Ushauri kwa wazazi wa watoto waliomaliza darasa la saba

Jaji Mfawidhi

JF-Expert Member
Feb 20, 2016
14,047
20,412
Wakati unakimbizana na mtoto kufanya interviews kwenye shule mbali mbali kwa ajili ya kuingia Form One zingatia yafuatayo:

1. Angalia kwanza uwezo wa mtoto wako kabla ya kulipia hela ya usahili. Kuna shule hata ungezitaka vipi kwa uwezo wa mwanao, hatopata, unapoteza pesa bure. Tafuta za uwezo wake.

2. Usitafute shule kwa mkumbo eti sababu marafiki na mashosti wako wamepeleka watoto wao huko. Mtoto wako yuko unique, usimlinganishe na wengine.

3. Nenda taratibu, acha kuweka presha kubwa kwa mtoto. Interviews hadi tatu siku moja, mtoto halali, mpaka anachukia hizo shule. Sio jambo jema.

4. Ninyi wazazi jiulizeni kwanza, mnachotaka kwa mtoto wenu ni nini? Ni ufaulu kielimu (academi excellence), nidhamu (Discipline), uimara wa kiroho (Spirituality), kuibua vipaji (Talent development) au ni social and exposure ya mtoto? Usijichagulie tu shule. Jua mlengo wa shule. Kipi wana kazia, na je, kinaendana na mnachokitaka?

5. Mwisho, mtoto anapokosa au kufeli interview moja, mtie moyo kuwa mtajaribu nyingine. Huna haja kumpiga mkwara kuwa unapoza pesa. Presha kubwa unayomwekea itamfelisha zaidi. Mshirikishe pia na mzazi mwingine ayaelewe haya.
 
Wakati unakimbizana na mtoto kufanya interviews kwenye shule mbali mbali kwa ajili ya kuingia Form One zingatia yafuatayo:

1. Angalia kwanza uwezo wa mtoto wako kabla ya kulipia hela ya usahili. Kuna shule hata ungezitaka vipi kwa uwezo wa mwanao, hatopata, unapoteza pesa bure. Tafuta za uwezo wake.

2. Usitafute shule kwa mkumbo eti sababu marafiki na mashosti wako wamepeleka watoto wao huko. Mtoto wako yuko unique, usimlinganishe na wengine.

3. Nenda taratibu, acha kuweka presha kubwa kwa mtoto. Interviews hadi tatu siku moja, mtoto halali, mpaka anachukia hizo shule. Sio jambo jema.

4. Ninyi wazazi jiulizeni kwanza, mnachotaka kwa mtoto wenu ni nini? Ni ufaulu kielimu (academi excellence), nidhamu (Discipline), uimara wa kiroho (Spirituality), kuibua vipaji (Talent development) au ni social and exposure ya mtoto? Usijichagulie tu shule. Jua mlengo wa shule. Kipi wana kazia, na je, kinaendana na mnachokitaka?

5. Mwisho, mtoto anapokosa au kufeli interview moja, mtie moyo kuwa mtajaribu nyingine. Huna haja kumpiga mkwara kuwa unapoza pesa. Presha kubwa unayomwekea itamfelisha zaidi. Mshirikishe pia na mzazi mwingine ayaelewe haya.
Nakumbk kipind naanza form one nilipta kweny iz interview alhamdullilah wazaz waliniandaa vyema.... Wakizingatia nn wanatak kutoka kwangu

Nami sikuwaangusha..... Nitajitahd nami wanangu the same

Tunashukuru kwa kutukumbusha!!
 
Mimi wa kwangu nimempeleka shule moja tu kafanya interview na hiyo hiyo ndio ataenda, sinaga mambo mengi mimi. Shule yenyewe ni ya Islamic nataka mwanangu awe na maadili ya dini pamoja na elimu.

Siku hizi wazazi wengi wanaangalia tu division one basi; kumbe division one sio kila kitu kwenye maisha, Muhimu maadili na kumjua Mungu na jitihada ya mtoto.

Siku hizi hata shule za serikali zinafaulisha vizuri tu na wote wanakutana chuo. Huko kazini sasa wala hawaangilii division one wala nini wanaangalia cheti cha chuo..

Wa kwangu alhamdulillah yupo vizuri upstairs na namuombea Mungu aendelee hivyo hivyo
 
Mimi wa kwangu nimempeleka shule moja tu kafanya interview na hiyo hiyo ndio ataenda, sinaga mambo mengi mimi. Shule yenyewe ni ya Islamic nataka mwanangu awe na maadili ya dini pamoja na elimu.

Siku hizi wazazi wengi wanaangalia tu division one basi; kumbe division one sio kila kitu kwenye maisha, Muhimu maadili na kumjua Mungu na jitihada ya mtoto.

Siku hizi hata shule za serikali zinafaulisha vizuri tu na wote wanakutana chuo. Huko kazini sasa wala hawaangilii division one wala nini wanaangalia cheti cha chuo..

Wa kwangu alhamdulillah yupo vizuri upstairs na namuombea Mungu aendelee hivyo hivyo
Umenenaa.....
 
Nakumbk kipind naanza form one nilipta kweny iz interview alhamdullilah wazaz waliniandaa vyema.... Wakizingatia nn wanatak kutoka kwangu

Nami sikuwaangusha..... Nitajitahd nami wanangu the same

Tunashukuru kwa kutukumbusha!!
Ukienda pale Msimbazi Centre hao watoto wanaopambana kuingia seminari za Katoliki utashangaa.
 
Ukienda pale Msimbazi Centre hao watoto wanaopambana kuingia seminari za Katoliki utashangaa.
Wanataman Sana lkn ndo mzaz ajipime jee ataweza ada!! Uwezo wa mtt darasan sio anfika kule yupo chin ya 60 anarudishwa ko mzaz ukilielewa Hilo mapema utamwandaa mtt katk mazngra mazuri ya kujifunza!
 
Back
Top Bottom