rommy shabby
JF-Expert Member
- Jun 26, 2017
- 1,122
- 1,313
Yawezekana mkuu,,,wala sikupingi,,,maana siku hizi wazee wa copy na paste ni wengi....anaweza mtu anachukuwa story ya mtu mitandaoni akauvaa uhusika,,akaansisha Uzi sehemu..lakini hicho kisa ni changu,,na sio mara moja kujieleza,,,mkuu Mimi nilishawahi kuishi hata Asia,,, Nina matukio mengi ya kutafuta maisha,,,lakini sipendi kuweka sana mitandaoni kuhofia copy na paste...siku ukieleza mahala kumbe wazee wa paste washapeleka mahali..wengi wanakuwa sio wahusika ni kusikia mambo ya vijiweni au mitandaoni..
Wazungu wanapenda kujifunza,,,ndy sababu zinazowaleta Africa,,kujuwa mambo na vitu Africa,,sio kingine,,,pia wazungu hupenda kuja Africa kipindi ambapo kwao ni baridi Kali,,,Wanakuja Africa Ku enjoy summer time...Mkuu watu wote Duniani tunatamaniana, na kuhitajiana, Wazungu mbona wanakuja huko Bongo na Africa kwa ujumla. wachina, waarabu, wahindi nk tatizo la wazaramo kijicho! wanajua majuu ni salama zaidi!
Big up sn mkuu kwa kutafuta hadi hapo ulipo una mengi ya kusimulia watoto wako ili nao wajifunze
Kwa spirit uliyonayo njia nzuri ambayo utatumia akili kuingia Ulaya, kwa wewe mwanamke inabidi uende visiwa vya Mayotte kule utaapiga biashara na connection za nje utapata mpaka ukimbie.Hhahahaa..kwamba "tone"hhaaha ukiona hivyo jua yamefika hapaa!
Mkuu ziweke hizo loop hapa tuibukeKwa spirit uliyonayo njia nzuri ambayo utatumia akili kuingia Ulaya, kwa wewe mwanamke inabidi uende visiwa vya Mayotte kule utaapiga biashara na connection za nje utapata mpaka ukimbie.
Kisiwa hicho kuna ugumu kuingia ila tayari loop zishajulikana na kwenda ufaransa ni rahisi mno.
Sisi sijui tuliwakosea wapi? Kila race haitukubali na sisi nao ndo tunakalishana kweli Yani. Yani inasikitisha Sana. Hivi sisi tatizo nini?Sio roho ngumu,,,wagiriki nao ni wabaguzi wa kiwango cha kati...maana store away yeyote akitokea kwenye meli,,,,si ruhusa kumtosa baharini,,inatakiwa kuwahudumia vizuri hadi next port wanashushwa,,, lakini anaweza akapata hata kazi humo humo melini kama akipata captain au chief officer mwenye roho nzr,,,maana kama meli inatumia three weeks au mwezi majini na waendako bado ni mbali,,, captain anaweza kuwapa day worker ili wakifika next port wanashushwa na kupewa chao,..na kama. Captain akikupenda anakupa mtaa next port,,,...watu wengi waliotoswa baharini kutoka ktk meli za KIGIRIKI na Philippines ,,,hao nao ni TATIZO jingine...waphilipino hawana tofauti na wachina na wahindi kwa mtu mweusi,,,,kwahyo mkuu hao wagiriki wanasumbuliwa na UBAGUZI kwa mtu mweusi tangu zamani...watu wengi walioingia ulaya kwa meli ni sababu ya kukutana na captains wazuri na sio wabaguzi..
Hivi assume una bachelor, halafu unakutana na jamaa ulisoma naye primary akaachaa shule aliishai la sita tu. Wakati mnakutana wewe umepigika unavuta kimshahara cha lak 4 wakati huo yeye ana biashara kubwa, ana mjengo wa maana na anasukuma mkoko wa maana. Unadhani atakuheshimu na kisomo chako au atakudharau?Sisi sijui tuliwakosea wapi? Kila race haitukubali na sisi nao ndo tunakalishana kweli Yani. Yani inasikitisha Sana. Hivi sisi tatizo nini?
Ngoja nikazie Uzi wako mkuu,,,,kile kisiwa cha mayote kinahesabika kama upo france territory,ni moja ya mikoa ya France,,wanaongea kiswahili na kifaransa,,na wanatumia euro na wanapata haki sawa na mfaransa aliyeko France,,na hata passport ni ya kifaransa,,,ktk Africa bado kuna visiwa viwili vinavyo milikiwa na ufaransa ambayo ni mayyote na reunion,,,,, vipo visiwa vidogo kidogo vingi ambavyo hadi Leo vinamilikiwa na France,,.huko america ya kusini,,,,na wanahesabu kama mkoa wa France,,, mfano , kuna guyane,,huko America kusini,pia wapo under franch territory hadi sasa,,na wanaongea kifaransa na kutumia euro,,na wanapiga kura kumchaguwa rais wa ufaransa kama wafaransa,,,,na france wakikuwekea ban kufika kwao maana yake hata hizo inchi zilizopo under France territory huruhusiwi kwenda,,,,hivyo visiwa vina fursa sna wakuu,,,halafu wana warembo wazuri sn,,,,kwa wale wanaotaka kujilipua bora wasogee mayyote ambacho kipo karibu na Comoro hapo,,na hyo reunion kinapakana na Madagascar,,, wakuu kazi kwenu...Kwa spirit uliyonayo njia nzuri ambayo utatumia akili kuingia Ulaya, kwa wewe mwanamke inabidi uende visiwa vya Mayotte kule utaapiga biashara na connection za nje utapata mpaka ukimbie.
Kisiwa hicho kuna ugumu kuingia ila tayari loop zishajulikana na kwenda ufaransa ni rahisi mno.
Kwa spirit uliyonayo njia nzuri ambayo utatumia akili kuingia Ulaya, kwa wewe mwanamke inabidi uende visiwa vya Mayotte kule utaapiga biashara na connection za nje utapata mpaka ukimbie.
Kisiwa hicho kuna ugumu kuingia ila tayari loop zishajulikana na kwenda ufaransa ni rahisi mno.
Sisi sijui tuliwakosea wapi? Kila race haitukubali na sisi nao ndo tunakalishana kweli Yani. Yani inasikitisha Sana. Hivi sisi tatizo nini?
Magomeni ndioopalikuwa
Chuoo
Wakanza kupotea walipojiingiza kwenye madawa ya kumesa ikawa kila anaensa njekuzamia lazima ajaribu kushuka namzigoo DOH
Wengi Walikufa juu kwajuu
Naam. Na ndo bado hatujashtuka mpaka leo.Hivi assume una bachelor, halafu unakutana na jamaa ulisoma naye primary akaachaa shule aliishai la sita tu. Wakati mnakutana wewe umepigika unavuta kimshahara cha lak 4 wakati huo yeye ana biashara kubwa, ana mjengo wa maana na anasukuma mkoko wa maana. Unadhani atakuheshimu na kisomo chako au atakudharau?
Ndivyo ilivyo sisi na resources zetu zote bado ni omba omba hakuna anayeweza kutuheshimu. Hata wachina walikuwa wanadharauliwa sana zama hizo lakini sasa wanaheshimika kwakuwa wamejitoa kwenye umasikini.
Mkuu Mayotte bado watu hawajaijulia vizuri lakini ni sehemu rahisi kufika France.Ngoja nikazie Uzi wako mkuu,,,,kile kisiwa cha mayote kinahesabika kama upo france territory,ni moja ya mikoa ya France,,wanaongea kiswahili na kifaransa,,na wanatumia euro na wanapata haki sawa na mfaransa aliyeko France,,na hata passport ni ya kifaransa,,,ktk Africa bado kuna visiwa viwili vinavyo milikiwa na ufaransa ambayo ni mayyote na reunion,,,,, vipo visiwa vidogo kidogo vingi ambavyo hadi Leo vinamilikiwa na France,,.huko america ya kusini,,,,na wanahesabu kama mkoa wa France,,, mfano , kuna guyane,,huko America kusini,pia wapo under franch territory hadi sasa,,na wanaongea kifaransa na kutumia euro,,na wanapiga kura kumchaguwa rais wa ufaransa kama wafaransa,,,,na france wakikuwekea ban kufika kwao maana yake hata hizo inchi zilizopo under France territory huruhusiwi kwenda,,,,hivyo visiwa vina fursa sna wakuu,,,halafu wana warembo wazuri sn,,,,kwa wale wanaotaka kujilipua bora wasogee mayyote ambacho kipo karibu na Comoro hapo,,na hyo reunion kinapakana na Madagascar,,, wakuu kazi kwenu...
Ukifika huko dada mpishi niko hapa.Mkuu Mayotte bado watu hawajaijulia vizuri lakini ni sehemu rahisi kufika France.
Kwa hawa Dada zetu kule nasikia ukiwa na uwezo wa Kupika Swahili food mafanikio yanakuwa kiganjani.
Mimi ilikuwa niende February mifuko ikatoboka, ila nitaenda nikatafute pesa ya agent nipande meli.
Mkuu Mayotte bado watu hawajaijulia vizuri lakini ni sehemu rahisi kufika France.
Kwa hawa Dada zetu kule nasikia ukiwa na uwezo wa Kupika Swahili food mafanikio yanakuwa kiganjani.
Mimi ilikuwa niende February mifuko ikatoboka, ila nitaenda nikatafute pesa ya agent nipande meli.
Unataka kwenda wapi? Mimi nimeka europe na us miaka 9.Connection zipo za kutosha tu, ni swala la kujipanga tu 🙂
@st ivuga naomba unisaidie plz... US au canada au hapo Mayotte .Unataka kwenda wapi? Mimi nimeka europe na us miaka 9.
Kama unataka kwenda na hupeleki madawa nitafute nikuunganishe na wenyeji.