Wazanzibari wapanga kufanya mandamano 1/4/2011 kisa wamechoshwa na Muungano

Status
Not open for further replies.
Dah asivali huu muungano uende tu labda na mm nitapata nafasi pale mjengoni kwani hawa wazanzibar wanaziba sana nafasi zetu kwenda mjengoni!
 
Kwa vile wazanzibari wanaona sisi ndio tunaofaidi muungano waendelee tu ,nadhani kuna jumuiya nyingi sasa wanaweza kujiunga nazo na mambo yaka mazuri ama waende EAC,au SADC,ikiwezekana warudi kwa mabwana zao OMAN hakuna kuwabembeleza,na sisi hatutaweka ubalozi wetu kule hatuna haja
 
Kwa maandamano ayo,by product litakuwa ni taifa jipya la Tanga nyika. Ndugu msiishie kuandamana,vunja muungano haraka. Zbar inawekwa mfukoni kisa muungano aibu. Juzi ccm imewaletea mtu kutoka bara pale magogoni,ata hakuwai kujipigia kura,yeye kura yake alimpa jk pale Oysterbay dsm,alaf akapanda boti kukabidhiwa zbar!ni aibu ni dharau ,na ni udikteta! Idai zbar huru jamani!
 
Tarehe 1/4/ ya kila mwaka ni SIKU YA WAJINGA DUNIANI

Wazanzibari mnachezewa akili hiyo ni siku ni ya wajinga hakuna kitu kama hicho!
 
Tokeni wala, hatuwataki, mkiondoka tu, tunaweka visa, 1000 USD kwa Mzanzibar kukanyaga bongo, tena inakuwa refered visa (visa rejea). Waiteni na wapemba wote walioko Tanganyika warudi kwenu kabla hamjajitenga maana tutawafanya kitu kibaya. Na baada ya hapo mtafanya biashara zenu na Kenya na wala msiote kuwa mtatumia tena soko ka Tanganyika kuuza bidhaa zenu kukuu mnazitoa Arabuni na kuzimwaga Tanganyika na hilo mjue mapema kabisa. Nafikiri bora muungane na Wakikuyu na Wajaruo maana wao ni watu wa shari na migogoro kwa nyie mtaishi vizuri sana, au mwalikeni mwarabu mtawala wenu arudi maana tunajua hamwezi kusimama peke yenu. Tunashindwa kujadili mambo ya muhimu Tanganyika tunabaki kujadili Zanzibar yenye population kama jimbo la Ubungo, hebu ondokeni mnaspoil vision ya nchi yetu.

Ohaa upoo,naona umelala,sisi ,kwa wageni foreign wanalipa dola mia,kwa kuja tanzania hivi zinakwenda wapi ?wewe weka dola 10,000 kuja tanganyika sisi pesa ya madafut tu hiyo haina shida,hata hivyoo wewe unaona kuwa wazanzibari hawana maana tukiondoka,lakini nakuwambia tanganyika inatuhitaji sisi zaidi kuliko sisi tunavyo wahitaji nyinyi,,,,kama hilo hufahamu waulize viongozi wako wakufahamishe,,,,

Suala la muungano na kero za muungano na hazikuja jana wala leo,tena tukizileta tu presha juuu munakuja,jee tukiuvunja jee si mutalia nyieee,,mfano dhahiri tulipobadilisha vipengele vya katiba mukawa muna ma presha hiii yote ni kuwa mumeona zanzibar inatoka katika muunganoo.
 
Zanzibar Kuna Ubaguzi Mbaya!.

Wabantu wa kule wanaonekana " Eti ni wakuja!". Shauri yao, mimi nawaonea huruma kweli hawa, wakiingia mtego wa kuvunja Muungano watakuja kujuta!. Mtu mweusi kuoa katika nyumba ya Wapemba shughuli!, sasa wakivunja Muungano wasijekujikuta wanasimangwa na kufanywa watu daraja la pili katika nchi yao wenyewe!. ANYWAY MTOTO AKILILIA WEMBE MPE!. ZANZIBAR DAINI NCHI YENU KUTOKA KATIKA MUUNGANO!, LAKINI MUDA SI MREFU MTAIKABIDHI KWA EAC! NA TUTAENDELEA KUPIGANA VIKUMBO MTAA WA SAMORA, THIS TIME WAKIWEMO WAKENYA, NA WAGANDA,WANYARWNDA,WARUNDI KAMA KAWAIDA. LAKINI HAMTAKUWA NA HAKI YA KUMILIKI ARDHI
 
Vunjeni muungano nani anautaka bana tuachieni Tanganyika yetu tupete mnatuzingua tu. Teh teh teh next morning sultani in the house.
Ni bora mkoloni mweupe kuliko mweusi ambaye amezoeya kuona damu sakafuniii,,,,na unyonyaji na utawala wa kidictetor,,,waliopindiliwa mwaka 1963 ni wazanzibari,walipindua ni wageni kama hufahamu history ya zanzibar,na ukiangalia wazanzibari halisi hapa zanzbar wana asili ya warabu wote awe mweupe awe mweusii,,,acha kejeli wewe dada au ndio umeshapata toto mwenye asili ya zanzibar mwenye singa singa hakusumbui wakati wa kumsuka nywele ? teh teh teh

Sisi tukiuvunja ndio busara kwetu...
 
GHIBUU,

..kwa upande wangu naomba maandamano hayo yafanikiwe kwa kiwango cha juu kabisa. tunaomba ujumbe usio na mashaka kabisa uwafikie watawala kwamba Muungano hautakiwi tena na Wazanzibari.

..ninawasihi muwe macho, wako Wazanzibar miongoni mwenu ambao wanataka muungano wa serikali 3. muundo huo wa muungano hauwezi kuisaidia Zanzibar kwasababu bado utayaacha masuala muhimu kama uchumi,fedha,ulinzi,mambo ya nje,uhamiaji etc etc ktk serikali ya muungano. humo katika serikali ya muungano wa-Tanganyika watalazimisha mambo yaende kivyao kutokana na ukubwa wa nchi yao na wingi wa wananchi wake. Zanzibaris will not get what they want and deserve kwa muundo wa serikali 3.

..kama wa-Zanzibari wanataka kuwa na UHURU kamili wa kujiamulia masuala yao na kujiletea maendeleo basi waukatae muungano hata ule wa serikali 3 na badala yake wakajiunge na jumuiya ya Afrika Mashariki.
 
Zanzibar Kuna Ubaguzi Mbaya!.

Wabantu wa kule wanaonekana " Eti ni wakuja!". Shauri yao, mimi nawaonea huruma kweli hawa, wakiingia mtego wa kuvunja Muungano watakuja kujuta!. Mtu mweusi kuoa katika nyumba ya Wapemba shughuli!, sasa wakivunja Muungano wasijekujikuta wanasimangwa na kufanywa watu daraja la pili katika nchi yao wenyewe!. ANYWAY MTOTO AKILILIA WEMBE MPE!. ZANZIBAR DAINI NCHI YENU KUTOKA KATIKA MUUNGANO!, LAKINI MUDA SI MREFU MTAIKABIDHI KWA EAC! NA TUTAENDELEA KUPIGANA VIKUMBO MTAA WA SAMORA, THIS TIME WAKIWEMO WAKENYA, NA WAGANDA,WANYARWNDA,WARUNDI KAMA KAWAIDA. LAKINI HAMTAKUWA NA HAKI YA KUMILIKI ARDHI

Zanzibar inataka ijitoe katika muungano ili irudishe mamlaka yake kama nchi huru,hisi sio tatizo kuonana samora hata ujerumani,china,dubai,london,france duniani kote tutaonaa tu,,,,,mbona una hofu mzee, Muungano wa EAC ni bora zaidi mana kila mtu ana taifa lake huru,huo ni muungano wakibiashara sio huu tuliona tanzania,na kama muungano huu ni mzuri kwanini uganda,kenye na congo asijunge katika muungano huu ?

Hebu fikiri kabla hujasemaaaa
 
Tarehe 1/4/ ya kila mwaka ni SIKU YA WAJINGA DUNIANI

Wazanzibari mnachezewa akili hiyo ni siku ni ya wajinga hakuna kitu kama hicho!

Pole sana kijana siku ya wajinga ni ile siku ambayo munasheherekea uhuru wa tanzania wakati tanzania haikupata uhuru,tanganyika ndio iliyopata uhuru,sasa jee wewe unasherekea siku gani ? KAMA SIO UJINGA HUO.

Kijana nakuambia kuwa mjinga ni yule asitete haki zake za msingi kama nyinyi kuukataa utaifa wenu wa tanganyika,,,pole kijana
 
GHIBUU,

..kwa upande wangu naomba maandamano hayo yafanikiwe kwa kiwango cha juu kabisa. tunaomba ujumbe usio na mashaka kabisa uwafikie watawala kwamba Muungano hautakiwi tena na Wazanzibari.

..ninawasihi muwe macho, wako Wazanzibar miongoni mwenu ambao wanataka muungano wa serikali 3. muundo huo wa muungano hauwezi kuisaidia Zanzibar kwasababu bado utayaacha masuala muhimu kama uchumi,fedha,ulinzi,mambo ya nje,uhamiaji etc etc ktk serikali ya muungano. humo katika serikali ya muungano wa-Tanganyika watalazimisha mambo yaende kivyao kutokana na ukubwa wa nchi yao na wingi wa wananchi wake. Zanzibaris will not get what they want and deserve kwa muundo wa serikali 3.

..kama wa-Zanzibari wanataka kuwa na UHURU kamili wa kujiamulia masuala yao na kujiletea maendeleo basi waukatae muungano hata ule wa serikali 3 na badala yake wakajiunge na jumuiya ya Afrika Mashariki.
Usijali wanguuu,maandamano yatakuwa na kiwango cha mikataifa mungu akipenda,tunaomba ushirikiano wenuu,,,,na kama ulivyosoma maelezo,tunawaomba wale wanaotuunga mkono nchi yeyote basi wawatafute wahusika ambao watafanya maandamano yao ili wawe kama mawakala natuweze kufanikisha hilo.

Kwa wale watanganyika kama wanataka kufanya maandano pia kutai tanganyika irudi sisi wazanzbari tutawaunga mkono kwa sababu ni haki yenu ya msingiiii, usanii huu kuwaita wazanzbari na watanganyika watanzania aibuu hamuoniiii...
 
GHIBUU,

..tatizo ninaloliona sasa hivi ni kwamba hakuna kiongozi yeyote yule anayedai Zanzibar ijitoe ktk muungano.

..viongozi wote, Maalim Seif included, wanataka muungano wa serikali 3. hata rasimu ya katiba ya CUF inataka muungano wa serikali 3.

..serikali ya Muungano tayari ipo, kinachokosekana ktk muundo wa serikali 3 ni serikali ya Tanganyika.

..ninavyoelewa mimi Zanzibar inahitaji mamlaka zaidi toka serikali ya muungano, siyo kuundwa kwa serikali ya Tanganyika.
 
Nadhani
hakuna mtanganyika wa kawaida mwenye shida na Zanzibar yenu na pia wananchi wengi wa Zanzibar mmehodhi ardhi katika Tanganyika.Tafadhali turudishieni.Kwa mujibu wa katiba mpya zanzibar ni nchi kamili yenye maamuzi yake yasioweza kuingiliwa na Tanganyika hivyo tayari muungano mmeshauvunja .Na watanganyika twa watakia kila la kheri katika nchi yenu .Sisi acha tuhangaikie hali ya maisha iliyo ngumu,ukosefu wa umeme na matumizi bora ya raslimali yetu.
 
Lini ilishakuwa nchi huru? Hata historia ya nchi yako hujui?

Zanzibar haijawahi kuwa huru. Hata huu uhuru wenu mlioupata na Karume, ni akina Okello waliwapigania.

Karume akabebwa na Nyerere kama KAPU na kuwekwa mjengoni. Masikini Zanzibar haijawahi kuwa nchi HURU.
Zanzibar inataka ijitoe katika muungano ili irudishe mamlaka yake kama nchi huru,hisi sio tatizo kuonana samora hata ujerumani,china,dubai,london,france duniani kote tutaonaa tu,,,,,mbona una hofu mzee, Muungano wa EAC ni bora zaidi mana kila mtu ana taifa lake huru,huo ni muungano wakibiashara sio huu tuliona tanzania,na kama muungano huu ni mzuri kwanini uganda,kenye na congo asijunge katika muungano huu ?

Hebu fikiri kabla hujasemaaaa
 
GHIBUU,

..tatizo ninaloliona sasa hivi ni kwamba hakuna kiongozi yeyote yule anayedai Zanzibar ijitoe ktk muungano.

..viongozi wote, Maalim Seif included, wanataka muungano wa serikali 3. hata rasimu ya katiba ya CUF inataka muungano wa serikali 3.

..serikali ya Muungano tayari ipo, kinachokosekana ktk muundo wa serikali 3 ni serikali ya Tanganyika.

..ninavyoelewa mimi Zanzibar inahitaji mamlaka zaidi toka serikali ya muungano, siyo kuundwa kwa serikali ya Tanganyika.

Hivyo vyama ndio vinavyosema lakini wananchi ndio wenye maamuzi,sisi wazanzibari tunautaka muungano lakini sio huu tulionao,ndioo maana wengine tunaupinga kutoka yale mabo ambayo tunahitaji yatolewe katika muungano viongozi wameshindwa,sasa kilichobaki ni wananchi wenyewe,ikiwa hawa walikuwa wanataka kweli tujadili haya mambo hayakuanza leo,maandamano tunataka muungano upitiwe upya kabisa,sio kufutiana utaifa.

Bila ya tanganyika hakuna muungano ndioo maana tukasema tuwe na serikali tatu,hata hivyo tunaweza kuwa na serikali tatu lakini ikawa serikali ya tanganyika kama boshan tu na badala yake serikali ya muungano ikawa bado still imebeba mamlaka ya zanzibar,lakini mimi naona kuuvunja muungano ni bora zaidi,,,upo muungano wa EAC utatuunganisha tena ,,,ila udugu wetu wa family upo hautotunganisha ila kiuchumi ndio tunataka tujikwamuee..
 
TANGANYIKA nimekosa nini hata watu wangu wa tanganyika hawanidai wala hawanihitaji ?
Tena wanakasirika wakiitwa WA TANGANYIKA,wanaona aibu kuitwa wa Tanganyik, ah! nimekosa nini mie Tanganyika!!!!!?.
 
wazanzibari tutakaa na kuimba:

ile lulu mlosema haipatikani
nimeipata nzima iko mikononi
kumbe bila ya kuzama haipatikani
tumetumia hekima akili kichwani
 
Zanzibar ni nchi. Jina Tanzania ni muunganisho wa majina ya Tanganyika na Zanzibar (Tan Zan ia ) Je tunaposema Tanzania Bara tunamaanisha nini? Tunahitaji tuuchambue muungano huu na tupate muungano ambao utarudisha hadhi ya kila nchi iliyoungana. Tuwe na Tanganyika, tuwe na Zanzibar halafu tuwe na Muungano. Hata hivyo mtoa mada anihakikishie kuwa tarehe hiyo ya 1/4/2011 sio siku ya wajinga (fools day) !!!!!!!!!!!!!!!!
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom