- Thread starter
- #21
ndo radha yake mkuu! kama ilivyo konyagiHivi hii mnayokunywa hapa Dar ni kahawa kweli, mbona nyeusi sana ?
Halafu mnapata raha gani kwa uchungu ule.
N.B
Nimewahi kunywa mara 2 kwa kununuliwa na watu.
ndo radha yake mkuu! kama ilivyo konyagiHivi hii mnayokunywa hapa Dar ni kahawa kweli, mbona nyeusi sana ?
Halafu mnapata raha gani kwa uchungu ule.
N.B
Nimewahi kunywa mara 2 kwa kununuliwa na watu.
ungepima huenda ulikuwa na presha! kahawa huchangia kupandisha presha ya kushuka!Niliwahi kunywa siku moja.mapigo ya moyo yalienda kasi sana na jasho likawa linanitoka hatari.tangu siku hio sijawahi kunywa tena
Ingia jikoni kwa gafla bila idhini kwenye mgahawa unaouamini sana, alafu njoo 'ubeti' kwa comment nyingine hapa hapa.sinywi tena Kahawa
Mimi nilikuwa na uncle wangu alikuwa anauza nikiwa mdogo. Sasa siku moja amemaliza kahawa akanipa birika nipeleke home maana palikuwa jirani tu. Aisee! Nilikuwa najua kahawa ni tamu mno ndio maana inashambuliwa chap, kuna ile ya kumalizia kwenye birika alikuwa anaacha kwaajili yake. Nikasema leo lazima niinywe. Nikafungua birika nikamimina mdomoni nilihisi nataka kuzimia. Tokea hapo sijawahi hata kuiwaziaHivi hii mnayokunywa hapa Dar ni kahawa kweli, mbona nyeusi sana ?
Halafu mnapata raha gani kwa uchungu ule.
N.B
Nimewahi kunywa mara 2 kwa kununuliwa na watu.
Binafsi naamini watu wengi wanakunywa kwa kufuata mkumbo tu.Mimi nilikuwa na uncle wangu alikuwa anauza nikiwa mdogo. Sasa siku moja amemaliza kahawa akanipa birika nipeleke home maana palikuwa jirani tu. Aisee! Nilikuwa najua kahawa ni tamu mno ndio maana inashambuliwa chap, kuna ile ya kumalizia kwenye birika alikuwa anaacha kwaajili yake. Nikasema leo lazima niinywe. Nikafungua birika nikamimina mdomoni nilihisi nataka kuzimia. Tokea hapo sijawahi hata kuiwazia
Sent using Jamii Forums mobile app
Mh, kula uchafu, maji ya mitalo DSM kazi kubwa ni mavi toka septic tanks!
Niliwahi kunywa siku moja.mapigo ya moyo yalienda kasi sana na jasho likawa linanitoka hatari.tangu siku hio sijawahi kunywa tena
Nauza dawa ya kutapikaSinywi tena upuuzi huu!
chumvi ni kituKuna watu huzama chumvini kudeki!!!. sasa hayo maji ya mtaro yakichemshwa si bora zaidi!, yaani muuza kahawa akose pesa kisa hana maji? atatia chochote almradi kahawa ipatikane!
Umeanza matusi, tolea mfano mama yako kuwa anauza papa! baba yako atamuacha na wenaume mtaani wamuoe...tolea mfano mama yakokwahiyo habari hii umeiamini 100%.
ukiambiawa siku mke wako anauza papa nadhani hapohapo utamfukuza kisha wajanja watamuoa uanze kulia kulia..sio kila la kuambiwa au maoni uyatolee maamuzi papo hapo
Sent using Jamii Forums mobile app
nayo imtokana namaji ya septic tanks kama uko darNauza dawa ya kutapika
ndugu yangu kwenye maji hapo naona utasababisha watu wasinywe kahawaBaadhi ya wauza kahawa wakichoka kutembea huwa wanafanya mambo ya ajabu sana ilmradi wasitupoteze wateja wao!
Yale mabegi mgongoni yana kila kitu, yana beba mkaa, kiberiti, kashata, Katanga, kopo la kahawa,vikombe n.k
Hiyo ni mbinu za kuhakikisha kahawa inawafikia wateja masaa yote 24 na kuhakikisha moto hauzimiki kama ilivyo mbio za mwenge.
Kwasababu hakuna kazi isiyokosa kasoro, pia hii kazi ina pesa lakini shurti uzingatie masharti.
CHANGAMOTO
- Sharti la kwanza la kuuza kahawa ni marufuku kupanda daladala au Gari binafsi hata kama utapewa lifti.
- Sharti la pili usiwe na haraka na safari .
- Usipite kilinge bila kuwasalimia
- Usichangie mada mbalimbali za kwenye vilinge n.k
- Pitia site na rindo za wateja wako mda muafaka .
Zipo changamoto mbalimbali za kazi hii ingawa hii ina faida kubwa!
- Wakati wa jua Kali wateja hupungua,
- Mabirika ya kahawa ni mazito lakini yanazoeleka
- inabidi kuweka moto kidogo kidogo ili kutunza joto.
- Upatikanaji wa maji ni mgumu hasa kahawa inapoisha huko njiani hivyo hulazimika wakati mwingine hujazia kwa maji ya kwenye mitaro au yale yale ya kuoshea vikombe -Haizuru..
- kwenda miguu na kurudi kwa miguu.View attachment 1027645
Nilitaka kushangaa, jinsi JF ilivyo pana kama kikosi cha 5imba, itakosa vipi muuza kahawa?kwahiyo habari hii umeiamini 100%.
ukiambiawa siku mke wako anauza papa nadhani hapohapo utamfukuza kisha wajanja watamuoa uanze kulia kulia..sio kila la kuambiwa au maoni uyatolee maamuzi papo hapo
Sent using Jamii Forums mobile app
Wallah we acha tu.Hahahahaha Kwa Jinsi MWENYEZI MUNGU Alivyo Ni Muweza ,;mteja Akipewa Kahawa Iliwekwa Maji Ya Mitaroni Anaweza Akaisifia Kuwa Hiii Ya Leo Ndo Yenyew Na Usishangae Akamkaribisha Aje Kesho Na Kahawa Ya Kiwango Cha Namna Hyo
kabisa na inakuwaga tam sana kama penzi la porini lilivyotamuHahahahaha Kwa Jinsi MWENYEZI MUNGU Alivyo Ni Muweza ,;mteja Akipewa Kahawa Iliwekwa Maji Ya Mitaroni Anaweza Akaisifia Kuwa Hiii Ya Leo Ndo Yenyew Na Usishangae Akamkaribisha Aje Kesho Na Kahawa Ya Kiwango Cha Namna Hyo