Wazamiaji wa miaka ya 90

Wazamiaji wa miaka ya 90

Imeendelea kwa uchumi wa vitu lakini watu wenyewe wana maisha magumu. Graduate unakuta anapokea mshahara labda laki mbili na vitu bei ghali. Kumiliki gari hata vitz ethiopia si jambo la mchezo maana vitz hizi hapa unainunua used dubai na ushuru milion 8 kuna haikawii fika 20 mls za kitz

Duuh!!! Inaskitisha sana 😞
 
Kipindi hicho meli za kigiriki zinasifika kwa kuwa na mabaharia wenye roho mbaya..!
Sio roho ngumu,,,wagiriki nao ni wabaguzi wa kiwango cha kati...maana store away yeyote akitokea kwenye meli,,,,si ruhusa kumtosa baharini,,inatakiwa kuwahudumia vizuri hadi next port wanashushwa,,, lakini anaweza akapata hata kazi humo humo melini kama akipata captain au chief officer mwenye roho nzr,,,maana kama meli inatumia three weeks au mwezi majini na waendako bado ni mbali,,, captain anaweza kuwapa day worker ili wakifika next port wanashushwa na kupewa chao,..na kama. Captain akikupenda anakupa mtaa next port,,,...watu wengi waliotoswa baharini kutoka ktk meli za KIGIRIKI na Philippines ,,,hao nao ni TATIZO jingine...waphilipino hawana tofauti na wachina na wahindi kwa mtu mweusi,,,,kwahyo mkuu hao wagiriki wanasumbuliwa na UBAGUZI kwa mtu mweusi tangu zamani...watu wengi walioingia ulaya kwa meli ni sababu ya kukutana na captains wazuri na sio wabaguzi..
 
Kuna kubeba box na malipo mazuri japo pia maisha expensive ila unaweza kusanya ukawekeza huku

Sio tabu kupata visa na kuingia nchi hio? Kama hauna mwenyeji unafanyaje sasa??
 
Daa noma sana,kwanini mashoga wanapewa intensive care ulaya,yaan wanajaliwa sana,kuna ajenda gani???,kuhusu ubaguzi wa rangi Mimi najua watu wa Asia ni wabaguzi kuliko wazungu,
Vipi mwenendo wa biashara ya kulevya? Njia zipi wazitumiazo ku import mzigo haswa kwa nchi za Africa eg Tz??
 
Huwa nasoma post zako mara kwa mara. Conclusion niliyofanyani kuwa wewe huenda ni mwanamke, mwenye nyumba iliyojenga mwenyewe, watoto 2 na mjasiriamali mwenye maisha mazuri!
hujakosea anachangamsha genge.
Ila alivyo hustler unaweza kuta anamaanisha.
 
Kwani hapo bongo pana mikosi gani mkuu? pakoje yaani?
Ni basi tu Watu tuna mitazamo tofauti.

Nilienda nchi moja ya Asia kwa shughuli zangu halali tu na kufuata taratibu zote lakini baada ya miezi minne tu nilianza kujiona kama nipo utumwani...na hapo wala sijawahi kukutana na adha ya kubaguliwa wala nini...ni kero ndogo ndogo tu za misosi na zilikuwa zinavumilika.

Siku nimeondoka kule ingawa nilishukia Kenya lakini nilifarijika na nilijisikia kama tayari nimefika nyumbani Bongoland.
 
Muda huo bado hujachelewa,,,kila MTU anakwenda ulaya kwa lengo lake,,,,umri huo wa 40 ukilieleza vzr baada ya miaka 2 unapata uraia,,,,je ukiwa n passport ya ulaya huoni kama ni fursa?unaweza ukaja kuendelea na maisha mengine hapa bongo lakini ukitaka kwenda ulaya ni ticket yako tu...unakwea mwewe,,,upo Spain,,au Belgium,, Au Italy,,au Sweden,, Austria,,, unakaa week unarudi bongo,, huku ukiendelea kupokea euro 800 kama raia kila mwezi zinaingizwa na serikali ktk acc yako..usione watu wanaohangaika na kuitafuta ulaya,,,hapa Africa ni kama tupo mwituni mkuu,,,...wale Wanyama wakali ndy wanaotamba,,,,lakini hakuna usawa mkuu...wenzetu wana usawa na haki...
At 40+ una familia, either mke na watoto tena wanaoenda shule kabisa, una kazi(hata kama sio ya kipato kikubwa), hutakiwi kujifikiria wewe kama wewe, at 20+ unawaza "mimi", huna majukumu ya kifamilia hivyo kujilipua ni rahisi sana. Sasa mdada upo 30+ na watoto watatu unamuachia nani hao watoto ili ukahaso majuu, tena uende uingereza leo hii hadi utoboe utaona aibu hata kurudi bongo.
 
Back
Top Bottom