ABiClever Junior
JF-Expert Member
- Dec 14, 2016
- 947
- 545
- Thread starter
- #741
[HASHTAG]#TangaNdioHome[/HASHTAG]
DongeWa donge mwenzangu mi karibu kabisa na besha sec au kwa Adam kashtuka au kaskaravilla
umepotea mkuu huonekan humu vipi kunani?Donge
UMEFATA NINI KWENYE UZI HUUjamani nauliza hii mada inawahusu watu Wa tanga tu?
Basi me napita tu.
Majukumu yanatubana ndugu yangu, tunaingia jf mara chache sanaumepotea mkuu huonekan humu vipi kunani?
Tanga tumejawa na ukarimu habaguliwi mtuShenzi kabisa! Yaani angeanzisha huu uzi mhaya, msukuma au mchaga hapa watu mngeanza kusema wana ukabila. Mfyuuuuuuu
Back tu ze siledi, wale wa Mlalo na Kitivo mpo??? Nami nimooooooo
Tupooo wa MlaloShenzi kabisa! Yaani angeanzisha huu uzi mhaya, msukuma au mchaga hapa watu mngeanza kusema wana ukabila. Mfyuuuuuuu
Back tu ze siledi, wale wa Mlalo na Kitivo mpo??? Nami nimooooooo
shunie mambo vipi aunt..Tupooo wa Mlalo
Kuna group la WhatsApp la wadigo,,Kama uko tayar nkuwekeTeeeh!!!! Unaambadze uwe??? We jitire koma na koma zina enye
Poa ankole za weweshunie mambo vipi aunt..
zangu freshy tu..naona uzi umesita huuPoa ankole za wewe
Hapana tupo tukipata mda kama hivi tunaingiazangu freshy tu..naona uzi umesita huu
Mlalo nisalimie shekoloa nisalimie mkongoroniShenzi kabisa! Yaani angeanzisha huu uzi mhaya, msukuma au mchaga hapa watu mngeanza kusema wana ukabila. Mfyuuuuuuu
Back tu ze siledi, wale wa Mlalo na Kitivo mpo??? Nami nimooooooo