Wauaji wa Michael Okema; wako wapi?

Mzee Mwanakijiji

Platinum Member
Mar 10, 2006
33,476
39,995
Alikuwa ni mwandishi ambaye wengi wetu tulikuwa tukimsoma sana; aliuawa miaka michache tu iliyopita (2006);watuhumiwa kuhusika walikamatwa?
 
Alikuwa ni mwandishi ambaye wengi wetu tulikuwa tukimsoma sana; aliuawa miaka michache tu iliyopita (2006);watuhumiwa kuhusika walikamatwa?

Namkumbuka Okema.Na mimi nashangaa, maana serikali za nchi nyingine wana kitu kinaitwa homicide index, yaani hili ni faili ya majina ya watu wote wanaouawa na maendeleo ya upelelezi ya washukiwa kama wamepatika au bado.Hii inasaidia kutrack kesi hizi utakuta mtu anakamatwa kwa mauaji aliyofanya miaka 20 iliyopita.

Sasa usishangae kuwa polisi wameshasahau kesi hiyo, na wauaji wanapeta tu, ideally ugeweza kuwasilisha freedom of information request kuusu kifo cha huyu jamaa.. but i doubt utapata jibu , tatizo bongo hakuna utunzaji mzuri wa takwimu au information, the people are viewed like rats, when they die, the gov never cares!
 
Na yule dereva aliyetuhumiwa kuhusika na ajali ya gari la mbunge na Naibu Waziri kule iringa yuko wapi?


Yuko anaendelea na shughuli kama kawaida. Alipandishwa cheo baada ya kufanikisha hilo jukumu muhimu. This is TZ, watu tumeshasahau na tunaendelea na maisha kama kawaida.
 
MKJJ bana!

Sasa mwishowe utaanza kuuliza "Stan K" alikufa vipi au "Brg IK" alipigwa na nondo au risasi?

Idara ya Upelelezi (Manumba) na Ofisi ya DPP (Nani vile) wako "chained" na they can not do more than what they are being told to do! FULL STOP
 
Na yule dereva aliyetuhumiwa kuhusika na ajali ya gari la mbunge na Naibu Waziri kule iringa yuko wapi?

MM

Kuna na dereva wa lori aliyesababisha ajali iliyomuuwa SALOME MBATIA, walituambia alikimbia baada ya tukio mpaka leo, haijawahi repotiwa, wala tangazwa kama walimkamata.
 
Ukianza kutaja matukio ya aina hii kwa nchi hii, utachoka tu!

Naongeza mengine;
1. Takriban miaka 8 au 9 iliyopita kuna watu walikamatwa wakiwa na mashine za kuzalisha madawa ya kulevya kule Kunduchi. Na hata nyumba hiyo ilipigwa picha na kutolewa gazetini. Kesi iko wapi?

2. Kuna watu walikamatwa Mbeya wakiwa na maiti ya mwenzao aliyeelzwa kufia Zambia. Lakini maiti ilikutwa (tumboni) na madawa ya kulevya. Kesi iko wapi?

3. n.k., n.k. ni mengi sana!
 
Cold cases ziko kila mahali duniani MMKJ!
Kuna siku zitapata warm-up tena utazisikia tu.
Vinginevyo hii ni moja ya sababu ya attrition when it comes to justice delivery.
 
Ukianza kutaja matukio ya aina hii kwa nchi hii, utachoka tu!

Naongeza mengine;
1. Takriban miaka 8 au 9 iliyopita kuna watu walikamatwa wakiwa na mashine za kuzalisha madawa ya kulevya kule Kunduchi. Na hata nyumba hiyo ilipigwa picha na kutolewa gazetini. Kesi iko wapi?

2. Kuna watu walikamatwa Mbeya wakiwa na maiti ya mwenzao aliyeelzwa kufia Zambia. Lakini maiti ilikutwa (tumboni) na madawa ya kulevya. Kesi iko wapi?

3. n.k., n.k. ni mengi sana!

Hamna nchi ambako kesi za madawa ya kulevya zinaendeshwa watuhumiwa wakashindwaa isipokuwa US na nchi chache sana za Ulaya. Ndiyo maana MiddleEast nchi nyingi zinatandika instant death sentence kutegemeana na amount uliyokutwa nayo. Kule Far East ukikutwa nayo hakuna issue ya rufaa baada ya sentence. Aliyekuwa kiongozi wa club ya Simba anasotea sentence ya 50 yrs kule China. Kwingine kote, Africa, South America, Australia na Europe kesi za drugs ni ngumu sana. Mtu kufungwa huwa ni sehemu ya miujuiza ya kisheria. Wana-network kubwa na mi-hela ya nguvu sana hao jamaa.
 
Ukianza kutaja matukio ya aina hii kwa nchi hii, utachoka tu!

Naongeza mengine;
1. Takriban miaka 8 au 9 iliyopita kuna watu walikamatwa wakiwa na mashine za kuzalisha madawa ya kulevya kule Kunduchi. Na hata nyumba hiyo ilipigwa picha na kutolewa gazetini. Kesi iko wapi?

2. Kuna watu walikamatwa Mbeya wakiwa na maiti ya mwenzao aliyeelzwa kufia Zambia. Lakini maiti ilikutwa (tumboni) na madawa ya kulevya. Kesi iko wapi?

3. n.k., n.k. ni mengi sana!

3. Mauaji ya Imran Kombe, nadhani nayo sikumbuki kesi ile iliendaje.
 
Kesi ya Kombe iliishia familia kulipwa milioni 300 na serikali huku wakiwa wanataka walipwe 700. Ni miaka iliyopita yapata kumi hivi ndhani.
 
Hamna nchi ambako kesi za madawa ya kulevya zinaendeshwa watuhumiwa wakashindwaa isipokuwa US na nchi chache sana za Ulaya. Ndiyo maana MiddleEast nchi nyingi zinatandika instant death sentence kutegemeana na amount uliyokutwa nayo. Kule Far East ukikutwa nayo hakuna issue ya rufaa baada ya sentence. Aliyekuwa kiongozi wa club ya Simba anasotea sentence ya 50 yrs kule China. Kwingine kote, Africa, South America, Australia na Europe kesi za drugs ni ngumu sana. Mtu kufungwa huwa ni sehemu ya miujuiza ya kisheria. Wana-network kubwa na mi-hela ya nguvu sana hao jamaa.

Kwingine kote, Africa, South America, Australia na Europe kesi za drugs ni ngumu sana. Mtu kufungwa huwa ni sehemu ya miujuiza ya kisheria. Wana-network kubwa na mi-hela ya nguvu sana hao jamaa.

Babake wakikukamata nao umeisha. Ni afadhali uwe na kesi ya mada kulikoni kukamatwa ukiwa unakwepa kodi kubwa kama mfanya biashara au muuza unga; kwani wote hao wanajumlishwa kwenye wahujumu uchumi na kesi zao zinaondoka life sentence.

Yuko amefungwa hapa na nyumba zate kutaifishwa na serikali jamaa kafungwa miaka 20, mwaka 2008 miaka baba yake alikuwa tajiri sana mfanyabiahsara wa madawa ya kulevya mkubwa ktk bara la ocenia akiwa na sky scrapers along the gold coast beach North of Sydney beach, nyumba ziko/ zimepanga kwenye urefu wa kama kilomita moja babu yangu hapo gold coast( dingi keshafariki mwaka 2005.

dogo akachukua kampuni na kuendelea kuingiza meli zimejaa madawa ya kulevya tuu. Kma nilivyosema mwaka 2008, March amefungwa 20 years behind the bars pia hata mama yake hakuwa anajua kwamba she was living in the criminal family kwa muda wa miaka 30.

Kwa hiyo Australia unayoisikia have changed alot, labda wauza bangi za kupanda home ndiyo hizo unakamatwa na they destroy your history Huwewzi ukapanga tena nyumba, au mkopo benki na pia pindi unapoomba kazi lazima ufanye police check as if you have attended criminal offensive issues kwa wale wanaotaka kufanya kazi za jamii.
 
WoS.. ni kiweli kabisa.. kwa kweli.. lakini jamii haitakiwi nayo iwe cold.. ni vizuri kukumbushia kumbushia tu..
 
mkuu labda tukumbushie bada ya uchaguzi maana saizi hata polisi wenyewe wapo kwenye uchaguzi hakuna atakayetusikia..
 
si unajua tena inasadikika kuwa Watanznaia ni watu wenye kumbukumbu za muda mfupi sana yanapokuja masuala muhimu fulani fulani ya kitaifa.

Hiyo ni political capital ya wanasiasa wengi Tanzania. Nakumbuka General Ibrahim Babangida alisema "it is hard to ride a herd of cattle than to rule Tanzania". Laisema haya baada ya kujionea watanzania walivyosubmissive na forgetiful.

Hata polisi nao wamekuwa wajanja hivyo hivyo. Wamewapigisha blowjob dada zetu huko Mara, wanatazania tumeishia kucheka tu. Soon utasikia mama zetu nao wanawafanyia hivyo. So easy, in bongo.
 
Back
Top Bottom