Wazanzibari wapanga kufanya mandamano 1/4/2011 kisa wamechoshwa na Muungano

Status
Not open for further replies.
The Union has been by-passed with global events. To me it is no longer necessary strategically for Tanganyika as it was then. Kama partner mmoja anaona anaonewa si ajitoe tu? Hakuna choyo wala wivu, Wazanzibari jitoeni tubaki na Tanganyika na nyie mmbaki na Unguja na Pemba (assuming haitagawanyika tena na tena na tena).

In fact Tanganyika stands to gain more financially Unguja na Pemba zikijitoa kwenye muungano. Just think, mtanunua nyanya kwa USD/EURO, wenye nyumba kariakoo mtakuwa foreigners all of a sudden (kodi tutadai kwa USD/EURO), hamtanunua mchele kutoka Kahama kwa madafu nk. nk. nk.

JAMANI, masuala ya muungano mbona yamo ndani ya uwezo wenu??? Mkisema hata usiku huu kuwa mnajitoa MNAWEZA.

acha upunguani wewe....zanzibar imekewepo kwa miaka mingapi kabla ya muungano? kwanini hamuipendi tanganyika yenu?
 
so simple mnatakiwa muandamne kama tahr squre na dunia itasikia kilio chenu. Sema hataki kujitenga mnapiga makelele tu na kupayuka , fanyeni maandamano muone kama hatutawapa kinchi chenu. Hatuwahitaji kabisa nyie tushawachoka banaa. Mnatutisha hapa.from whta i know ni kuwa suala la kujitenga lipo mikononi mwenu. Hivi fikirieni. Kaondoka mubarak sembuse nyie kujitenga semeni tu hamtaki wenyewe..
 
Waache kula urojo kwanza, ndiyo wapige move. alafu awa wa zenji awaeleweki yani kufa kote kule wamekubali kupigwa ndoa ya mkeka na CCM? kweli siamini ata wakifanya maandamano mm sishtuki kwani ayananguvu wakilainishwa kidogo wanaacha.
 
Waache kula urojo kwanza, ndiyo wapige move. alafu awa wa zenji awaeleweki yani kufa kote kule wamekubali kupigwa ndoa ya mkeka na CCM? kweli siamini ata wakifanya maandamano mm sishtuki kwani ayananguvu wakilainishwa kidogo wanaacha.

Muungano ndio unao tuulia ndugu zetu, hawa wote sio wazanzbari washenzi tu wa tanganyika wengine hata kiswahili hawajuiii muungano huu tumechoka nao,,,, http://www.youtube.com/watch?v=8vTs4Ue2cPs
 
Muungano huu wanaoujua ni CCM peke yao, watanganyika pia hatuutaki, kila la heri
 
nyinyi wanyamwezi kusema hamuchoki hivyo mumejaliwa lakinh utendaji ni zero,ufisadi unakithiri siku hadi siku umaskini ndo ucseme.watanga pori mna mambo kweliiii
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom