5,307
- Thread starter
- #21
Unashangaa mkuu kuna watu na viatu ujue!Kumchoma moto mtoto???!!...kumfukuza ndani, kumnyima chakula??!
Asee huu sasa uonevu.
Unashangaa mkuu kuna watu na viatu ujue!Kumchoma moto mtoto???!!...kumfukuza ndani, kumnyima chakula??!
Asee huu sasa uonevu.
Aisee! Mtoto akimuona mbaya wake huwa ana cease kabisa.nilifika mahali nikakakuta katoto ka kiume kalichookotwa kanalelewa hapo na huyo mama.
nilivyofika kakawa karibu sana na mimi, kila kakiniona kananikumbatia kanafurahi kweli.
akija mama kanapoaaa!!
nikaa kaa nacho nikawa naongea nacho taratibu, kalikuwa kana mengi sana moyoni, ni kadogo lakin kanaongea mpaka kanalia.
he was very honest na hana tatizo.
Ujinga ulioje huo. Mwingine alichomwa na mjomba wake eti mlafi!! Kuna watu wana mioyo migumu hatari.daaah hiyo ya kumchoma moto mtoto mikononi niliona dada yangu alimchoma mtoto wake mikono kisa mtundu, hadi leo mtoto anamakovu ukimuuliza anakwambia mama alinichoma,
Somo zuri sana la malezi mtoa mada, hongera yako!
Hili ni kweli yaan malezi mtu yanaathari kubwa sana kwa mtuYawezekana na wao walilelewa hivyo basi wanajua mwendo ndio huo huo!