Wazamiaji wa miaka ya 90

Wazamiaji wa miaka ya 90

Big up sn mkuu kwa kutafuta hadi hapo ulipo una mengi ya kusimulia watoto wako ili nao wajifunze
Yawezekana mkuu,,,wala sikupingi,,,maana siku hizi wazee wa copy na paste ni wengi....anaweza mtu anachukuwa story ya mtu mitandaoni akauvaa uhusika,,akaansisha Uzi sehemu..lakini hicho kisa ni changu,,na sio mara moja kujieleza,,,mkuu Mimi nilishawahi kuishi hata Asia,,, Nina matukio mengi ya kutafuta maisha,,,lakini sipendi kuweka sana mitandaoni kuhofia copy na paste...siku ukieleza mahala kumbe wazee wa paste washapeleka mahali..wengi wanakuwa sio wahusika ni kusikia mambo ya vijiweni au mitandaoni..
 
Mkuu watu wote Duniani tunatamaniana, na kuhitajiana, Wazungu mbona wanakuja huko Bongo na Africa kwa ujumla. wachina, waarabu, wahindi nk tatizo la wazaramo kijicho! wanajua majuu ni salama zaidi!
Wazungu wanapenda kujifunza,,,ndy sababu zinazowaleta Africa,,kujuwa mambo na vitu Africa,,sio kingine,,,pia wazungu hupenda kuja Africa kipindi ambapo kwao ni baridi Kali,,,Wanakuja Africa Ku enjoy summer time...
 
Mkuu umenikumbusha wimbo wa wagosi wa kaya nadhani.
Mwamba kazamia meli kuja kuibuka yuko Kigamboni.
Na safari ya Ulaya ikaishia hapo
 
Hhahahaa..kwamba "tone"hhaaha ukiona hivyo jua yamefika hapaa!
Kwa spirit uliyonayo njia nzuri ambayo utatumia akili kuingia Ulaya, kwa wewe mwanamke inabidi uende visiwa vya Mayotte kule utaapiga biashara na connection za nje utapata mpaka ukimbie.

Kisiwa hicho kuna ugumu kuingia ila tayari loop zishajulikana na kwenda ufaransa ni rahisi mno.
 
Kwa spirit uliyonayo njia nzuri ambayo utatumia akili kuingia Ulaya, kwa wewe mwanamke inabidi uende visiwa vya Mayotte kule utaapiga biashara na connection za nje utapata mpaka ukimbie.

Kisiwa hicho kuna ugumu kuingia ila tayari loop zishajulikana na kwenda ufaransa ni rahisi mno.
Mkuu ziweke hizo loop hapa tuibuke
 
Sio roho ngumu,,,wagiriki nao ni wabaguzi wa kiwango cha kati...maana store away yeyote akitokea kwenye meli,,,,si ruhusa kumtosa baharini,,inatakiwa kuwahudumia vizuri hadi next port wanashushwa,,, lakini anaweza akapata hata kazi humo humo melini kama akipata captain au chief officer mwenye roho nzr,,,maana kama meli inatumia three weeks au mwezi majini na waendako bado ni mbali,,, captain anaweza kuwapa day worker ili wakifika next port wanashushwa na kupewa chao,..na kama. Captain akikupenda anakupa mtaa next port,,,...watu wengi waliotoswa baharini kutoka ktk meli za KIGIRIKI na Philippines ,,,hao nao ni TATIZO jingine...waphilipino hawana tofauti na wachina na wahindi kwa mtu mweusi,,,,kwahyo mkuu hao wagiriki wanasumbuliwa na UBAGUZI kwa mtu mweusi tangu zamani...watu wengi walioingia ulaya kwa meli ni sababu ya kukutana na captains wazuri na sio wabaguzi..
Sisi sijui tuliwakosea wapi? Kila race haitukubali na sisi nao ndo tunakalishana kweli Yani. Yani inasikitisha Sana. Hivi sisi tatizo nini?
 
Sisi sijui tuliwakosea wapi? Kila race haitukubali na sisi nao ndo tunakalishana kweli Yani. Yani inasikitisha Sana. Hivi sisi tatizo nini?
Hivi assume una bachelor, halafu unakutana na jamaa ulisoma naye primary akaachaa shule aliishai la sita tu. Wakati mnakutana wewe umepigika unavuta kimshahara cha lak 4 wakati huo yeye ana biashara kubwa, ana mjengo wa maana na anasukuma mkoko wa maana. Unadhani atakuheshimu na kisomo chako au atakudharau?
Ndivyo ilivyo sisi na resources zetu zote bado ni omba omba hakuna anayeweza kutuheshimu. Hata wachina walikuwa wanadharauliwa sana zama hizo lakini sasa wanaheshimika kwakuwa wamejitoa kwenye umasikini.
 
Kwa spirit uliyonayo njia nzuri ambayo utatumia akili kuingia Ulaya, kwa wewe mwanamke inabidi uende visiwa vya Mayotte kule utaapiga biashara na connection za nje utapata mpaka ukimbie.

Kisiwa hicho kuna ugumu kuingia ila tayari loop zishajulikana na kwenda ufaransa ni rahisi mno.
Ngoja nikazie Uzi wako mkuu,,,,kile kisiwa cha mayote kinahesabika kama upo france territory,ni moja ya mikoa ya France,,wanaongea kiswahili na kifaransa,,na wanatumia euro na wanapata haki sawa na mfaransa aliyeko France,,na hata passport ni ya kifaransa,,,ktk Africa bado kuna visiwa viwili vinavyo milikiwa na ufaransa ambayo ni mayyote na reunion,,,,, vipo visiwa vidogo kidogo vingi ambavyo hadi Leo vinamilikiwa na France,,.huko america ya kusini,,,,na wanahesabu kama mkoa wa France,,, mfano , kuna guyane,,huko America kusini,pia wapo under franch territory hadi sasa,,na wanaongea kifaransa na kutumia euro,,na wanapiga kura kumchaguwa rais wa ufaransa kama wafaransa,,,,na france wakikuwekea ban kufika kwao maana yake hata hizo inchi zilizopo under France territory huruhusiwi kwenda,,,,hivyo visiwa vina fursa sna wakuu,,,halafu wana warembo wazuri sn,,,,kwa wale wanaotaka kujilipua bora wasogee mayyote ambacho kipo karibu na Comoro hapo,,na hyo reunion kinapakana na Madagascar,,, wakuu kazi kwenu...
 
Kwa spirit uliyonayo njia nzuri ambayo utatumia akili kuingia Ulaya, kwa wewe mwanamke inabidi uende visiwa vya Mayotte kule utaapiga biashara na connection za nje utapata mpaka ukimbie.

Kisiwa hicho kuna ugumu kuingia ila tayari loop zishajulikana na kwenda ufaransa ni rahisi mno.

Hayo ndo mambo mkuu...! Naomba iweke hapa hints kodg zingine ntamalizia mwenyew
 
Wana asili ya kiarabu wale,,,,ndy maana wana chuki na mweusi,,, sio wazungu pure
Sisi sijui tuliwakosea wapi? Kila race haitukubali na sisi nao ndo tunakalishana kweli Yani. Yani inasikitisha Sana. Hivi sisi tatizo nini?
 
Magomeni ndioopalikuwa
Chuoo
Wakanza kupotea walipojiingiza kwenye madawa ya kumesa ikawa kila anaensa njekuzamia lazima ajaribu kushuka namzigoo DOH

Wengi Walikufa juu kwajuu

Na walimpopo kina bonta noma sana,kipindi hicho kalisti michongo ana review boarder ya mtaa ni full giza,mbele palikua ni kwikwi full ma kutchen party mixer kipaimara ila shooting zake upande wa moza zilikua taiti.
 
Hivi assume una bachelor, halafu unakutana na jamaa ulisoma naye primary akaachaa shule aliishai la sita tu. Wakati mnakutana wewe umepigika unavuta kimshahara cha lak 4 wakati huo yeye ana biashara kubwa, ana mjengo wa maana na anasukuma mkoko wa maana. Unadhani atakuheshimu na kisomo chako au atakudharau?
Ndivyo ilivyo sisi na resources zetu zote bado ni omba omba hakuna anayeweza kutuheshimu. Hata wachina walikuwa wanadharauliwa sana zama hizo lakini sasa wanaheshimika kwakuwa wamejitoa kwenye umasikini.
Naam. Na ndo bado hatujashtuka mpaka leo.
 
Ngoja nikazie Uzi wako mkuu,,,,kile kisiwa cha mayote kinahesabika kama upo france territory,ni moja ya mikoa ya France,,wanaongea kiswahili na kifaransa,,na wanatumia euro na wanapata haki sawa na mfaransa aliyeko France,,na hata passport ni ya kifaransa,,,ktk Africa bado kuna visiwa viwili vinavyo milikiwa na ufaransa ambayo ni mayyote na reunion,,,,, vipo visiwa vidogo kidogo vingi ambavyo hadi Leo vinamilikiwa na France,,.huko america ya kusini,,,,na wanahesabu kama mkoa wa France,,, mfano , kuna guyane,,huko America kusini,pia wapo under franch territory hadi sasa,,na wanaongea kifaransa na kutumia euro,,na wanapiga kura kumchaguwa rais wa ufaransa kama wafaransa,,,,na france wakikuwekea ban kufika kwao maana yake hata hizo inchi zilizopo under France territory huruhusiwi kwenda,,,,hivyo visiwa vina fursa sna wakuu,,,halafu wana warembo wazuri sn,,,,kwa wale wanaotaka kujilipua bora wasogee mayyote ambacho kipo karibu na Comoro hapo,,na hyo reunion kinapakana na Madagascar,,, wakuu kazi kwenu...
Mkuu Mayotte bado watu hawajaijulia vizuri lakini ni sehemu rahisi kufika France.
Kwa hawa Dada zetu kule nasikia ukiwa na uwezo wa Kupika Swahili food mafanikio yanakuwa kiganjani.

Mimi ilikuwa niende February mifuko ikatoboka, ila nitaenda nikatafute pesa ya agent nipande meli.
 
Sjaona konekisheni za Botswana au Namibia humu
 
Mkuu Mayotte bado watu hawajaijulia vizuri lakini ni sehemu rahisi kufika France.
Kwa hawa Dada zetu kule nasikia ukiwa na uwezo wa Kupika Swahili food mafanikio yanakuwa kiganjani.

Mimi ilikuwa niende February mifuko ikatoboka, ila nitaenda nikatafute pesa ya agent nipande meli.
Ukifika huko dada mpishi niko hapa.
 
Kweli BAHARIA,,, hata ukikita pale ni fursa,,,baadae unaomba karatasi,,, mambo mengine yanaendelea,,halafu kuna wanawake pale hatari,,,kama wabongo tu mkuu,,,kuanzia mavazi hata ngoma zao,,,mm naamini kabisa pengine ni babu na bibi zetu walikimbilia kule Mayotte...
Mkuu Mayotte bado watu hawajaijulia vizuri lakini ni sehemu rahisi kufika France.
Kwa hawa Dada zetu kule nasikia ukiwa na uwezo wa Kupika Swahili food mafanikio yanakuwa kiganjani.

Mimi ilikuwa niende February mifuko ikatoboka, ila nitaenda nikatafute pesa ya agent nipande meli.
 
Back
Top Bottom