Wazanzibari wapanga kufanya mandamano 1/4/2011 kisa wamechoshwa na Muungano

Status
Not open for further replies.
GHIBUU said:
Bila ya tanganyika hakuna muungano ndioo maana tukasema tuwe na serikali tatu,hata hivyo tunaweza kuwa na serikali tatu lakini ikawa serikali ya tanganyika kama boshan tu na badala yake serikali ya muungano ikawa bado still imebeba mamlaka ya zanzibar,lakini mimi naona kuuvunja muungano ni bora zaidi,,,upo muungano wa EAC utatuunganisha tena ,,,ila udugu wetu wa family upo hautotunganisha ila kiuchumi ndio tunataka tujikwamuee..

GHIBUU,

..fikira kama hizo za hapo kwenye RED ndizo zitakazowakwamisha wa-Zanzibar.

..sidhani kama serikali 3 zitajibu kilio cha wa-Zanzibari.

..lazima ujiulize hiyo serikali ya muungano itakuwa na madaraka gani. pia lazima ujiulize kama kuwepo kwa serikali ya muungano kutaiongezea SMZ madaraka yoyote yale.

..muundo wa serikali 3 ninavyouelewa mimi ni kwamba utaipunguzia serikali ya muungano majukumu yake juu ya Tanganyika. kwa maneno mengine sisi wa-Tanganyika tutapata serikali yetu yenye sura na majukumu kama yale ya SMZ.

..sasa labda niulize serikali 3 zitawaongezea nini wa-Zanzibari??

..kwa mtizamo wangu what Zanzibar needs can not be attained ndani ya muungano wa serikali 3.
 
suluhushu ambalo la ukweli ni kukaa na kutafakari jinsi gani ya kuachana kiusalama, bila ya kujenga chuki na uhasama baina yetu
 
Mtu wa Pwani said:
suluhushu ambalo la ukweli ni kukaa na kutafakari jinsi gani ya kuachana kiusalama, bila ya kujenga chuki na uhasama baina yetu

Mtu wa Pwani,

..naungana na wewe 100%.

..mimi pendekezo langu ni kwamba muungano uvunjwe, badala yake tushirikiane kupitia EAC.

..pia nilipendekeza kuwepo na status ya Permanent resident kwa wa-Zanzibar walioko Tanganyika na wanaotaka kuendelea kutafuta maisha huku. hawa watakuwa na haki zote isipokuwa kupiga au kupigiwa kura, pia hawatakuwa na ruhusa kuajiriwa ktk vyombo vya ulinzi na usalama.

..pia kuna suala la sarafu ambalo itabidi lishughulikiwe kwa umakini. lakini kwasababu muelekeo ni kuwa na sarafu ya Afrika Mashariki, then Tanganyika na Zanzibar sisi tutakuwa tayari tumeshapiga hatua ktk suala hilo.

..MUUNGANO WA SERIKALI 3 SIYO SULUHISHO LA KILIO CHA WAZANZIBARI.
 
Nashukuru kwa link hii ya Kongomano la katiba. Imenifungua macho na nashangaa kwanini haya yaliyoletwa mbeleni nilikuwa sijawahi kuyasikia. Tunapojiandaa kuzungumzia katiba mpya inabidi tuyapitie yaliyoongelewa kwenye kongamano hili.
Namuomba mtoa thread atusaidie kupata document version ya komgamano hili na posibility ya translation in english.
Asante tena.
 
Ninapata tatizo JF. Naona wachangiaji wanabandikwa Senior Member etc lakini wanaacha mada na hawana muda wa kusoma wala kutafuta ni nini kinazungumziwa. Matusi na kejeli mbele.
Wote tunaongea kiswahili, fuatilieni link ya kongamano na usikilize arguments za watoa mada ndio upate picha nzuri ya kukusaidia kuchangia pia.
 
Nashukuru kwa link hii ya Kongomano la katiba. Imenifungua macho na nashangaa kwanini haya yaliyoletwa mbeleni nilikuwa sijawahi kuyasikia. Tunapojiandaa kuzungumzia katiba mpya inabidi tuyapitie yaliyoongelewa kwenye kongamano hili.
Namuomba mtoa thread atusaidie kupata document version ya komgamano hili na posibility ya translation in english.
Asante tena.

Welcome ndugu yangu suala la kui traslate hii kongamani ni kazi tena,nafikiri watanzania wote wanafahamu kiswahili,labda ihitajike kimataifa hili kongamano lakini wanaweza kutafsiriwa pale watakapohitajiii..
 
Hili ndio tatizo kubwa la watanganyika kuongea ujuba ujuba na kujifanya kila kitu wanajua wao na sheria zote wanazijua,lakini nothing ni usanii mwingi,hapa hoja imekuja ya maana kabisa watu wanatetea maslahi yao tena wananchi lakini nashanga wenzetu mumekuwa na ubaya na zanzibar na wazanzbari wenyewe sijui ni choyo au vipi ? Hii ni haki yetu jamaniii,hata huu muungano wa EAC watanganyika/tanzania munaweza kukataa ni haki yenu.

Lakini leo watanganyika ukiwatajia zanzibar inawauma sana sijui kwa sababu zipi ? Hebu tumieni busara zenu,nimewaekea kongamano amablo limefanyika zanzibar,kulikuwa na ma proffessa na wanasheria wazuri wanachambua sheria na wanatambulika kitaifa,sasa jee wewe unawapinga hawa ? Hebu sikilizeni ndio mutoe hoja sio munaongea masuala ambayo ya ukabila hapa na chuki,haki ni yetu kutetea taifa letu.
 
haya mambo ili yaishe-naona kila nchi ijitenge ili kila upande ufanye mambo yake kivyake
 
Hili ndio tatizo kubwa la watanganyika kuongea ujuba ujuba na kujifanya kila kitu wanajua wao na sheria zote wanazijua,lakini nothing ni usanii mwingi,hapa hoja imekuja ya maana kabisa watu wanatetea maslahi yao tena wananchi lakini nashanga wenzetu mumekuwa na ubaya na zanzibar na wazanzbari wenyewe sijui ni choyo au vipi ? Hii ni haki yetu jamaniii,hata huu muungano wa EAC watanganyika/tanzania munaweza kukataa ni haki yenu.

Lakini leo watanganyika ukiwatajia zanzibar inawauma sana sijui kwa sababu zipi ? Hebu tumieni busara zenu,nimewaekea kongamano amablo limefanyika zanzibar,kulikuwa na ma proffessa na wanasheria wazuri wanachambua sheria na wanatambulika kitaifa,sasa jee wewe unawapinga hawa ? Hebu sikilizeni ndio mutoe hoja sio munaongea masuala ambayo ya ukabila hapa na chuki,haki ni yetu kutetea taifa letu.

The Union has been by-passed with global events. To me it is no longer necessary strategically for Tanganyika as it was then. Kama partner mmoja anaona anaonewa si ajitoe tu? Hakuna choyo wala wivu, Wazanzibari jitoeni tubaki na Tanganyika na nyie mmbaki na Unguja na Pemba (assuming haitagawanyika tena na tena na tena).

In fact Tanganyika stands to gain more financially Unguja na Pemba zikijitoa kwenye muungano. Just think, mtanunua nyanya kwa USD/EURO, wenye nyumba kariakoo mtakuwa foreigners all of a sudden (kodi tutadai kwa USD/EURO), hamtanunua mchele kutoka Kahama kwa madafu nk. nk. nk.

JAMANI, masuala ya muungano mbona yamo ndani ya uwezo wenu??? Mkisema hata usiku huu kuwa mnajitoa MNAWEZA.
 
Mtu wa Pwani,

..naungana na wewe 100%.

..mimi pendekezo langu ni kwamba muungano uvunjwe, badala yake tushirikiane kupitia EAC.

..pia nilipendekeza kuwepo na status ya Permanent resident kwa wa-Zanzibar walioko Tanganyika na wanaotaka kuendelea kutafuta maisha huku. hawa watakuwa na haki zote isipokuwa kupiga au kupigiwa kura, pia hawatakuwa na ruhusa kuajiriwa ktk vyombo vya ulinzi na usalama.

..pia kuna suala la sarafu ambalo itabidi lishughulikiwe kwa umakini. lakini kwasababu muelekeo ni kuwa na sarafu ya Afrika Mashariki, then Tanganyika na Zanzibar sisi tutakuwa tayari tumeshapiga hatua ktk suala hilo.

..MUUNGANO WA SERIKALI 3 SIYO SULUHISHO LA KILIO CHA WAZANZIBARI.

Hapo kwenye RED hapo! Tukishirikiana nao kwenye EAC, watatakiwa kuwa "treated" sawa na Wakenya, Waganda, Warundi na Wanyarwanda (ama Wakongo na Wasudani ya Kusini wakijiunga kama tunavyotarajia wawe). Haitakuwa sawa na haki Wazanzibari kupata preferential treatment as if they are Tanganyikans. Ama wabaki au watoke. You can't eat your cake and still have it!
 
Sauti:Kongomano la katiba – 05 March 2011 | MZALENDO.NET
Wananchi, wazalendo, wapenda amani, maendeleo na utaifa wa nchi yetu ya Zanzibar.
Kufuatia mjadala wa Katiba Mpya unavyoendelea, mengi yamefichuliwa dhidi ya muungano wetu uliodumu kwa miaka 47. Pamoja na nia njema wakati wa kuasisiwa muungano wanchi mbili, Tanganyika na Zanzibar, kiukweli sasa hivi hali haiku hivyo.
Tumeshuhudia wanansheria wetu, mara kwa mara, wamekuwa wakitoa dosari zao zinazoonyesha kupotea kwa nia njema iliyokusudiwa. Miongozi mwao ni pamoja na kutamka bayana kuwa muungano huu kisheria haipo tena, kilichobaki ni kinadharia tu.
Hivyo basi, ni wakati wetu sote kwa pamoja kuungana katika kudai haki yetu kama raia watiifu kwa taifa letu pamoja na kudai haki za nchi yetu iliyopoteza haki zake kwa kufanya maandamano ya amani.
Madhumuni ya maandamano.
- Kudai muungano ujadiliwe upya na pande zote.
- Kuunga mkono matamko yanayotolewa na wanasheria wetu kwenye mjadala wa katiba.
- Kutoa muamsho kwa jamii na wananchi juu ya kutetea haki za nchi na taifa letu – Zanzibar.
Petition itakuwa na ujumbe ambao ni open letter itakayo beba ujumbe mmoja wa madai yetu kwa sehemu zote zitakazofanyika maandamano.
Siku ya Maandamano.
Maandamano yamepangwa kufanyika siku ya Ijumaa tarehe 1/04/2011. Ijumaa ni siku ya mwisho wa wiki, itakuwa muafaka kwa Wazanzbibar wengi kuweza kushiriki. Vilevile itakuwa ni wiki nne kabla kufanyika sherehe za Muungano hapo 26/04/2011. Wale walioko makazini tunaomba waombe likizo zao mapema ili waweze kushiriki.
Eneo la Maandamano.
Maandamano yatafanyika ulimwengu mzima.
Kitovu cha maandamano haya kitakuwa ni ndani ya Zanzibar, ambapo Petition ya madai yetu itawasilishwa kwa Waziri wa Sheria na Katiba na Mwanasheria Mkuu wa SMZ.
Kwa wale walioko Tanzania Bara, wao watawasilisha Petition yao kwa Waziri wa Sheria na Mambo ya Katiba pamoja na Mwanasheria Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.
Kwa nchi nyengine dunia, Wazanzibar na Watanzania kwa jumla, watafanya maandamano kwa kila nchi yenye ubalozi wa Tanzania. Petition zitawasilishwa kwa mabalozi wa nchi husika ili kuziwasilisha kwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, ambae wakati huohuo anakuwa Rais wa Shughuli za Serikali ya Tanganyika pamoja na Rais wa Zanzibar.
Yanayohitajika
Tunaomba ushirikiano kutoka kwa Wazanzibar wote ulimwenguni kufanikisha shughuli hii. Tunahitaji mawakala wa kusimamia kutoka kila nchi husika. Hii itasaidia kufikisha ujumbe kule tunakokusudia.
Kwa maelezo zaidi tafadhali wasiliana nami kupitia email yangu ashakh@mzalendo.net
NOTE: Msisitizo unatiliwa kuwa haya ni maandamano ya amani, kwa lengo la kudai haki zetu.

Akili hazifikiri, Muungano ukifa na chips hamtakula maana kila kitu mna import toka Tanganyika. lakini hiyo siku ya wajinga isiwe sababu ya kufanya masihara ya mambo ya hatari. tafadhali sana, wacha kabisa !!!
 
Akili hazifikiri, Muungano ukifa na chips hamtakula maana kila kitu mna import toka Tanganyika. lakini hiyo siku ya wajinga isiwe sababu ya kufanya masihara ya mambo ya hatari. tafadhali sana, wacha kabisa !!!

Fikira zako ukivunjka tutakufa njaa,au hivyo vyakula munatuuzia bure ? Hivyo vyakula tunaweza kununua popte pale hata zimbabwe tunaweza alimuradi pesa tunazo wafanya biashara pamoja na serikali.

Wewe huna hoja ya kuongea,kama umeishiwa sema,rudini shule jamani VETA ipo kama umekimbia shule at least ujue kuchonga ubaoo.
 
The Union has been by-passed with global events. To me it is no longer necessary strategically for Tanganyika as it was then. Kama partner mmoja anaona anaonewa si ajitoe tu? Hakuna choyo wala wivu, Wazanzibari jitoeni tubaki na Tanganyika na nyie mmbaki na Unguja na Pemba (assuming haitagawanyika tena na tena na tena).

In fact Tanganyika stands to gain more financially Unguja na Pemba zikijitoa kwenye muungano. Just think, mtanunua nyanya kwa USD/EURO, wenye nyumba kariakoo mtakuwa foreigners all of a sudden (kodi tutadai kwa USD/EURO), hamtanunua mchele kutoka Kahama kwa madafu nk. nk. nk.

JAMANI, masuala ya muungano mbona yamo ndani ya uwezo wenu??? Mkisema hata usiku huu kuwa mnajitoa MNAWEZA.

Tunaweza kununua hakuna tatizo na dolla na euro zanzbar ni pesa ya kawaida kutokana na utalii kila kona ukipita mzungu huyoo anatumia dola upatikanaji wake sio tatizo,kama vyakula tunaweza kununua popote pale dunia,kuna south africa,zimbabwe,kenya,sio lazima tanganyika,au utakula mwenyewe au unanunua mwenyewe ?

Kijana una ukosefu wa maarifa,hebu fikiri kabla hujasema,kuna vyakula vingi tu kutoka nchi tofauti zanzibar na tanganyia hivi munanunua kwa shilingi au dolla ? Daha kweli watu wengine munahitaji elimu.

Tunaweza kujitoa wakati wowote na ndio tuko kwenye taatibu hizo,,,,,,
 
Hujui lini zanzibar iliwahi kujisimamia wenyewe? Utajuaje weye mkuria wa mara kazi yako kuvuta bangi na kukeketa wasichana.

Sultan alietawala zanzibar na ambae hakuwa mzanzibari ni mmoja tu, nae ni sultan seyyid said bin sultan. Masultan wote waliofuatilia ni wazanzibari wa kuzaliwa. Au kwa tafsiri yako na muungu wako nyerere ni kuwa mzanzibari ni lazima awe mtu mweusi kutoka tanganyika na msumbiji? Kwa tafsiri hiyo pia itakuwa umekosea maana moh'd shamte waziri mkuu wa kwanza wa zanzibar huru alikuwa mweusi pia.

Au tatizo ni mfumo wa utawala wa kifalme ndio uliokufanya uone wafalme wa zanzibar hawakuwa wazanzibari? Kama ni hivyo je malkia wa uingereza nae ni mwarabu wa omani? Kumbuka nchi nyingi za ulaya zinatawaliwa kifalme na wala haziambiwi kuwa wanatawaliwa na waarabu vipi wazanzibari waliojitawala kifalme unasema kuwa walitawaliwa? Nenda zako tarime ukavute bangi ndio kazi uwezayo lkn siasa hujui.
 
.
Kwa sasa Tanzania tuna matatizo ya msingi kuyashughulikia. Wao wanafikiri wakijitenga basi Hela zitatoka Uarabuni ambako na wao sasa wanakaliwa kooni na watu wao. Watakuwa busy kushughulikia matatizo yao na si ya Wazenji.

Kinachoniudhi kama wengi wanavyosema, ni kwao kuzunguka mbuyu. They should stop beating around the bush. Wakiona hawafaidiki na Muungano, basi si waombe tu uvunjwe?

Wasiwasi wangu ni kuwa hawa jamaa, watakuja kuishia kupigana na kuanza kuja kama Wakimbizi Tanganyika. Tutaanza tena kuwagharamia hela nyingi kama Serikali na kama ndugu. Najua utasema "wewe hutafanya" ila ukweli ni kuwa yatakuwa yaleyale ya Comoro. Utasikia tu Rais fulani kapeleka majeshi yake Zenji. Tutaingia gharama kubwa sizizo na miguu.
..

Mbona unajichanganya mzee? Mara wasizunguke mbuyu mara hivi mara vile. Kwani munaiogopa Tanganyika?

Eritrea, East Timor na South Sudan zimeweza itakuwaje Zanzibar wakati ilikuwa nchi kamili kabla ya Mkoloni Tanganyika kutawala?
 
Hamjui hata Zanzibar ilikotoka nyie Kizazi cha pili cha watumwa.Wenzenu tulitumia mercernaries kama akina John Okelo na Hanga, kumg'oa mwarabu leo hii mnakula na kustarehe mnaona raha ehe!. Hamna adabu nyie kizazi cha Watumwa, kwa nini msiamue kurudi kwenu DRC Congo, Burundi ambako Tippu Tippu aliwatoa na kuwaleta za Zanzibar kwa mguu toka Ujiji mpaka Bagamoyo. Mnajifanya hamjui kuwa hapo Zanzibar hata nyie hamna hati miliki. Nyie wote Kizazi cha watumwa, mliletwa hapo kwa ajiri ya kilimo cha karafuu na minazi.... najua mnajua (kimoyomoyo) mlikotoka ila hamjui mapinduzi ya Sultan yalifanyika vipi na wala hamjui Akina John Okelo walilipwa sh ngapi baada ya kufanikisha mapinduzi ya hicho Kisiwa na wala Hamjui walilipwa na nani?. Kama mmechoka kufugwa Zanzibar go back to your ancestors ebo!!!!

Masikini weeee ukisikia wazimu (maghrum) ndiyo wewe! Una hasira kwa kuwa babu yako alishindwa kuuzika kwa kuwa na funza wengi miguuni? Kwa nini unatoka povu la mdomo kwa hasira?
 
Inaonekana huna adabu wala mimi si kijana kwako, hili jukwaa hatufahamiani,mambo ya kuitana vijana hapa wala si mahari pake. Jenga hoja toka lini Zanzabar ilishawahi kisimama kama sovereign state?. Harafu mbona hampendi kuzungumzia historia yenu toka enzi za Utumwa, ili tujue nyie wanaharakati kweli..?? au hamjui nyie mliletwa hapo kama watumwa fikilieni wakati mwingine mjue hata mlikotoka, au mnafikiri nyie asili yenu ni Zanzibar. Hebu na wewe kamuulize mzazi wako ulifikaje Zanzibar atakupa jibu

Usikurupuke tu kutukana watu wakati wewe mwenyewe kiswahili chako kinaonyesha kabisa ni wa kuja juzi.... Mahari, harafu, fikilieni ..... Duh!
 
Tunaweza kununua hakuna tatizo na dolla na euro zanzbar ni pesa ya kawaida kutokana na utalii kila kona ukipita mzungu huyoo anatumia dola upatikanaji wake sio tatizo,kama vyakula tunaweza kununua popote pale dunia,kuna south africa,zimbabwe,kenya,sio lazima tanganyika,au utakula mwenyewe au unanunua mwenyewe ?

Kijana una ukosefu wa maarifa,hebu fikiri kabla hujasema,kuna vyakula vingi tu kutoka nchi tofauti zanzibar na tanganyia hivi munanunua kwa shilingi au dolla ? Daha kweli watu wengine munahitaji elimu.

Tunaweza kujitoa wakati wowote na ndio tuko kwenye taatibu hizo,,,,,,

Lakini mkuu, hakusema kuwa hawatawauzia hivyo vyakula bali amesema watawauzia kwa 'foreign currences'. Mi nadhani zenj just ijitangaze tu kuwa she is no longer part of the union-badala ya kulalamika tuuuu kama mtoto wa kambo jambo ambalo linawakera watanganyika. Fact ni kwamba most of zanzibaris have been employed ktk taasisi nyingi za tanganyika as residents but none of"purely" tanganyikan hold permanent posts in isles. Watanganyika wanaona kwamba hii imewanyima fursa za kuajiriwa wao kama wazawa(conflict post divorce). Na mwishowe ifahamike kwamba, kulalamika ni reflection ya slave generation kutokana na ukweli kuwa mtumwa alwayz anaona anaonewa,anatengwa,hana haki, hayuko huru, anajawa na aggresive idea, then anapenda kuji-tune ili awe kama mabwana wake hatimaye apate status anayohisi amekosa. Kwa nn mna-publicise image mbaya namna hizi kwa jamii ya wazanzibar?
 
sauti:kongomano la katiba – 05 march 2011 | mzalendo.net
wananchi, wazalendo, wapenda amani, maendeleo na utaifa wa nchi yetu ya zanzibar.
Kufuatia mjadala wa katiba mpya unavyoendelea, mengi yamefichuliwa dhidi ya muungano wetu uliodumu kwa miaka 47. Pamoja na nia njema wakati wa kuasisiwa muungano wanchi mbili, tanganyika na zanzibar, kiukweli sasa hivi hali haiku hivyo.
Tumeshuhudia wanansheria wetu, mara kwa mara, wamekuwa wakitoa dosari zao zinazoonyesha kupotea kwa nia njema iliyokusudiwa. Miongozi mwao ni pamoja na kutamka bayana kuwa muungano huu kisheria haipo tena, kilichobaki ni kinadharia tu.
Hivyo basi, ni wakati wetu sote kwa pamoja kuungana katika kudai haki yetu kama raia watiifu kwa taifa letu pamoja na kudai haki za nchi yetu iliyopoteza haki zake kwa kufanya maandamano ya amani.
madhumuni ya maandamano.
- kudai muungano ujadiliwe upya na pande zote.
- kuunga mkono matamko yanayotolewa na wanasheria wetu kwenye mjadala wa katiba.
- kutoa muamsho kwa jamii na wananchi juu ya kutetea haki za nchi na taifa letu – zanzibar.
Petition itakuwa na ujumbe ambao ni open letter itakayo beba ujumbe mmoja wa madai yetu kwa sehemu zote zitakazofanyika maandamano.
siku ya maandamano.
maandamano yamepangwa kufanyika siku ya ijumaa tarehe 1/04/2011. Ijumaa ni siku ya mwisho wa wiki, itakuwa muafaka kwa wazanzbibar wengi kuweza kushiriki. Vilevile itakuwa ni wiki nne kabla kufanyika sherehe za muungano hapo 26/04/2011. Wale walioko makazini tunaomba waombe likizo zao mapema ili waweze kushiriki.
eneo la maandamano.
maandamano yatafanyika ulimwengu mzima.
Kitovu cha maandamano haya kitakuwa ni ndani ya zanzibar, ambapo petition ya madai yetu itawasilishwa kwa waziri wa sheria na katiba na mwanasheria mkuu wa smz.
Kwa wale walioko tanzania bara, wao watawasilisha petition yao kwa waziri wa sheria na mambo ya katiba pamoja na mwanasheria mkuu wa jamhuri ya muungano wa tanzania.
Kwa nchi nyengine dunia, wazanzibar na watanzania kwa jumla, watafanya maandamano kwa kila nchi yenye ubalozi wa tanzania. Petition zitawasilishwa kwa mabalozi wa nchi husika ili kuziwasilisha kwa rais wa jamhuri ya muungano wa tanzania, ambae wakati huohuo anakuwa rais wa shughuli za serikali ya tanganyika pamoja na rais wa zanzibar.
yanayohitajika
tunaomba ushirikiano kutoka kwa wazanzibar wote ulimwenguni kufanikisha shughuli hii. Tunahitaji mawakala wa kusimamia kutoka kila nchi husika. Hii itasaidia kufikisha ujumbe kule tunakokusudia.
Kwa maelezo zaidi tafadhali wasiliana nami kupitia email yangu ashakh@mzalendo.net
note: Msisitizo unatiliwa kuwa haya ni maandamano ya amani, kwa lengo la kudai haki zetu.
ningependa sana siku nione tanganyika inajitenga na zanzibar-
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom