Wazamiaji wa miaka ya 90

Wazamiaji wa miaka ya 90

Duu...mkuu jamaa alifikaje Mexico wakati hakuwa na passport? na kwa hilo la ubaguzi wa libya nakubaliana na wewe mkuu,,....hadi sasa ni wabaguzi sana Mkuu... Kuna jamaa yng wa kinigeria alishapia hapo,,2016.,hyo njia ya Nigeria,,Niger,,Libya,,Italy..aliishi hapo Libya kwa miezi 6 kabla ya kuelekea Italy anapoishi hadi sasa,,,,,anasema iliwachukuwa masaa 18 kutoka bahari ya Libya hadi kuikuta blue sea,,,bahari ya Italy,,,pia anakwambiya ktk hyo network ya human trafic ni kubwa sana,,,na inaanzia huko nigeria,,senegal niger,,kuna watu wana contacts za jamaa wa libya,,,wanasema wanakusanywa watu zaidi ya 500 au 400 kila mtu atatoa dola zisizopunguwa 1000 halafu wananunuwa boat wanaweka mashine,,,halafu yule boat man,,,anakuwa among migrants nae anakuwa hatoi pesa za usafiri lakini kazi yake ni kuendesha boat ile,,,sasa anakwambiya wanapotoka lazima wawataarifu baadhi ya askani on duty wa libya wa majini ili wawaache watoke eneo la libya,,,,kwani wasipotaarifu na kuwapa pesa ,,jamaa wakiwafukuzia na boat zao ni too speed...anasema wakikamatwa kabla ya kuingie the blue sea,,basi adhabu yao ni kurudishwa Libya,,, na kipigo juu huko gerezani,,pia adhabu yake ni euro 500 kila mmoja ndy unaachiwa huru...tena unapewa simu uwapigie ndugu zako huko walipo wakutumie pesa,,kuna Ethiopians,, Somali,,Nigerians, senegalis na waafrica weusi wengi tu kwnye magereza yao hapo Libya ktk suala ka kukamatwa baharini.,,,,,jamaa anakwambiya sometimes hao migrants wanaona ni bora kujitosa baharini kuliko kukamatwa na askari wa libyakurudishwa Libya,,,jamaa anasemaa hiyo njia mtu akipita na kufika salama Italy,,,basi ni MUNGU tu ametenda,miujiza,,lakini ni nusu kifo njia nzima,,,na anakwambiya hapo Libya kuna kundi la walibya weupe linabaka wanawake weusi Wa Africa,,,, mfano wakiona mwanaume mweusi anaingia chumbani na mwanamke muarabu wa Libya basi hao jamaa Wanakuja,,,na haijulikani wanapewa taarifa na nani,,pengine ni jukumu la kila raia mwarabu mwenye roho ya kibaguzi,,,, kutoa taarifa kwa kundi hilo kuja kuteka watu,,basi anakwambiya wakija wanakupiga na kumchukuwa Dada yao wa kiarabu,,,kama ni mweusi basi atabakwa mbele yako,,huku wewe ukipokonywa Mali zako,,, nilishasema siku moja kuwa mwafrika ni yule mweusi tiiii,,,na sio hawa waarabu wa Africa,,,ni hawa wazungu ndy waliowaweka upande wetu,,,lakini sio wenzetu..kabisa,,,
Best comment ya thread! Umemaliza. Waje watu washupaze shingo. Wale washenzi wa Afrika ya Kaskazini ni mbwaaa. Sijawahi kuwaona kama wenzetu. Halafu li-mtu kwa kujipendekeza anawaita ndugu ktk imani. My foot! Mimi japo muislam, sina shobo na hawa watesi weupe. Wakati mwingine bora ya wazungu, ubaguzi wao ni very calculated. Ila hawa waarabu ni washenzi sana. Mbaya zaidi hata mamlaka zao za kiserikali huwezi kushinda kesi.

Kuna msomali mmoja alinieleza namna walivyomlawiti kaka yake huko Libya ktk kutafuta maisha. Hawa watu sodomy ipo in veins.
 
Ngoja nikazie Uzi wako mkuu,,,,kile kisiwa cha mayote kinahesabika kama upo france territory,ni moja ya mikoa ya France,,wanaongea kiswahili na kifaransa,,na wanatumia euro na wanapata haki sawa na mfaransa aliyeko France,,na hata passport ni ya kifaransa,,,ktk Africa bado kuna visiwa viwili vinavyo milikiwa na ufaransa ambayo ni mayyote na reunion,,,,, vipo visiwa vidogo kidogo vingi ambavyo hadi Leo vinamilikiwa na France,,.huko america ya kusini,,,,na wanahesabu kama mkoa wa France,,, mfano , kuna guyane,,huko America kusini,pia wapo under franch territory hadi sasa,,na wanaongea kifaransa na kutumia euro,,na wanapiga kura kumchaguwa rais wa ufaransa kama wafaransa,,,,na france wakikuwekea ban kufika kwao maana yake hata hizo inchi zilizopo under France territory huruhusiwi kwenda,,,,hivyo visiwa vina fursa sna wakuu,,,halafu wana warembo wazuri sn,,,,kwa wale wanaotaka kujilipua bora wasogee mayyote ambacho kipo karibu na Comoro hapo,,na hyo reunion kinapakana na Madagascar,,, wakuu kazi kwenu...
Aisee good insight asee
 
Sasa hivi kufake marriage ni ngumu kidogo ulaya,,, njia PEKEE na ya kirahisi ni kufake gender,,,, wengi wanasema gays..ukisema wewe ni gay na huko ulipotoka umekoswakoswa kukamatwa uuliwe,,,duu...hata miezi mitatu haifiki ushapewa makaratasi ya kuishi ,na wanakutafutia partner so fast akuliwaze...duu wazungu hawa...ni balaa...laana tupu
Yeah sure ya u-gay ni fasta. Sema ufala wake wanakupeleka kwenye gay society. Hapo ndiyo movie inaanza. Kujaribu kujinasua ni unaharibu mambo yote. Yaani ni shida!
 
Jamani atakayetangulia kufika MAYYOTE alete mrejesho humu mie pia kwa nafsi moja naomba MUNGU anijalie afya na mipango yangu ikae sawa ili niweze kufika MAYYOTE nikajifunze maisha ambaye anataka pa kuanzia aanze na hapa
IMG_20200613_171933_711.jpg
IMG_20200613_172043_309.jpg
 
Kweli BAHARIA,,, hata ukikita pale ni fursa,,,baadae unaomba karatasi,,, mambo mengine yanaendelea,,halafu kuna wanawake pale hatari,,,kama wabongo tu mkuu,,,kuanzia mavazi hata ngoma zao,,,mm naamini kabisa pengine ni babu na bibi zetu walikimbilia kule Mayotte...
Ndio baharia, kuna jamaa yangu yeye kule kaishi sana, mwaka jana nilikuwa naye alikuja likizo huku tukawa tunabadilishana mawazo.

Kule ni sehemu safi mkuu, mimi Nina project zangu nikienda kufanyia kule nikuteleza barrier hakuna.

Kuhusu wanawake huko ndio balaa, kuna mzee ana mishe zake huko kila tukionana haishi kuwasifia, yeye huko ndio sehemu yake ya mapumziko.
 
Jamani atakayetangulia kufika MAYYOTE alete mrejesho humu mie pia kwa nafsi moja naomba MUNGU anijalie afya na mipango yangu ikae sawa ili niweze kufika MAYYOTE nikajifunze maisha ambaye anataka pa kuanzia aanze na hapaView attachment 1477402View attachment 1477403
Mkuu huko kuingia mpaka upite ubalozi wa France,wengi wakati wa kwenda hupitia usafiri wa maji.

Kuingia huko mpaka uwe visa ya France, hilo ni miliki yao.
 
Labda nikwambiye kitu mkuu,,,,ukiwa ulaya mwanamke mweusi anakuwa na thamani sn,,,,nikisema mweusi namaanisha wale Dada zetu weusi tii,,,hivyo basi wanawake kama waethiopia wanapatikana kwa urahisi sana tu...nimewafaidi sn nikiwa Turkey... Na Greece,,, wengi Wanakuja kule hawana ndugu au hawajuwi pa kwenda,,..baada ya camp kama ya two weeks wanaachiwa mitaani ,,hapo ndy shida pa kulala,,,huwa tunawasubiri bus au train statations,,,, so tunajichagulia tu,,,,unaishi nae na kuzaa nae watoto kabisa,,,ila siku akikutana na ndugu zake jiandae kisaikolojia...kwahyo watu wanapogegeda hao ni kwamba huweziwapata maeneo mengine mkuu zaidi ya wakati wa shida zao,,,hao nao ni wabaguzi mno kwa ngozi zetu hizi nyeusi tiiiii,,,,ndy maana tunawafungia kazi tukipata nafasi kuwapekenyua....hadi kieleweke..lakini black woman is the best...everywhere Mkuu....
Watu weusi licha ya kupaza sauti juu ya madhila tunayofanyiwa na races zingine nasi tuna matatizo makubwa. Waethiopia makabila makubwa mawili Oromo na Amhara wanabaguana sana hata wakiwa nje ya nchi zao. Ni ujingaujinga tu. Sijui huwa tuna matatizo gani. Hata hii black movement; kuna clip nimeiona akilalamika Prof mmarekani mweusi juu ya wafrika kutoka Afrika kutoshiriki nao kwenye protests za kudai haki za mtu mweusi, akatolea mfano West Africans. Ukiangalia ni kweli!

Wahabeshi kujikataa kuwa ni watu weusi ni inferiority complex. Wakienda Arabuni waarabu wanawachukulia kama watu weusi - hivyo ni slaves.

Ila siri ya wao kufanikiwa kibiashara ni kama ilivyo kwa wanaija, waghana na wasenego ni msoto. Hizi nchi watu wanapitia msoto sana.
 
Kweli BAHARIA,,, hata ukikita pale ni fursa,,,baadae unaomba karatasi,,, mambo mengine yanaendelea,,halafu kuna wanawake pale hatari,,,kama wabongo tu mkuu,,,kuanzia mavazi hata ngoma zao,,,mm naamini kabisa pengine ni babu na bibi zetu walikimbilia kule Mayotte...
Mambo yanabadilika kwa kasi sana. Hivi kwa wale waliozaliwa zamani kidogo mnakumbuka ilikuwa mtanzania kwenda Uingereza hutakiwa kuomba viza? Ukishapata passport yako unakwenda Airport moja kwa moja kukwea pipa! Kipindi hicho watu wengi walikuwa bado ''wamelala'' na hawakuwa wanakwenda kutafuta maisha. Hata walipoanza mpango wa msafiri kutakiwa kuwa na viza baadhi ya nchi kama Malawi watu walikuwa wanakwenda bila viza.
 
...huu uzi mzuri ila humu kuna watu n wajinga ambao wanapenda shortcut eventually mnakuwa mashog tu n kuparamiwa na midume ya kizungu wote mwanaume n mwanamke mnaparamiwa n midume ya kizungu.........tanzania maisha n rahisi kama unatumia akil ila kama wapenda vya bure na kutafuniwa....yani usome ila usiwe na akili unasoma il uajiliwe au hujasoma alaf una ujinga kibao kichwan unashindwa kutumia akil yako kugundua fursa kibao mitaani hapo lazma ulalamike maisha n magumu kitu ambacho sikweli.....yani wenzenu wametumia akili zao kujenga mabara yao ninyi wapenda vya bure na kutafuniwa mnakwenda tu ndo mana mtu mweusi yuko nyuma na anabaguliwa kwa akili hiz ........mimi nimemaliza chuo miaka 6 iliyopita na ajira sina hadi leo ila natengeneza pesa ndefu kuliko huyo mwajiriwa wa selikali before sikuwahi fikiria kama ninyi...... ukweli ni kwamba dunia nzima hakuna maisha rahisi hata uende chini ya bahar....na hizi ndio akil za mwafrica mweusi unafikiri mzungu angekuwa na mawazo haya mngetamani hata kwenda huko kwao si pangekuwa kama huku mnapopakimbia......msipende vya bure nyie vijana wa kiafrika utapakatwa wewe na mkeo.........bado mna mawazo ya kitumwa......sasa nimeamini kwamba inawezeka kwa watumwa 1000 wa kiafrika kuongozwa na wazungu wawili wenye bunduki moja n mjeredi......
Maisha ya Bongo yanaweza kubadilika muda wowote! Unaweza kuwa umejenga nyumba na una kibiashara chako ukajiona umemaliza kila kitu lakini mara mambo yakageuka ghafla ukajikuta kwenye hali mbaya sana. Vilevile ni vizuri watu wasafiri wapanue mawazo na waondoe msongomano wa kila mmoja kufanya biashara Bongo. Infact ni nchi zetu za dunia ya tatu ndiyo unakuta karibu kila mtu ni mjasiriamali (hata wale walioajiriwa rasmi). Majuu ukikuta mtu ni mwalimu basi atakuwa anafundisha tu na kipato kitamtosha mpaka atakapostaafu, na akistaafu ataishi kwa kutumia pensheni yake. Majuu hukusanyi fedha ya kujenga, sana sana utanunua nyumba kwa mkopo na utakatwa kila mwezi fedha ambayo ni sawa na kodi ya nyumba.
 
...huu uzi mzuri ila humu kuna watu n wajinga ambao wanapenda shortcut eventually mnakuwa mashog tu n kuparamiwa na midume ya kizungu wote mwanaume n mwanamke mnaparamiwa n midume ya kizungu.........tanzania maisha n rahisi kama unatumia akil ila kama wapenda vya bure na kutafuniwa....yani usome ila usiwe na akili unasoma il uajiliwe au hujasoma alaf una ujinga kibao kichwan unashindwa kutumia akil yako kugundua fursa kibao mitaani hapo lazma ulalamike maisha n magumu kitu ambacho sikweli.....yani wenzenu wametumia akili zao kujenga mabara yao ninyi wapenda vya bure na kutafuniwa mnakwenda tu ndo mana mtu mweusi yuko nyuma na anabaguliwa kwa akili hiz ........mimi nimemaliza chuo miaka 6 iliyopita na ajira sina hadi leo ila natengeneza pesa ndefu kuliko huyo mwajiriwa wa selikali before sikuwahi fikiria kama ninyi...... ukweli ni kwamba dunia nzima hakuna maisha rahisi hata uende chini ya bahar....na hizi ndio akil za mwafrica mweusi unafikiri mzungu angekuwa na mawazo haya mngetamani hata kwenda huko kwao si pangekuwa kama huku mnapopakimbia......msipende vya bure nyie vijana wa kiafrika utapakatwa wewe na mkeo.........bado mna mawazo ya kitumwa......sasa nimeamini kwamba inawezeka kwa watumwa 1000 wa kiafrika kuongozwa na wazungu wawili wenye bunduki moja n mjeredi......


Hhhaaa...wengine hatuna njaa unayowaza ww mkuu!...binafsi natamani kutoka nje nione kuna vitu gani...kuongeza tu upeo!..thts all!
 
Mkuu Mayotte bado watu hawajaijulia vizuri lakini ni sehemu rahisi kufika France.
Kwa hawa Dada zetu kule nasikia ukiwa na uwezo wa Kupika Swahili food mafanikio yanakuwa kiganjani.

Mimi ilikuwa niende February mifuko ikatoboka, ila nitaenda nikatafute pesa ya agent nipande meli.

Mkuu huko kuingia mpaka upite ubalozi wa France,wengi wakati wa kwenda hupitia usafiri wa maji.

Kuingia huko mpaka uwe visa ya France, hilo ni miliki yao.
Mkuu nakucheki PM. mimi nina mwanangu mfaransa ananielewa sana anaishi Bordeaux kikazi. Sijui atasaidia vipi nifike Mayotte. Kuna mwanangu mrundi aliamsha mwaka 2011 kwenda Mayotte kipindi ananiambia twende nilikua sina maamuzi sahihi. Sasa yupo Belgium.
 
Mkuu inchi zinazotoa allowance kubwa kwa raia wake kwa mwezi ni France,,,Italy,,Belgium,, Finland,,Denmark,, Austria,, zingine nimesahau,, ila mfano France,,,ukiwa unafanya kazi unakatwa pesa Fulani kwa mwezi ,,,kwa ajili ya kusaidia kuwalipa wale ambo hawana kazi,,,ukiwa si mfanyakazi wanakula euro 800,,,na wale wanafanya kazi wakistaafu wanakula euro 1300 kwa mwezi,,France wana benefit nyingi sn kwa raia wake,,,mfano ukiwa na mtoto anapewa euro 300 kila mtoto kwa mwezi,,,back to schools,,,kila family itapokea euro 400 kwa kila mtoto kwa ajili ya mtoto kurudi shule,,,,family inapoamua kuhama makazi family itapokea euro 900 kusaidia kuhama kwa watoto 3,,,na ni watoto kuanzia 0 aged to under 20 ,,,mfano mfaransa akiwa jela,,,,atalipwa euro 20 ndani za kujikimu kila mwezi,,, na miezi sita kablahajatoka anaandaliwa mazingira ya kazi huko nje na anaandaliwa nyumba mpya na kodi ya miezi 3 analipiwa akitoka anafikia kwenye nyumba hiyo kama Hana pa kwenda.....
acha watu wazamie huko tu ingekuwa ipo bongo hii system hakuna mtu angejisumbua kutafuta kazi..
 
Back
Top Bottom