King’asti
Platinum Member
- Nov 26, 2009
- 27,823
- 24,786
Mie nikitaka kumchuna mtu hadi leo nasemaga bado mpya. Anafukuzia weeh na ofa kibao akichoka anasepa zake na maisha yanaendelea lol (Paw akisoma hapa utakuja kunisaidia kukana. Thawa eeh?)
Ukute mwenzio anakataa sababu anaogopa ugundue kua alikua anakudanganya, hamna cha bikra wala nini!