Toka lini Zanzibar aliwahi kujiendesha yenyewe?, toka utawala wa Sultan, mwingereza then Tanganyika (12 january 1964 mpaka 26 April 1964 this was a period where Zanzibar was de jure independent). lete data ambazo inaonyesha Zanzaibar inaweza simama. You just go away mnatuletea ghasia, we have nothing to loose zaidi ya hao wanasiasa wanautaka muungano ili walinde maslahi yao
Kijana nimesema kuwa huelewi kitu na nikisema sasa itakuwa natowa kejeli lakini waulize wazee wako sabuni za Lux walikuwa wakitumia vipi?