johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 84,036
- 142,127
Baada ya Katiba ya KKKT kufanyiwa marekebisho Askofu mkuu wa KKKT hatakuwa tena Askofu wa Dayosisi.
Hivyo Dayosisi ya Mashariki na Pwani itapata Askofu mpya baada ya Askofu Dr Alex Malasusa kuchaguliwa kuwa Askofu Mkuu.
Mchungaji Matsahi na Mchungaji Dr Kimaro Wana nafasi kubwa ya kumrithi Askofu Malasusa pale DMP.
Jumaa Mubarak!
Hivyo Dayosisi ya Mashariki na Pwani itapata Askofu mpya baada ya Askofu Dr Alex Malasusa kuchaguliwa kuwa Askofu Mkuu.
Mchungaji Matsahi na Mchungaji Dr Kimaro Wana nafasi kubwa ya kumrithi Askofu Malasusa pale DMP.
Jumaa Mubarak!