johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 84,036
- 142,127
Askofu Mkuu Mstaafu wa KKKT Dr Shoo amekabidhiwa gari mpya Toyota Landcruiser ya Mwaka 2023 mpya kabisa 0 km iliyonunuliwa kiwandani
Ahadi ya kumnunulia Zawadi ya gari ilitolewa kwenye misa ya shukrani ya Mchungaji Dkt. Kimaro ambapo Wabunge, Mawaziri, Viongozi wa Dini, Viongozi wa Siasa na Waumini walihudhuria miezi michache iliyopita
Waliohudhuria ibada ya Dr Kimaro ni Pamoja na Waziri wa Fedha Dr Mwigulu Nchemba PhD, mh Halima Mdee, mh Esther Bulaya, mh Sanga, Godbless Lema nk..nk
Na katika makabidhiano ya zawadi ya gari nyumbani kwa askofu Dr Shoo walikuwepo mh Kidiva, mh Sanga, mh Mbowe nk.
Mlale Unono
---
Askofu Mkuu wa kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania KKKT anayemaliza muda wake Dr. Fredrick Shoo leo amekabidhiwa zawadi ya gari jipya aina ya Toyota Land Cruiser GR Sport ikiwa ni ahadi iliyoanza kufanyiwa kazi baada ya mmoja wa Waumini wa KKKT Noah Kadiva kutoa wazo hilo Kanisani Kondeni Matala Kilimanjaro katika ibada ya shukrani ya Mchungaji Dkt. Eliona Kimaro April 23 2023.
Baada ya wazo hilo ambalo lilipokelewa kwa mwitikio mkubwa iliundwa Kamati ya zaidi ya Watu 60 wakiwemo Wabunge, Wanasiasa, Wafanyabiashara na Waumini wa madhehebu mbalimbali wakiwemo wa KKKT na hatimaye leo Dkt. Shoo amekabidhiwa zawadi hiyo nyumbani kwake Mailisita, Moshi Mkoani Kilimanjaro.
Noah Kadiva amesema gari hilo Land Cruiser GR SPORT la mwaka 2023 (zero Kilometer) limenunuliwa
Ahadi ya kumnunulia Zawadi ya gari ilitolewa kwenye misa ya shukrani ya Mchungaji Dkt. Kimaro ambapo Wabunge, Mawaziri, Viongozi wa Dini, Viongozi wa Siasa na Waumini walihudhuria miezi michache iliyopita
Waliohudhuria ibada ya Dr Kimaro ni Pamoja na Waziri wa Fedha Dr Mwigulu Nchemba PhD, mh Halima Mdee, mh Esther Bulaya, mh Sanga, Godbless Lema nk..nk
Na katika makabidhiano ya zawadi ya gari nyumbani kwa askofu Dr Shoo walikuwepo mh Kidiva, mh Sanga, mh Mbowe nk.
Mlale Unono
---
Askofu Mkuu wa kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania KKKT anayemaliza muda wake Dr. Fredrick Shoo leo amekabidhiwa zawadi ya gari jipya aina ya Toyota Land Cruiser GR Sport ikiwa ni ahadi iliyoanza kufanyiwa kazi baada ya mmoja wa Waumini wa KKKT Noah Kadiva kutoa wazo hilo Kanisani Kondeni Matala Kilimanjaro katika ibada ya shukrani ya Mchungaji Dkt. Eliona Kimaro April 23 2023.
Baada ya wazo hilo ambalo lilipokelewa kwa mwitikio mkubwa iliundwa Kamati ya zaidi ya Watu 60 wakiwemo Wabunge, Wanasiasa, Wafanyabiashara na Waumini wa madhehebu mbalimbali wakiwemo wa KKKT na hatimaye leo Dkt. Shoo amekabidhiwa zawadi hiyo nyumbani kwake Mailisita, Moshi Mkoani Kilimanjaro.
Noah Kadiva amesema gari hilo Land Cruiser GR SPORT la mwaka 2023 (zero Kilometer) limenunuliwa