Wazanzibari wapanga kufanya mandamano 1/4/2011 kisa wamechoshwa na Muungano

Status
Not open for further replies.
Tunaweza kununua hakuna tatizo na dolla na euro zanzbar ni pesa ya kawaida kutokana na utalii kila kona ukipita mzungu huyoo anatumia dola upatikanaji wake sio tatizo,kama vyakula tunaweza kununua popote pale dunia,kuna south africa,zimbabwe,kenya,sio lazima tanganyika,au utakula mwenyewe au unanunua mwenyewe ?

Kijana una ukosefu wa maarifa,hebu fikiri kabla hujasema,kuna vyakula vingi tu kutoka nchi tofauti zanzibar na tanganyia hivi munanunua kwa shilingi au dolla ? Daha kweli watu wengine munahitaji elimu.

Tunaweza kujitoa wakati wowote na ndio tuko kwenye taatibu hizo,,,,,,

Lakini mkuu, hakusema kuwa hawatawauzia hivyo vyakula bali amesema watawauzia kwa 'foreign currences'. Mi nadhani zenj just ijitangaze tu kuwa she is no longer part of the union-badala ya kulalamika tuuuu kama mtoto wa kambo jambo ambalo linawakera watanganyika. Fact ni kwamba most of zanzibaris have been employed ktk taasisi nyingi za tanganyika as residents but none of"purely" tanganyikan hold permanent posts in isles. Watanganyika wanaona kwamba hii imewanyima fursa za kuajiriwa wao kama wazawa(conflict post divorce). Na mwishowe ifahamike kwamba, kulalamika ni reflection ya slave generation kutokana na ukweli kuwa mtumwa alwayz anaona anaonewa,anatengwa,hana haki, hayuko huru, anajawa na aggresive idea, then anapenda kuji-tune ili awe kama mabwana wake hatimaye apate status anayohisi amekosa. Kwa nn mna-publicise image mbaya namna hizi kwa jamii ya wazanzibar?
 
Inaonekana huna adabu wala mimi si kijana kwako, hili jukwaa hatufahamiani,mambo ya kuitana vijana hapa wala si mahari pake. Jenga hoja toka lini Zanzabar ilishawahi kisimama kama sovereign state?. Harafu mbona hampendi kuzungumzia historia yenu toka enzi za Utumwa, ili tujue nyie wanaharakati kweli..?? au hamjui nyie mliletwa hapo kama watumwa fikilieni wakati mwingine mjue hata mlikotoka, au mnafikiri nyie asili yenu ni Zanzibar. Hebu na wewe kamuulize mzazi wako ulifikaje Zanzibar atakupa jibu

Wewe unaonekana kweli wakuja hata kiswahili hujui halafu unaongea sana,ungelikuwa mtu mzima basi ungeliongea kwa heshima sana na kwa busara sasa angalia hapa usiandikie mate wakati wino upo.

YouTube - Zanzibar and Kenya Flags at UN
 
Lakini mkuu, hakusema kuwa hawatawauzia hivyo vyakula bali amesema watawauzia kwa 'foreign currences'. Mi nadhani zenj just ijitangaze tu kuwa she is no longer part of the union-badala ya kulalamika tuuuu kama mtoto wa kambo jambo ambalo linawakera watanganyika. Fact ni kwamba most of zanzibaris have been employed ktk taasisi nyingi za tanganyika as residents but none of"purely" tanganyikan hold permanent posts in isles. Watanganyika wanaona kwamba hii imewanyima fursa za kuajiriwa wao kama wazawa(conflict post divorce). Na mwishowe ifahamike kwamba, kulalamika ni reflection ya slave generation kutokana na ukweli kuwa mtumwa alwayz anaona anaonewa,anatengwa,hana haki, hayuko huru, anajawa na aggresive idea, then anapenda kuji-tune ili awe kama mabwana wake hatimaye apate status anayohisi amekosa. Kwa nn mna-publicise image mbaya namna hizi kwa jamii ya wazanzibar?

Bado umelala wewe,niambia wazenji gani amabo walioajiriwa tanganyika ? Wazenji walipo tanganyika most of them ni wafanya biashara tena wakubwa,ukianza na bakharesa na wengine,sasa nikuulize walioajiriwa ni wazenjii au watanganyika,,? Kuna mashamba wamekama wazenjii,kuna mabiashara everywer wako wazenjii na watanga wa nyika ndio mulioajiriwa hebu nyamaza wewe, unauchungu gani na zanzibar wewe ? Sisi ndio tutakao kufa njaa sasa unaumia nini ? Mbona mumetuganda sana kuna nini zanzbar hata hamutaki kutuwachia ?
 



Written by Ashakh (Kiongozi) // 06/03/2011 // Makala/Tahariri // 65 Comments

bendera1.jpg
Wananchi, wazalendo, wapenda amani, maendeleo na utaifa wa nchi yetu ya Zanzibar.
Kufuatia mjadala wa Katiba Mpya unavyoendelea, mengi yamefichuliwa dhidi ya muungano wetu uliodumu kwa miaka 47. Pamoja na nia njema wakati wa kuasisiwa muungano wanchi mbili, Tanganyika na Zanzibar, kiukweli sasa hivi hali haiku hivyo.
Tumeshuhudia wanansheria wetu, mara kwa mara, wamekuwa wakitoa dosari zao zinazoonyesha kupotea kwa nia njema iliyokusudiwa. Miongozi mwao ni pamoja na kutamka bayana kuwa muungano huu kisheria haipo tena, kilichobaki ni kinadharia tu.
Hivyo basi, ni wakati wetu sote kwa pamoja kuungana katika kudai haki yetu kama raia watiifu kwa taifa letu pamoja na kudai haki za nchi yetu iliyopoteza haki zake kwa kufanya maandamano ya amani.
Madhumuni ya maandamano.
- Kudai muungano ujadiliwe upya na pande zote.
- Kuunga mkono matamko yanayotolewa na wanasheria wetu kwenye mjadala wa katiba.
- Kutoa muamsho kwa jamii na wananchi juu ya kutetea haki za nchi na taifa letu – Zanzibar.
Petition itakuwa na ujumbe ambao ni open letter itakayo beba ujumbe mmoja wa madai yetu kwa sehemu zote zitakazofanyika maandamano.
Siku ya Maandamano.
Maandamano yamepangwa kufanyika siku ya Ijumaa tarehe 1/04/2011. Ijumaa ni siku ya mwisho wa wiki, itakuwa muafaka kwa Wazanzbibar wengi kuweza kushiriki. Vilevile itakuwa ni wiki nne kabla kufanyika sherehe za Muungano hapo 26/04/2011. Wale walioko makazini tunaomba waombe likizo zao mapema ili waweze kushiriki.
Eneo la Maandamano.
Maandamano yatafanyika ulimwengu mzima.
Kitovu cha maandamano haya kitakuwa ni ndani ya Zanzibar, ambapo Petition ya madai yetu itawasilishwa kwa Waziri wa Sheria na Katiba na Mwanasheria Mkuu wa SMZ.
Kwa wale walioko Tanzania Bara, wao watawasilisha Petition yao kwa Waziri wa Sheria na Mambo ya Katiba pamoja na Mwanasheria Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.
Kwa nchi nyengine dunia, Wazanzibar na Watanzania kwa jumla, watafanya maandamano kwa kila nchi yenye ubalozi wa Tanzania. Petition zitawasilishwa kwa mabalozi wa nchi husika ili kuziwasilisha kwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, ambae wakati huohuo anakuwa Rais wa Shughuli za Serikali ya Tanganyika pamoja na Rais wa Zanzibar.
Yanayohitajika
Tunaomba ushirikiano kutoka kwa Wazanzibar wote ulimwenguni kufanikisha shughuli hii. Tunahitaji mawakala wa kusimamia kutoka kila nchi husika. Hii itasaidia kufikisha ujumbe kule tunakokusudia.
Kwa maelezo zaidi tafadhali wasiliana nami kupitia email yangu ashakh@mzalendo.net
NOTE: Msisitizo unatiliwa kuwa haya ni maandamano ya amani, kwa lengo la kudai haki zetu.
 
Kuandamana ni haki ya kibinadamu, hivyo heko kila la kheri.

Pia kuhoji na kujadili ni haki!Heko tusanifu mantiki na mapana ya faida ya maandamano hayo endapo yakitokea.

Inshallah yetu macho!
 
Tunaweza kununua hakuna tatizo na dolla na euro zanzbar ni pesa ya kawaida kutokana na utalii kila kona ukipita mzungu huyoo anatumia dola upatikanaji wake sio tatizo,kama vyakula tunaweza kununua popote pale dunia,kuna south oafrica,zimbabwe,kenya,sio lazima tanganyika,au utakula mwenyewe au unanunua mwenyewe ?

Kijana una ukosefu wa maarifa,hebu fikiri kabla hujasema,kuna vyakula vingi tu kutoka nchi tofauti zanzibar na tanganyia hivi munanunua kwa shilingi au dolla ? Daha kweli watu wengine munahitaji elimu.

Tunaweza kujitoa wakati wowote na ndio tuko kwenye taatibu hizo,,,,,,

dieu na maarifa kati yangu na wewe ni nani
 
Kwa nini isingekua hata kesho? kwani tunawabembelezea nini? waende huko na mie ntawasaidia kuandamana! Hivi kwanini hawajamaa ni wavivu wa kufikiri hivi?
 
Tunaweza kununua hakuna tatizo na dolla na euro zanzbar ni pesa ya kawaida kutokana na utalii kila kona ukipita mzungu huyoo anatumia dola upatikanaji wake sio tatizo,kama vyakula tunaweza kununua popote pale dunia,kuna south africa,zimbabwe,kenya,sio lazima tanganyika,au utakula mwenyewe au unanunua mwenyewe ?

Kijana una ukosefu wa maarifa,hebu fikiri kabla hujasema,kuna vyakula vingi tu kutoka nchi tofauti zanzibar na tanganyia hivi munanunua kwa shilingi au dolla ? Daha kweli watu wengine munahitaji elimu.

Tunaweza kujitoa wakati wowote na ndio tuko kwenye taatibu hizo,,,,,,

Asie na maarifa kati yangu na wewe ni WEWE NA WATU WA AINA YAKO. Sijasema hamuwezi kununua chakula mahali kwingine (kama huoni tofauti Mbona leo hamnunui huko Ila mmejazana bara?) Jibu hoja. Jitoeni tunasema HATA LEO. Nani anawakataza? Tumieni bozo dollars na euros mnazoletewa na watalii ambao kesho mtasema ni makafir wanaowaharibia nchi. TUNASEMA JITOENI HATA LEO.
 
wengine tunaandamana maisha magumu na ufisadi, wenzetu wanajadili muungano tu.....

Hao ma bwana zao huko muscut wanaandamana kudai utawala bora.

Wao mchawi wao ni muungano. Kaazi kwelikweli.

Wakivunja muungano, ntapika pilau la nguvu kusherehekea ukombozi wa kwanza wa tanganyika.

Ntasubiri wakianza kuzichapa unguja na pemba na mwisho waarabu na waswahili....... Hapo watakuja na kupiga magoti tanganyika iwasaidie. Dawa hapo ni kuwaambia kuwa sasa mnakuwa ki-mkoa na si nchi.

looser.

looser
 
ha ha haa! Wewe na wenzio wenye mawazo kama yako nyote punguani. Andamaneni, nadhani mnatuchokoza watanganyika. Siku mzuka ukipanda tunawafutilia mbali. Hamna chochote mnachochangia tanganyika zaidi ya kutuongezea umasikini. Sikia, mdai kujitenga ndio itakua safi. Looser !

idiot. Looser.
 
Hujui lini zanzibar iliwahi kujisimamia wenyewe? Utajuaje weye mkuria wa mara kazi yako kuvuta bangi na kukeketa wasichana.

Sultan alietawala zanzibar na ambae hakuwa mzanzibari ni mmoja tu, nae ni sultan seyyid said bin sultan. Masultan wote waliofuatilia ni wazanzibari wa kuzaliwa. Au kwa tafsiri yako na muungu wako nyerere ni kuwa mzanzibari ni lazima awe mtu mweusi kutoka tanganyika na msumbiji? Kwa tafsiri hiyo pia itakuwa umekosea maana moh'd shamte waziri mkuu wa kwanza wa zanzibar huru alikuwa mweusi pia.

Au tatizo ni mfumo wa utawala wa kifalme ndio uliokufanya uone wafalme wa zanzibar hawakuwa wazanzibari? Kama ni hivyo je malkia wa uingereza nae ni mwarabu wa omani? Kumbuka nchi nyingi za ulaya zinatawaliwa kifalme na wala haziambiwi kuwa wanatawaliwa na waarabu vipi wazanzibari waliojitawala kifalme unasema kuwa walitawaliwa? Nenda zako tarime ukavute bangi ndio kazi uwezayo lkn siasa hujui.

Hujui hata unachokiandika ndugu yangu, Historia ya Usultan Zanzibar haifananishwi kamwe na tawala za Kifalme za nchi za Ulaya. Kwani nani hajui kwamba utawala wa Kisultan ulitoka Oman tangu mwaka 1840 huyo Sultan wa kwanza kuhamishia makazi yake Zanzibar?. Baada ya mapinduzi hiyo damu ya Kisultan ilikimbilia wapi?. Wadanganye watumbatu wenzako, tatizo Ulaya unaiona tu kwenye TV nata hujui hizi falme zimetoka wapi. Inawezekana wewe unadamu ya Oman ndio masalia mliobaki Zanzibar rudini kwa baba zenu Oman. You are living on no mans land, Zanzibar haina mwenyewe ni either mwende kwa waarabu au mjoin bara. Soma vizuri hiyo attachment ili ujue hao Mnaosema Watumbatu, Washiraz na Hadimu walitoka wapi na ili nawe ujue asili yako ndugu.

Wenzenu walipindua wakauwa baadhi ya Wahindi na waarabu na wengine walitumuliwa kama maweza nanyi pindueni na mvunje muungano kama mnajiona mmeota manyoya, unless mnapiga kelele tu na kuchezea sharubu, mnatughasi nyie kinda
 

Attachments

  • Zanzibaris and the Tumbatu.docx
    37.5 KB · Views: 192
  • Persians.docx
    18.1 KB · Views: 28
Zanzibar Kuna Ubaguzi Mbaya!.

Wabantu wa kule wanaonekana " Eti ni wakuja!". Shauri yao, mimi nawaonea huruma kweli hawa, wakiingia mtego wa kuvunja Muungano watakuja kujuta!. Mtu mweusi kuoa katika nyumba ya Wapemba shughuli!, sasa wakivunja Muungano wasijekujikuta wanasimangwa na kufanywa watu daraja la pili katika nchi yao wenyewe!. ANYWAY MTOTO AKILILIA WEMBE MPE!. ZANZIBAR DAINI NCHI YENU KUTOKA KATIKA MUUNGANO!, LAKINI MUDA SI MREFU MTAIKABIDHI KWA EAC! NA TUTAENDELEA KUPIGANA VIKUMBO MTAA WA SAMORA, THIS TIME WAKIWEMO WAKENYA, NA WAGANDA,WANYARWNDA,WARUNDI KAMA KAWAIDA. LAKINI HAMTAKUWA NA HAKI YA KUMILIKI ARDHI
Nina hakika 100% kuwa hujabahatika kufika Zanzibar usingebwabwaja ovyo!
 
Bora wapewe uhuru wao wanaotaka watuachie tanganyika yetu! Wakirudi tena unakuwa mkoa cyo nchi tena. Nchi ina wabunge wengi maraisi wa2 lakini watu hata mil 2 hawafiki wachache kuliko jimbo moja la bongo.

Hujui ulisemalo. Bora unyamaze. IDIOT.
 
Bado umelala wewe,niambia wazenji gani amabo walioajiriwa tanganyika ? Wazenji walipo tanganyika most of them ni wafanya biashara tena wakubwa,ukianza na bakharesa na wengine,sasa nikuulize walioajiriwa ni wazenjii au watanganyika,,? Kuna mashamba wamekama wazenjii,kuna mabiashara everywer wako wazenjii na watanga wa nyika ndio mulioajiriwa hebu nyamaza wewe, unauchungu gani na zanzibar wewe ? Sisi ndio tutakao kufa njaa sasa unaumia nini ? Mbona mumetuganda sana kuna nini zanzbar hata hamutaki kutuwachia ?

Am sory! Kumbe naongea na very junior and inferior person(empty minded)!? So Talaka hautopatiwa lakini ukiondoka hautapapatikiwa, bali utadharauliwa na kupuuziwa na wala hautawaziwa kwa vile si mwingi wa fadhilaaaaa! Nisalimie yule mjomba'angu wa ntu aliwa mwambie tutaonana tukija'aliwa tena asisahau kuja na liwa asihofu sote tu wakiwa!!!
 
Inaonekana huna adabu wala mimi si kijana kwako, hili jukwaa hatufahamiani,mambo ya kuitana vijana hapa wala si mahari pake. Jenga hoja toka lini Zanzabar ilishawahi kisimama kama sovereign state?. Harafu mbona hampendi kuzungumzia historia yenu toka enzi za Utumwa, ili tujue nyie wanaharakati kweli..?? au hamjui nyie mliletwa hapo kama watumwa fikilieni wakati mwingine mjue hata mlikotoka, au mnafikiri nyie asili yenu ni Zanzibar. Hebu na wewe kamuulize mzazi wako ulifikaje Zanzibar atakupa jibu
Naam kizee mwenye adabu, Kama ungekuwa na bahati ya kutokuwa kijana basi ungeelewa kuwa unapozungumzia utumwa unazungumzia watu kutoka nje ya visiwa vya Zanzibar. Lafudhi yako inanionyesha kuwa wewe ni miongoni mwa makabila yaliyokuwa wateja wa utumwa. Kiswahili hukijui na hiyo ni kigezo kikubwa kuwa kizee wewe unatoka huko walikotolewa hao watumwa!
Wewe ni zobe kweli , hivyo Muungano wa Tanzania ni muungano wa vitu gani? Hivyo hujui kuwa zanzibar ilikuwa na kiti chake Umoja wa Mataifa na wale wasio zoba kama wewe tunaelewa kuwa huendi kule bila ya kuwa na Soereignty.. Babu Unajuwa Maana ya Mapinduzi? Jee alipinduliwa Muingereza?
Halafu nikueleze kwa vile ulikuwa hujazaliwa bado, hadi mwaka 1977, Zanzibar ikijitegemea kwa kila kitu hadi pale Nyerere alipoiteka kwa kuunganisha vyama(sijuwi kama unaelewa kuwa kulikuwa na vyama tofauti pande mbili hizi?
Wewe kazania kusoma vitabu ili uijuwe Zanzibar lakini nakuonya kuwa kila mwandishi ana sababu zake katika kuandika.
 
Asie na maarifa kati yangu na wewe ni WEWE NA WATU WA AINA YAKO. Sijasema hamuwezi kununua chakula mahali kwingine (kama huoni tofauti Mbona leo hamnunui huko Ila mmejazana bara?) Jibu hoja. Jitoeni tunasema HATA LEO. Nani anawakataza? Tumieni bozo dollars na euros mnazoletewa na watalii ambao kesho mtasema ni makafir wanaowaharibia nchi. TUNASEMA JITOENI HATA LEO.

Tuko bara kwasababu mnatulazimisha kuweko huko. Kwanini hamtuwachiliii kufanya tunayoyataka eti ni Muungano. Hili la utegemezi kwenu ni la mkakati wa makusudi ili mzidi kututawala. Angalia imefika sasa kuwa mambo ya Zanzibar yanaanza kuingiliwa na Rais wa Tanganyika. Eti msaada kwa Zanzibar unatikwa saini Ikulu zanzibar, hii nini maana yake? Ni miaka karibu 47 haijawahi kufanywa haya. Halafu mseme kuwa mko tayari kuuachia mzigo, yaguju mtafanya kila hila mtubakishe kama koloni lenu!!
 
Kwa nini isingekua hata kesho? kwani tunawabembelezea nini? waende huko na mie ntawasaidia kuandamana! Hivi kwanini hawajamaa ni wavivu wa kufikiri hivi?


Ukimaanisha ndugu zako au vipi? Wazanzibari wanafikiri na wanajuwa kipi wanakitaka na sio nyie mnaosema lakini hatekelezi.
 
The Union has been by-passed with global events. To me it is no longer necessary strategically for Tanganyika as it was then. Kama partner mmoja anaona anaonewa si ajitoe tu? Hakuna choyo wala wivu, Wazanzibari jitoeni tubaki na Tanganyika na nyie mmbaki na Unguja na Pemba (assuming haitagawanyika tena na tena na tena).

In fact Tanganyika stands to gain more financially Unguja na Pemba zikijitoa kwenye muungano. Just think, mtanunua nyanya kwa USD/EURO, wenye nyumba kariakoo mtakuwa foreigners all of a sudden (kodi tutadai kwa USD/EURO), hamtanunua mchele kutoka Kahama kwa madafu nk. nk. nk.

JAMANI, masuala ya muungano mbona yamo ndani ya uwezo wenu??? Mkisema hata usiku huu kuwa mnajitoa MNAWEZA.

Mkuu.
Wanayoizungumza ni Zanzibar...sio Unguja na Pemba. Hapa unazungumza kama wale wahafidhina wa Zenj.

Lakini kuwa wageni kwa Wazenj muungano ukivujwa basi nafikiri siyo hivyo unavyotamani...kutakuwa na mpangilio..wapo wazenj Tanganyika na wapo watanganyika Zenj..Lazima kutakuwa na mpito wa kuwapa nafasi makundi hayo mawili kuchagua urai wa sehemu wanayoitaka kuwa raia. Itakuwa si ugomvi bali majadiliano na makubaliano.

Watanzania leo tunapofanya biashara na Kenya au Uganda tunatumia fedha gani? Kama ni dola basi ndio biashara baina ya mataifa..si hoja ya kutisha sana.

Ama la kusema wajitoe na inawezekana..nafikiri umesahau zile kesi za uhaini.. na hata wasomi wetu wanaposema mabadiliko waliyofanya wazenj ni uhaini au wamevunja muungano.

Leo kila mtu anasema anaitaka Tanganyika kwa ghadhabu kwa sababu wazenj wataandama kutaka muungano wa "mazingaombwe","usanii" ufanyiwe mabadiliko au uvujwe...Unalikumbuka G55 na Mtikila? Hivi ni kweli Tunaitaka Tanganyika? Sisi ndio wengi, wababe na wenye nguvu kwani nini kama wananchi hatufanyi kama wanayotaka kufanya wazenj kuidai Tanganyika? Tanganyika huru na inayoonekana kama nchi nyengine ? Hata UK, wana majina yao, wales, Scotland, England, N.Ireland...haya Tanzania kuna majina yepi? Tanzania bara na Zanzibar..ndio huo "usanii"

Naona tunayajadili haya masuala kwa jazba, kejeli na matusi au vitisho kwa hiyo ni kupiga kelele sio mijadala wala majadiliano ambayo yanampa kila mpenda haki na usawa ajione anachangia kwa uhuru kwa kadiri ya uelewa wake na vile anavyopendelea kuona muungano wetu uwe na uendeshaji wake.

Kama kweli tunaitaka Tanganyika na tunahisi ndio itakuwa unafuu kwetu hawa "ndugu zetu" wakijikata na kwa vile Wazenj pia wanataka hilo litokee basi njia sahihi ni majadiliano na makubaliano sio kupigishana kelele na kutukanana na kukejeliana.
Wao wanahisi itakuwa ni win situation na sisi tunahisi ni win situation..sasa ya nini ugomvi hapa? Eti wanajamvi!!??

Tuendeshe mjadala huu kwa vizuri ili viongozi wetu wa-take note kuwa watu, wananchi sasa wanataka Muungano wa aina hii au wanataka uvujwe kwa sababu hizi. Tutoe sababu,hoja zetu katika mada.

Kwa aina hii ya mipasho tunayotupiana katika mada zetu.. nani atatuchukulia kuwa tuko serious?
 
Lakini mkuu, hakusema kuwa hawatawauzia hivyo vyakula bali amesema watawauzia kwa 'foreign currences'. Mi nadhani zenj just ijitangaze tu kuwa she is no longer part of the union-badala ya kulalamika tuuuu kama mtoto wa kambo jambo ambalo linawakera watanganyika. Fact ni kwamba most of zanzibaris have been employed ktk taasisi nyingi za tanganyika as residents but none of"purely" tanganyikan hold permanent posts in isles. Watanganyika wanaona kwamba hii imewanyima fursa za kuajiriwa wao kama wazawa(conflict post divorce). Na mwishowe ifahamike kwamba, kulalamika ni reflection ya slave generation kutokana na ukweli kuwa mtumwa alwayz anaona anaonewa,anatengwa,hana haki, hayuko huru, anajawa na aggresive idea, then anapenda kuji-tune ili awe kama mabwana wake hatimaye apate status anayohisi amekosa. Kwa nn mna-publicise image mbaya namna hizi kwa jamii ya wazanzibar?


Bwana mdogo matusi yako unayarembea tu? Hivyo malalamiko ya CHADEMA ni kuonyesha Mbowe, Zitto, Mnyika <Slaa ni watumwa? (Tafadhali futa usemi wako!
Hali hali halisi ya jambo itabaki hivyo hivyo hadi pale itakavyobadilika. Watanzania tunalalamika na hali mbaya ya uchumi jee ni watumwa au ni hali halisi? Tunalalamika na ufisadi jee Slaa ni kiongozi wa Watmwa? Tunalalmika umeme jee ni watumwa? Na niambie kama hivi vitu havijaondoka tutanyamaza kulalamika?

Nashanga na tabia ya wengi wa watu wa upande mmoja wa Muungano kufanya vitendo visivyo vya haki kwa upande wapili na kutaka wanyamaziwe. Mpaka pale mtakapoacha kujiona kuwa nyie ni bora ndani ya Muungano huu ndipo Wazanzibari watakapoacha kulalamika kufanywa wajinga ndani ya Muungano! Ama hili la ajira si kweli kuwa kuna waajiriwa wengi kutoka Zanzibar kwenye taasisi za Muungano. Ni kidogo sana tena sana kiasi kuwa kwenye taasisi za Muungano basi asilimia labda2%. Na ni moja ya malalamiko ya msingi yaliomo ndani ya Muungano. WABARA wengi wanahisi kuwa Zanzibar ilijiunga na Tanganyika na sio iliungana na Tanganyika na huu ni ufinyu wenu wa mawanzo1
 
Am sory! Kumbe naongea na very junior and inferior person(empty minded)!? So Talaka hautopatiwa lakini ukiondoka hautapapatikiwa, bali utadharauliwa na kupuuziwa na wala hautawaziwa kwa vile si mwingi wa fadhilaaaaa! Nisalimie yule mjomba'angu wa ntu aliwa mwambie tutaonana tukija'aliwa tena asisahau kuja na liwa asihofu sote tu wakiwa!!!
Mkuu.
Nilifikiri nasoma beti za yule mwimbaji maarufu wa fani ya "......sho" Hadija Kopa.
Mkuu..tuungane tuanzishe kikundi cha tarabu.

Umenifurahisha,mkuu.
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom