- Thread starter
- #41
nimeeleza uzuri na changamoto zake mkuuIla mtoa mada ulichokifanya sio vizuri kabisa,Unawaaribia brand yao hawa vijana walio wengi wauzao kahawa
nimeeleza uzuri na changamoto zake mkuuIla mtoa mada ulichokifanya sio vizuri kabisa,Unawaaribia brand yao hawa vijana walio wengi wauzao kahawa
Acha upumbavu wako wewe We fikiria kwa mtu ambaye ni mnywaji wa kahawa ameona atakuwa anunui tena kwa kahawanimeeleza uzuri na changamoto zake mkuu
mpumbavu ni ww hapo unaezama chumviniAcha upumbavu wako wewe We fikiria kwa mtu ambaye ni mnywaji wa kahawa ameona atakuwa anunui tena kwa kahawa
Wacha uoga kwakua yanachemshwa 100°Uliposema wanajazia maji ya mtaro au ya kuoshea vikombe umenikata stimu na kunywa kahawa tena
Sent using Jamii Forums mobile app
Mbona ataacha vingi tu! Angalijua alacho nyuki, hata asali ataiacha.Hii kuna rafiki yangu alishuhudia miaka ya 2006 maeneo ya Moro. Jamaa aliongeza maji ya kuoshea vikombe, tangu siku hiyo rafiki na kahawa za njiani haziivi..
Sent using Jamii Forums mobile app
Kweli ndugu, ukifatilia sana unaweza acha kila kitu.Mbona ataacha vingi tu! Angalijua alacho nyuki, hata asali ataiacha.
Asababishe Mara ngap,hujaona comments za wadau huko juu,ndugu yangu kwenye maji hapo naona utasababisha watu wasinywe kahawa
Sent using Jamii Forums mobile app
Nilitaka kujua hiki kichupa, huwa nakionaga sana mafundi cherahani au mafundi nguo hua kinakuwa na kilainishi ,sasa huku kwa hawa jamaa wa gahawa vipi tenaBaadhi ya wauza kahawa wakichoka kutembea huwa wanafanya mambo ya ajabu sana ilmradi wasitupoteze wateja wao!
Yale mabegi mgongoni yana kila kitu, yana beba mkaa, kiberiti, kashata, Katanga, kopo la kahawa,vikombe n.k
Hiyo ni mbinu za kuhakikisha kahawa inawafikia wateja masaa yote 24 na kuhakikisha moto hauzimiki kama ilivyo mbio za mwenge.
Kwasababu hakuna kazi isiyokosa kasoro, pia hii kazi ina pesa lakini shurti uzingatie masharti.
CHANGAMOTO
- Sharti la kwanza la kuuza kahawa ni marufuku kupanda daladala au Gari binafsi hata kama utapewa lifti.
- Sharti la pili usiwe na haraka na safari .
- Usipite kilinge bila kuwasalimia
- Usichangie mada mbalimbali za kwenye vilinge n.k
- Pitia site na rindo za wateja wako mda muafaka .
Zipo changamoto mbalimbali za kazi hii ingawa hii ina faida kubwa!
- Wakati wa jua Kali wateja hupungua,
- Mabirika ya kahawa ni mazito lakini yanazoeleka
- inabidi kuweka moto kidogo kidogo ili kutunza joto.
- Upatikanaji wa maji ni mgumu hasa kahawa inapoisha huko njiani hivyo hulazimika wakati mwingine hujazia kwa maji ya kwenye mitaro au yale yale ya kuoshea vikombe -Haizuru..
- kwenda miguu na kurudi kwa miguu.View attachment 1027645
mle wanaweka tangawizi ya unga Mkuu! ukitaka mixer unawekewa! No problems!!Nilitaka kujua hiki kichupa, huwa nakionaga sana mafundi cherahani au mafundi nguo hua kinakuwa na kilainishi ,sasa huku kwa hawa jamaa wa gahawa vipi tena
Sent using Jamii Forums mobile app
hawajui sayansi mkuuWacha uoga kwakua yanachemshwa 100°
HATA WAUZA JUICE ZA UKWAJU AU PARACHICHI WAUZA CHAI ZA KUTEMBEZA MAJI WANAYOTUMIA NI MACHAFU SANA HAWEZI KUNUNUA UHAI ATENGENEZEE JUICE HAPATI FAIDA
Sent from my iPhone using JamiiForums
yepi mkuuLeo nimegundua kuna matusi kumbe yana hekima ndani yake
ha ha ha ha
eti maji ya mtalo au maji ya kuoshea vikombe