johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 83,998
- 142,022
Wanafamilia wa mchungaji Kimaro wamechangishana na kumnunulia Gari Askofu Kimati wa KKKT huko Moshi na gari hilo litakuwa ni mali binafsi ya baba Askofu na siyo ya Kanisa
Familia ya mchungaji Kimaro imejumuisha Watu wake wa karibu pia wakiwemo Dr Mwigullu, Dr Mollel, mh Saasisha, mh Godbless Lema, mama Mkapa, mama Magufuli, Dr Hans Macha, mh Mchechu, Dr Kimei, Millard Ayo, mh Kidiva, mh Sanga na wengine wengi
Source: Chomoza TV
Familia ya mchungaji Kimaro imejumuisha Watu wake wa karibu pia wakiwemo Dr Mwigullu, Dr Mollel, mh Saasisha, mh Godbless Lema, mama Mkapa, mama Magufuli, Dr Hans Macha, mh Mchechu, Dr Kimei, Millard Ayo, mh Kidiva, mh Sanga na wengine wengi
Source: Chomoza TV