Kwani hata ukiwa ni wewe shida ni nini mkuu 😀😀😀😀😀😀Mzee siyo mimi hiyo miaka nilikuwa bado primary hizo ni hustle za jamaa yangu flani baharia mzee
Kwani hata ukiwa ni wewe shida ni nini mkuu 😀😀😀😀😀😀Mzee siyo mimi hiyo miaka nilikuwa bado primary hizo ni hustle za jamaa yangu flani baharia mzee
Shoga anza kujiandaa kisaikolojia kabisa ..hhhaa ...bora kufia hata Ethiopia huko😖😖😖
Hakuna shida mkuu ila pole kwa mihaso mkuuHakuna shida ingekuwa mimi ila shida ni kuchukua credit ya kitu ambacho siyo chako. Kwani nisipokuwa mimi shida ni nini?
Waethiopia wenyewe wanakimbia ethiopia wako tayari kuwekwa kwenye macontainer kama matikitiki hadi wanakufa kwa kukosa hewa. Wako tayari wakauzwe libya wanakimbia nchi yao wee ndo wataka ukafie huko?
Kuna mtu kaniambia ni mimi nikamjibu siyo mimi ila najua hii story wasababu jamaa alinarrate nikaitype, sasa ushaidi ni huo ina page zaidi ya 22 anaelezea safari nzima na nimeitype kwa kingereza toka mwaka 2014 na sikumaliza nilitypekamarobo tu. Ila alighairi kutoa kitabu.Hakuna shida mkuu ila pole kwa mihaso mkuu
Mkuu ushanipoteza hapo kwenye ngeli tu.Kuna mtu kaniambia ni mimi nikamjibu siyo mimi ila najua hii story wasababu jamaa alinarrate nikaitype, sasa ushaidi ni huo ina page zaidi ya 1000 anaelezea safari nzima na nimeitype kwa kingereza toka mwaka 2014. Ila alighairi kutoa kitabu.
View attachment 1476329
Imeendelea kwa uchumi wa vitu lakini watu wenyewe wana maisha magumu. Graduate unakuta anapokea mshahara labda laki mbili na vitu bei ghali. Kumiliki gari hata vitz ethiopia si jambo la mchezo maana vitz hizi hapa unainunua used dubai na ushuru milion 8 kuna haikawii fika 20 mls za kitzhivi kwanini wa Ethiopia wanakimbia nchi yao? Inamaana ni maskini sana mpk wanakimbilia nje au wanatafuta Fursa tu kama Nigerians.
Tunajifunza tu..unajipa mwezi mzima kupractice! Kazi yyt ile sie tutafanya!Niko tayari Shoga angu, naskia nchi za Scandinavia ni nzuri ila wana Lugha zao
Kuliko hapa?? Ah bora aisee!Waethiopia wenyewe wanakimbia ethiopia wako tayari kuwekwa kwenye macontainer kama matikitiki hadi wanakufa kwa kukosa hewa. Wako tayari wakauzwe libya wanakimbia nchi yao wee ndo wataka ukafie huko?
Mbona hata hapa life tyt mkuu!! Ushenzi mwingi sana hapa tzeeWana maisha magumu japo mfano kusafirishwa kwenye container kama ambavyo wanakamatwaga hapa uwa wanakuwa wamelipa pesa ndefu sana
Hakika ccm ni chama chetu tumekichagua kakaSiyo mbaya ndiyo demokrasia yenyewe uhuru wa kuchagua upande
Una tone ya kiume japo wewe ni mwanamke sijui binti hadi nacheka ila kwakuwa umetokea arusha naelewa.
Yah fanya mpange uzamie Korea Kusini
Kwani hapo bongo pana mikosi gani mkuu? pakoje yaani?Ingekuwa bora sana tu kuliko kufia hapa mikosi mitupu.