Wazamiaji wa miaka ya 90

Wazamiaji wa miaka ya 90

Sasa hivi wazungu wameshajuwa kama watu wanaoana sababu ya kutaka makaratasi yao,,,hivyo wanakuambia nenda mkafanye ndoa kwenu,,hivyo atakuja mzungu au yule unayetaka kumuoa muoane bongo,,,mpeleke details ubalozini,,hapo utaambiwa usibiri kama miezi sita au mwaka,,,,baadae una claim kumfata mumeo au mke,,, ipo story moja,,kuna jamaa yangu Fulani, yeye ni mtanzania,,,,alikwenda kuishi Sweden kama miaka 3 hakupata makaratasi,,akapata mwanamke mmoja wa kisomali mwenye makaratasi ya Sweden,,,wakawa wapenzi,,,huku yule jamaa bongo alikuwa na mke na watoto 3,,akamshawishi yule mwanamke wa kisomali waoane ili jamaa apate makaratasi,,, basi wakakubaliana waje hapa bongo waoane kimya kimya bila mkewe yule jamaa kujuwa,,,basi jamaa kule Sweden wakamtonya yule mke wa jamaa kwamba jamaa kaoa na anataka apate makaratasi,,,yule mke wa jamaa akaenda kuriport Sweden embassy in Tanzania,, kwamba mumewe kamtelekeza,,tena amekwenda na watoto kama 6 hivi na cheti cha ndoa,,jamaa bila kujuwa siku anakwenda ubalozini kupeleka details za ndoa,,wanamkuta yule mwanamke wa kitanzania na watoto wake 6 ubalozini,,, basi pale pale ndoa yake na msomali ikafa ,,na yule msomali akasepa,,,,,jamaa akajifanya kumsusa mke kwa miaka 2,,baadae Kamrudia,,,na hata kuhusu kufake mariage ,,,wanahitaji pesa si chini ya euro 5000 kutimiza hilo,,,.kama hamko ktk mahusiano...

Hili ni kweli mkuu, kuna watu walikuja kwa njia hii na kwa pesa nyingi ( Euro 10,000) na linakuwa deni analipa taratibu
 
Mkuu Mimi nilikaa kama miezi sita hivi,, pale maisha yanategemea kufanya kazi viwandani mfano viwanda vya nguo,,,nk,,au kuhangaika mitaani,,ni inchi nzr kwa raia,,lakini kwa wageni ni ngumu kidogo,,, maana kuna migrants wengi wakitokea Syria,, hata Egypt kwa njia za panya,,,pesa yao inaitwa milioni,,,ni strong kama ilivyo dola,,,ukiwa na dola moja,,sawa na milion moja,,,hazipishani sana,,,pale nilishindwa sababu ya haraka zangu,,nikaelekea Greece,, sababu sikuwa na viza ya Greece,,, nilikuwa na viza ya Turkey tu,,na Turkey sio inchi ya shengen ,,,ikanibidi nijiunge na migrants wanaokwenda Greece kwa njia za panya,,zilikuwa njia mbili za kuingia Greece,,baharini au kupitia mtoni,,,zote ni dola 500 kila migrants mmoja,,,nikachaguwa njia ya kuvuka mto,,niliona ndy salama zaidi,,Turkey ipo border na Bulgaria,, na Greece,,upende Fulani,,kuna mji Fulani unaitwa Izmir,,, upo close to Greece,,,tofauti yake ni mto tu,,,kwahyo tulifungiwa kwenye fuso moja tukiwa kama migrants 100 hivi,,,tulitembea usiku kwa usiku toka Istanbul hadi Izmir kuanzia saa mbili usiku hadi saa sita usiku tukafika lzmir,,,ilikuwa winter time hatari,,jinsi nilivyo vaa ni kama bag zima lipo mwilini,,,nilikuwa nimevaa jeans tatu na track suit ndani,,na Fulani tatu ,sweater na koti kubwa la ngozj,,na soksi ya kuzuia baridi juu,,baada ya kufunguliwa mlango wa fuso,,,ilikuwa baridi haswa,,eneo lote lilikuwa jeupe kwa theluji,,,basi haraka haraka tukaambiwa tuiname chini,,,,pale wale Wa Turkey wenye connection za kutuvusha,,,wakatoa boat Fulani ya kujaza kwa upepo,,wakaijaza pale baada ya kama nusu saa wakaiweka mtoni,,ulikuwa mto wa upana kama wa mita 50 hivi,,,huo MTO unatenganisha Turkey na Greece,, na huwa unalindwa pande zote wakati wa summer time,,lakini unakuwa haulindwi wakati wa winter time...kwahyo winter ndy watu wanakatisha hapo,,basi nikaingia kwenye boat,,ikapigwa kasia hadi upande wa greece ni kama dk 10 tu nipo upande wa Greece,,,baada ya kumaliza kutuvusha,,tukaanza safari kuitafuta mjini,,,tulipewa maelekezo na wale jamaa kwamba tufate maandishi,,ya kigiriki,,,maana maandishi ya kigiriki na maandishi ya Bulgaria ni tofauti lakini yanafanana sana,,so tufate barabara ambayo inaelekeza maandishi ya kigiriki,,,tukifata tofauti tutakuwa mikononi mwa askari wa Bulgaria,, na wakasema lazima tukamatwe na police wa kigiriki,, ili watupeleke vituoni,,tusipokamatwa tutatembea umbali mrefu sn kwa miguu,,,tusihofu tukiona police,,, basi tulitembea kuanzia saa nane usiku hadi saa mbili asubuhi,,, tukaanza kukamatwa kwa makundi na kupelekwa kituoni,,ule mji nimesahau kidogo,,, baada ya muda wakatupeleka camp,,,nikakomplain kama msomali,,,baada ya week mbili za pale camp,,,nikatolewa nikapelekwa kuna mji mmoja unaitwa ethlonic hapo tukapandishwa train,,,wakatwambiya you are free to go,,,,nikaingia Athens au Athena,,,huo ndy ulikuwa mwanzo wangu wa kuingia ulaya,,,2011.,.hivyo tu mkuu,,,ktk harakati za mbongo,.
Hadi sasa hivi uko huko?
Vipi mishe za huko?
Ugiriki wabongo wengi mishe zao ngada.
Naomva kusikia zaidi kuhusu huko
 
Mkuu hizo siri na MSITUNI,.wanasema wht happens in the jungle stays in the jungle...hivyo tu mkuu..nimekula kiapo cha mwituni...sina majibu
Hadi sasa hivi uko huko?
Vipi mishe za huko?
Ugiriki wabongo wengi mishe zao ngada.
Naomva kusikia zaidi kuhusu huko
 
Kweli mkuu, mkimbizi unapokea hela ndogo sana hasa ukiwa kwenye kambi zao, wengine huwa hadi wanatoroka, wanapata around 300 Euro kwa mwezi sasa unaona kabisa hiyo si kitu
Wengi wanahitaji kupata uraia ili aweze tumia passport kwenda inchi nzr zaidi kwa benefit ya uraia wa ulaya...na kupewa pesa kila mwezi kama raia
 
Hapana mkuu ila kuwa makini na matapeli wa Nigeria,, wanaranda sn maeneo hayo ya mitandao wakitapeli watu
Mimi wananitumiaga greencard kwenye email wanataka niende canada sijui unalijua swala kama hilo
 
Kuna rafiki yangu mmoja, kati ya mwishoni mwa miakaya 90 na mwanzoni mwa mwaka wa 2000 alizamia kwenda Ulaya. Safari za kipindi hicho ilikuwa za kibabe kweli mtu anaanza safari hana hata passport. Safari ilimpeleka mpaka Libya lengo ni kwamba ilikuwa aingie Morroco then wavushwe kuelekea Spain.

Katika safari hiyo alikutana na majanga mengi sana sana. Amenusurika kufa zaidi ya mara 20 tena akiwa ameshaona kaburi.

Sasa anadai akiwa Libya, anadai walibya ni wabaguzi sana hasa kwa Waafrika wenzao weusi. Anadai ukipanda usafiri wa umma wanawake walikuwa wanaziba pua. Anasema muda mwingine ulikuwa ukipita mtaani unaona mama anaokota jiwe anampa mwanae akurushie.

Anadai sasa kimbembe uje ukutane na vijana walikuwa wanajiita Aska Boys (sina hakika kama nimewapatia). Anasema walikuwa wanatabia wanakuja na magari wanakuweka mtu kati, wanafungua boot wanatoa marungu, watakupiga mpaka ufe.

Sasa anasema akiwa Libya, alikuwa hana pesa kabisa na kutoka Libya ili uvushwe uende Morocco mpaka upande boat kuendelea na safari, ilikuwa inahitajika pesa nyingi. Yeye kwa muda huo aliikuwa ashageuka kuwa kama chokoraa. Na kipindi hicho mauaji kwa wageni yakawa yameongezeka.

Anadai katika kundi lao allikuwepo jamaa katoka Ethiopia ni Muorthodox alikuwa akisali sana sana. Jamaa akamfuata akamwambia amsaidie pesa kidogo ili aweze kuondoka pale maana wenzake walikuwa wengi wao wana mpango wa kuondoka baada ya hali kuwa mbaya.

Jamaa eti akamuuliza, huna mtu anayeweza kukutumia pesa. Jamaa akamwambia sina ila kuna kaka yangu ana pesa nyingi sana ila hawezi kunipatia pesa maana hata hii safari nimeianza kwa kumkumbia yeye alikuwa anataka kuniua. Jamaa akamwambia, usiku njoo nikufanyie maombi, lakini iwe saa tisa usiku.

Kweli usiku wa saa tisa akaenda, eti jamaa akachora chora mviringo sakafuni akamwambia aingie kati, kisha wakaanza kumuombea yeye na wenzake.

Baada ya maombi akamwambia asubuhi kampigie simu kaka yako, mwambie akutumie dollar 2000, atakutumia. Usipunguze na wala usiongeze. Jamaa anadai kesho yake akaenda sehemu ya kupiga simu akampigia simu kaka yake, alipomueleza hakubisha kabisa ila akamwambia atamtumiaje ile pesa.

Kipindi hicho anasema Libya kulikuwa hakuna huduma za Western Union, wala Money Gram. Anadai watu walipokuwa wakitaka kupokea pesa, kulikuwa na mzungu raia wa Spain pale ana ofisi iko kisiwa cha Lampedusa, hivyo pesa inatumwa kwenda Lampedusa, akiconfirm imefika kule unaenda kwake anakupa cash pale Libya.

Basi jamaa akawa ametumiwa pesa akaondoka pale. Japo huko mbele alipata majanga mengine.

Jamaa alifanikiwa fika Mexico, Equador na huko pia alipata majanga hadi akapoteza korodani baada ya kuanguka mikononi mwa drug dealers.
Vipi aliendelea kuishi bila korodani?
 
...huu uzi mzuri ila humu kuna watu n wajinga ambao wanapenda shortcut eventually mnakuwa mashog tu n kuparamiwa na midume ya kizungu wote mwanaume n mwanamke mnaparamiwa n midume ya kizungu.........tanzania maisha n rahisi kama unatumia akil ila kama wapenda vya bure na kutafuniwa....yani usome ila usiwe na akili unasoma il uajiliwe au hujasoma alaf una ujinga kibao kichwan unashindwa kutumia akil yako kugundua fursa kibao mitaani hapo lazma ulalamike maisha n magumu kitu ambacho sikweli.....yani wenzenu wametumia akili zao kujenga mabara yao ninyi wapenda vya bure na kutafuniwa mnakwenda tu ndo mana mtu mweusi yuko nyuma na anabaguliwa kwa akili hiz ........mimi nimemaliza chuo miaka 6 iliyopita na ajira sina hadi leo ila natengeneza pesa ndefu kuliko huyo mwajiriwa wa selikali before sikuwahi fikiria kama ninyi...... ukweli ni kwamba dunia nzima hakuna maisha rahisi hata uende chini ya bahar....na hizi ndio akil za mwafrica mweusi unafikiri mzungu angekuwa na mawazo haya mngetamani hata kwenda huko kwao si pangekuwa kama huku mnapopakimbia......msipende vya bure nyie vijana wa kiafrika utapakatwa wewe na mkeo.........bado mna mawazo ya kitumwa......sasa nimeamini kwamba inawezeka kwa watumwa 1000 wa kiafrika kuongozwa na wazungu wawili wenye bunduki moja n mjeredi......
 
Tatizo watu wa uswiss walilenga sana nyapu.
Wanagongana tu pm.
Walihisi labda tutashoboka.
Kwahyo ilkua ukienda PM jamaa anataka kidude kwanza ndo connection iendelee sema jamaa alijipanga sana kwenye kuhamasisha watu kuhusu huko Europe jamaa yupo vizuri yan zile KEY points zote anazo
 
  • Thanks
Reactions: amu
Mkuu hiki kisa kinafanana na kisa cha borison ambaye sasa ni raia wa Romania but kwao kabisa ni hapa hapa bongo huko yombo
Mkuu Mimi nilikaa kama miezi sita hivi,, pale maisha yanategemea kufanya kazi viwandani mfano viwanda vya nguo,,,nk,,au kuhangaika mitaani,,ni inchi nzr kwa raia,,lakini kwa wageni ni ngumu kidogo,,, maana kuna migrants wengi wakitokea Syria,, hata Egypt kwa njia za panya,,,pesa yao inaitwa milioni,,,ni strong kama ilivyo dola,,,ukiwa na dola moja,,sawa na milion moja,,,hazipishani sana,,,pale nilishindwa sababu ya haraka zangu,,nikaelekea Greece,, sababu sikuwa na viza ya Greece,,, nilikuwa na viza ya Turkey tu,,na Turkey sio inchi ya shengen ,,,ikanibidi nijiunge na migrants wanaokwenda Greece kwa njia za panya,,zilikuwa njia mbili za kuingia Greece,,baharini au kupitia mtoni,,,zote ni dola 500 kila migrants mmoja,,,nikachaguwa njia ya kuvuka mto,,niliona ndy salama zaidi,,Turkey ipo border na Bulgaria,, na Greece,,upende Fulani,,kuna mji Fulani unaitwa Izmir,,, upo close to Greece,,,tofauti yake ni mto tu,,,kwahyo tulifungiwa kwenye fuso moja tukiwa kama migrants 100 hivi,,,tulitembea usiku kwa usiku toka Istanbul hadi Izmir kuanzia saa mbili usiku hadi saa sita usiku tukafika lzmir,,,ilikuwa winter time hatari,,jinsi nilivyo vaa ni kama bag zima lipo mwilini,,,nilikuwa nimevaa jeans tatu na track suit ndani,,na Fulani tatu ,sweater na koti kubwa la ngozj,,na soksi ya kuzuia baridi juu,,baada ya kufunguliwa mlango wa fuso,,,ilikuwa baridi haswa,,eneo lote lilikuwa jeupe kwa theluji,,,basi haraka haraka tukaambiwa tuiname chini,,,,pale wale Wa Turkey wenye connection za kutuvusha,,,wakatoa boat Fulani ya kujaza kwa upepo,,wakaijaza pale baada ya kama nusu saa wakaiweka mtoni,,ulikuwa mto wa upana kama wa mita 50 hivi,,,huo MTO unatenganisha Turkey na Greece,, na huwa unalindwa pande zote wakati wa summer time,,lakini unakuwa haulindwi wakati wa winter time...kwahyo winter ndy watu wanakatisha hapo,,basi nikaingia kwenye boat,,ikapigwa kasia hadi upande wa greece ni kama dk 10 tu nipo upande wa Greece,,,baada ya kumaliza kutuvusha,,tukaanza safari kuitafuta mjini,,,tulipewa maelekezo na wale jamaa kwamba tufate maandishi,,ya kigiriki,,,maana maandishi ya kigiriki na maandishi ya Bulgaria ni tofauti lakini yanafanana sana,,so tufate barabara ambayo inaelekeza maandishi ya kigiriki,,,tukifata tofauti tutakuwa mikononi mwa askari wa Bulgaria,, na wakasema lazima tukamatwe na police wa kigiriki,, ili watupeleke vituoni,,tusipokamatwa tutatembea umbali mrefu sn kwa miguu,,,tusihofu tukiona police,,, basi tulitembea kuanzia saa nane usiku hadi saa mbili asubuhi,,, tukaanza kukamatwa kwa makundi na kupelekwa kituoni,,ule mji nimesahau kidogo,,, baada ya muda wakatupeleka camp,,,nikakomplain kama msomali,,,baada ya week mbili za pale camp,,,nikatolewa nikapelekwa kuna mji mmoja unaitwa ethlonic hapo tukapandishwa train,,,wakatwambiya you are free to go,,,,nikaingia Athens au Athena,,,huo ndy ulikuwa mwanzo wangu wa kuingia ulaya,,,2011.,.hivyo tu mkuu,,,ktk harakati za mbongo,.
 
...huu uzi mzuri ila humu kuna watu n wajinga ambao wanapenda shortcut eventually mnakuwa mashog tu n kuparamiwa na midume ya kizungu wote mwanaume n mwanamke mnaparamiwa n midume ya kizungu.........tanzania maisha n rahisi kama unatumia akil ila kama wapenda vya bure na kutafuniwa....yani usome ila usiwe na akili unasoma il uajiliwe au hujasoma alaf una ujinga kibao kichwan unashindwa kutumia akil yako kugundua fursa kibao mitaani hapo lazma ulalamike maisha n magumu kitu ambacho sikweli.....yani wenzenu wametumia akili zao kujenga mabara yao ninyi wapenda vya bure na kutafuniwa mnakwenda tu ndo mana mtu mweusi yuko nyuma na anabaguliwa kwa akili hiz ........mimi nimemaliza chuo miaka 6 iliyopita na ajira sina hadi leo ila natengeneza pesa ndefu kuliko huyo mwajiriwa wa selikali before sikuwahi fikiria kama ninyi...... ukweli ni kwamba dunia nzima hakuna maisha rahisi hata uende chini ya bahar....na hizi ndio akil za mwafrica mweusi unafikiri mzungu angekuwa na mawazo haya mngetamani hata kwenda huko kwao si pangekuwa kama huku mnapopakimbia......msipende vya bure nyie vijana wa kiafrika utapakatwa wewe na mkeo.........bado mna mawazo ya kitumwa......sasa nimeamini kwamba inawezeka kwa watumwa 1000 wa kiafrika kuongozwa na wazungu wawili wenye bunduki moja n mjeredi......
Tangu lini mwenye shibe akamjua mwenye njaa!! Unatunanga mawazo yetu ya kitumwa lakini unasahau hulka za kiafrika chuki, wivu, ubinafsi wa viongozi wetu ndo umetufikisha hapa tulipo!!

Mwafrika akipata anakimbilia kutamba, kutukana na kujionyesha alivyofanikiwa Kama wewe hivyo pasipo kutoa njia kwa maskini wenzio, ndugu zako na waafrika wenzio nao wawe Kama wewe,,

Kila mtu ashinde mechi zake wa kwenda ulaya waende wa kubaki hapa kusifia wanasiasa na wabaki,
 
...huu uzi mzuri ila humu kuna watu n wajinga ambao wanapenda shortcut eventually mnakuwa mashog tu n kuparamiwa na midume ya kizungu wote mwanaume n mwanamke mnaparamiwa n midume ya kizungu.........tanzania maisha n rahisi kama unatumia akil ila kama wapenda vya bure na kutafuniwa....yani usome ila usiwe na akili unasoma il uajiliwe au hujasoma alaf una ujinga kibao kichwan unashindwa kutumia akil yako kugundua fursa kibao mitaani hapo lazma ulalamike maisha n magumu kitu ambacho sikweli.....yani wenzenu wametumia akili zao kujenga mabara yao ninyi wapenda vya bure na kutafuniwa mnakwenda tu ndo mana mtu mweusi yuko nyuma na anabaguliwa kwa akili hiz ........mimi nimemaliza chuo miaka 6 iliyopita na ajira sina hadi leo ila natengeneza pesa ndefu kuliko huyo mwajiriwa wa selikali before sikuwahi fikiria kama ninyi...... ukweli ni kwamba dunia nzima hakuna maisha rahisi hata uende chini ya bahar....na hizi ndio akil za mwafrica mweusi unafikiri mzungu angekuwa na mawazo haya mngetamani hata kwenda huko kwao si pangekuwa kama huku mnapopakimbia......msipende vya bure nyie vijana wa kiafrika utapakatwa wewe na mkeo.........bado mna mawazo ya kitumwa......sasa nimeamini kwamba inawezeka kwa watumwa 1000 wa kiafrika kuongozwa na wazungu wawili wenye bunduki moja n mjeredi......
Kila mtu afanye kitu chake mkuu, we ni nani wa kumpangia mtu kitu cha kufanya?
 
Tangu lini mwenye shibe akamjua mwenye njaa!! Unatunanga mawazo yetu ya kitumwa lakini unasahau hulka za kiafrika chuki, wivu, ubinafsi wa viongozi wetu ndo umetufikisha hapa tulipo!!

Mwafrika akipata anakimbilia kutamba, kutukana na kujionyesha alivyofanikiwa Kama wewe hivyo pasipo kutoa njia kwa maskini wenzio, ndugu zako na waafrika wenzio nao wawe Kama wewe,,

Kila mtu ashinde mechi zake wa kwenda ulaya waende wa kubaki hapa kusifia wanasiasa na wabaki,
Mkuu watu wote Duniani tunatamaniana, na kuhitajiana, Wazungu mbona wanakuja huko Bongo na Africa kwa ujumla. wachina, waarabu, wahindi nk tatizo la wazaramo kijicho! wanajua majuu ni salama zaidi!
 
...huu uzi mzuri ila humu kuna watu n wajinga ambao wanapenda shortcut eventually mnakuwa mashog tu n kuparamiwa na midume ya kizungu wote mwanaume n mwanamke mnaparamiwa n midume ya kizungu.........tanzania maisha n rahisi kama unatumia akil ila kama wapenda vya bure na kutafuniwa....yani usome ila usiwe na akili unasoma il uajiliwe au hujasoma alaf una ujinga kibao kichwan unashindwa kutumia akil yako kugundua fursa kibao mitaani hapo lazma ulalamike maisha n magumu kitu ambacho sikweli.....yani wenzenu wametumia akili zao kujenga mabara yao ninyi wapenda vya bure na kutafuniwa mnakwenda tu ndo mana mtu mweusi yuko nyuma na anabaguliwa kwa akili hiz ........mimi nimemaliza chuo miaka 6 iliyopita na ajira sina hadi leo ila natengeneza pesa ndefu kuliko huyo mwajiriwa wa selikali before sikuwahi fikiria kama ninyi...... ukweli ni kwamba dunia nzima hakuna maisha rahisi hata uende chini ya bahar....na hizi ndio akil za mwafrica mweusi unafikiri mzungu angekuwa na mawazo haya mngetamani hata kwenda huko kwao si pangekuwa kama huku mnapopakimbia......msipende vya bure nyie vijana wa kiafrika utapakatwa wewe na mkeo.........bado mna mawazo ya kitumwa......sasa nimeamini kwamba inawezeka kwa watumwa 1000 wa kiafrika kuongozwa na wazungu wawili wenye bunduki moja n mjeredi......
Lengo lako nini haswa? hakuna mtu anayependa vya bure mkuu,,,,tunajaribu kueleza upande wa pili wa shilingi ulivyo,,,, ni kweli Africa pesa zipo,,,hata wazungu wanalijuwa hilo lakini basi hata vitu vya msingi kama binadamu pia ni shida? tunakwama wapi?hapa hakuna mtu anayependa vya bure, ,,na kupakatwa ni tabia ya mtu mkuu,,,wapo watu wana kila kitu na maisha mazuri lakini wanapakatwa,,,,tena wanapakatwa na watu ambao hawana kitu,,,,,,hapa tunazungumzia maisha ya ulaya na haki za raia wao,,,hakuna zaidi,,, ulaya ni haki ya kila raia kupata hayo ninayoyaeleza,,,,wewe kama raia ni haki ngapi zinavunjwa?lakini unaona ni sawa tu?sababu unanafasi ya kufanya biashara zako na umefanikiwa?Mkuu usijiangalie wewe,,,muangalie na mwingine,,,,huku kwetu bado ni msituni sana tu,,,,jaribu kuelewa mada.....
 
Mkuu hiki kisa kinafanana na kisa cha borison ambaye sasa ni raia wa Romania but kwao kabisa ni hapa hapa bongo huko yombo
Yawezekana mkuu,,,wala sikupingi,,,maana siku hizi wazee wa copy na paste ni wengi....anaweza mtu anachukuwa story ya mtu mitandaoni akauvaa uhusika,,akaansisha Uzi sehemu..lakini hicho kisa ni changu,,na sio mara moja kujieleza,,,mkuu Mimi nilishawahi kuishi hata Asia,,, Nina matukio mengi ya kutafuta maisha,,,lakini sipendi kuweka sana mitandaoni kuhofia copy na paste...siku ukieleza mahala kumbe wazee wa paste washapeleka mahali..wengi wanakuwa sio wahusika ni kusikia mambo ya vijiweni au mitandaoni..
 
Back
Top Bottom