Minah
JF-Expert Member
- Dec 23, 2018
- 858
- 2,376
Imeendelea kwa uchumi wa vitu lakini watu wenyewe wana maisha magumu. Graduate unakuta anapokea mshahara labda laki mbili na vitu bei ghali. Kumiliki gari hata vitz ethiopia si jambo la mchezo maana vitz hizi hapa unainunua used dubai na ushuru milion 8 kuna haikawii fika 20 mls za kitz
Duuh!!! Inaskitisha sana 😞
