Watumishi wa idara ya ardhi Tanzania "wamelaaniwa"?

GoldDhahabu

JF-Expert Member
Apr 29, 2023
5,306
7,230
Angalia majiji makubwa kama Arusha, Mwanza na Dar Es Salaam! Kero zilizosababishwa na watumishi wa hiyo idara ni lukuki!

Kuna waliopokonywa ardhi isivyo halali!

Kuna waliotapeliwa!, n.k.

Kesi ni nyingi sana.

Baada ya kuona malalamiko yanayoshughulikiwa na Waziri wa Ardhi, Jerry Slaa, pamoja na wakuu wa mikoa, Makonda na Chalamila kwenye maeneo yao ya kazi, nimeshindwa kuacha kujiuliza maswali kuhusiana na watumishi wa idara ya ardhi Tanzania.

Wana shida gani?

"Wameelaniwa"?
 
Ila kuna hizi nyingine kama ardhi ikiwa hovyo inaharibu nchi kabisa. Imagine una kiwanja kina Hati na wao wanampa mtu mwingine Hati. Mnajikuta watatu wote mna Hati.
Kuna mama mmoja Arusha anaitwa Mwl Beatrice. Alinunua kiwanja chake miaka ya 80, lakini miaka ya 2000 alipokuwa anashughulikia hati, aliambiwa na watumishi wa hiyo idara kuwa kiwanja chake kipo mtoni. Ajabu, hicho hicho kiwanja, alimilikishwa mtu mwingine na akapewa hati.

Kuna watumishi wa Serikali waongo mpaka wamepitiliza.
 
Angalia majiji makubwa kama Arusha, Mwanza na Dar Es Salaam! Kero zilizosababishwa na watumishi wa hiyo idara ni lukuki!

Kuna waliopokonywa ardhi isivyo halali!

Kuna waliotapeliwa!, n.k.

Kesi ni nyingi sana.

Baada ya kuona malalamiko yanayoshughulikiwa na Waziri wa Ardhi, Jerry Slaa, pamoja na wakuu wa mikoa, Makonda na Chalamila kwenye maeneo yao ya kazi, nimeshindwa kuacha kujiuliza maswali kuhusiana na watumishi wa idara ya ardhi Tanzania.

Wana shida gani?

"Wameelaniwa"?
In fact hao watumishi ndio wanaosababisha migogoro ya ardhi sababu inawafaidisha wao. Washenzi watupu wamejaa pale ni kama polisi tu .
 
Angalia majiji makubwa kama Arusha, Mwanza na Dar Es Salaam! Kero zilizosababishwa na watumishi wa hiyo idara ni lukuki!

Kuna waliopokonywa ardhi isivyo halali!

Kuna waliotapeliwa!, n.k.

Kesi ni nyingi sana.

Baada ya kuona malalamiko yanayoshughulikiwa na Waziri wa Ardhi, Jerry Slaa, pamoja na wakuu wa mikoa, Makonda na Chalamila kwenye maeneo yao ya kazi, nimeshindwa kuacha kujiuliza maswali kuhusiana na watumishi wa idara ya ardhi Tanzania.

Wana shida gani?

"Wameelaniwa"?
Rushwa inanuka huko .. unaweza waua hawa jamaa ..
 
Angalia majiji makubwa kama Arusha, Mwanza na Dar Es Salaam! Kero zilizosababishwa na watumishi wa hiyo idara ni lukuki!

Kuna waliopokonywa ardhi isivyo halali!

Kuna waliotapeliwa!, n.k.

Kesi ni nyingi sana.

Baada ya kuona malalamiko yanayoshughulikiwa na Waziri wa Ardhi, Jerry Slaa, pamoja na wakuu wa mikoa, Makonda na Chalamila kwenye maeneo yao ya kazi, nimeshindwa kuacha kujiuliza maswali kuhusiana na watumishi wa idara ya ardhi Tanzania.

Wana shida gani?

"Wameelaniwa"?
Wote ni Majizi Tu including hao uliowataja kama watetezi
 
Kulaumu na kulaani watumishi haitoshi, sio sahihi.

Wao ni zao la mifumo ya chama na serikali ya ccm.

Na ni ishara ya uwepo wa tawala dhaifu, kwa sbb ya urojo.
Nchi yanye ardhi kubwa halafu kuna migogoro mikubwa ya ardhi!
 
Kulaumu na kulaani watumishi haitoshi, sio sahihi.

Wao ni zao la mifumo ya chama na serikali ya ccm.

Na ni ishara ya uwepo wa tawala dhaifu, kwa sbb ya urojo.
Nchi yanye ardhi kubwa halafu kuna migogoro mikubwa ya ardhi!
Aibu Sana Tanzania Tuna Nchi Kubwa Sana Ardhi Tele Ila Migogoro Tele Muda Wote
Viongozi Kimya Sana Sana
 
Angalia majiji makubwa kama Arusha, Mwanza na Dar Es Salaam! Kero zilizosababishwa na watumishi wa hiyo idara ni lukuki!

Kuna waliopokonywa ardhi isivyo halali!

Kuna waliotapeliwa!, n.k.

Kesi ni nyingi sana.

Baada ya kuona malalamiko yanayoshughulikiwa na Waziri wa Ardhi, Jerry Slaa, pamoja na wakuu wa mikoa, Makonda na Chalamila kwenye maeneo yao ya kazi, nimeshindwa kuacha kujiuliza maswali kuhusiana na watumishi wa idara ya ardhi Tanzania.

Wana shida gani?

"Wameelaniwa"?
Ni idara iliyojaa vishawishi na dhuluma. Kurogana kupo kwingi sana. Kuna watumishi wengi nimeshuhudia wakiugua magonjwa ya ajabu kutokana na kushiriki dhuluma.
 
Angalia majiji makubwa kama Arusha, Mwanza na Dar Es Salaam! Kero zilizosababishwa na watumishi wa hiyo idara ni lukuki!

Kuna waliopokonywa ardhi isivyo halali!

Kuna waliotapeliwa!, n.k.

Kesi ni nyingi sana.

Baada ya kuona malalamiko yanayoshughulikiwa na Waziri wa Ardhi, Jerry Slaa, pamoja na wakuu wa mikoa, Makonda na Chalamila kwenye maeneo yao ya kazi, nimeshindwa kuacha kujiuliza maswali kuhusiana na watumishi wa idara ya ardhi Tanzania.

Wana shida gani?

"Wameelaniwa"?
Wanasema kitendo cha wao kupata kazi idara ya ardhi ni ujanja wao tu, hivyo ujanja huo wanatumia vyema... Tena wamefika mbali na kusema sisi tusiofanya kazi ardhi ni mambumbu.. wakafika mbali zaidi wakasema kwamba, kutajirika kwao kwa njia ya dhulma ni lazima... Watadhulumu watu ardhi hadi mwisho wa maisha yao..

Wakasema tena kwamba, maana kula kwa urefu wa kamba yako ni KUDHURUMU WATU ARHI ZAO WALIZOPATA KIHALALI,

Hivyo maafisa idara ya ardhi kwao na familia zao ni ufahari kulala kitanda cha pesa ya dhulma, kukalia kochi la dhulma, kulima ardhi ya dhulma, kuendesha gari ya dhulma, na kuishi katika nyumba iliyojengwa kwa dhulma...

Mbaya zaidi, wanahamasisha wana wao, ndugu zao wana wa ndugu zao kwamba wapambane wahakikishe wanasoma kozi ambazo zinawawezesha kuwa maafisa ardhi, ili dhulma iendelee maana kwao ni ufahari...

Tena Pamoja na kuwa wao ni wasomi ndani ya idara ya ardhi, furaha yao kuona maneno na Mitaa isiyo pangwa (makazi holela) ikiongeza..

Huo ni ujumbe kutoka kwa maafisa idara ya ardhi nimefikiri niwafikishie tu... Ingawa ngumu kumeza upokeeni tu...
 
Karibu halotel 🐻
Angalia majiji makubwa kama Arusha, Mwanza na Dar Es Salaam! Kero zilizosababishwa na watumishi wa hiyo idara ni lukuki!

Kuna waliopokonywa ardhi isivyo halali!

Kuna waliotapeliwa!, n.k.

Kesi ni nyingi sana.

Baada ya kuona malalamiko yanayoshughulikiwa na Waziri wa Ardhi, Jerry Slaa, pamoja na wakuu wa mikoa, Makonda na Chalamila kwenye maeneo yao ya kazi, nimeshindwa kuacha kujiuliza maswali kuhusiana na watumishi wa idara ya ardhi Tanzania.

Wana shida gani?

"Wameelaniwa"?
 
Wanasema kitendo cha wao kupata kazi idara ya ardhi ni ujanja wao tu, hivyo ujanja huo wanatumia vyema... Tena wamefika mbali na kusema sisi tusiofanya kazi ardhi ni mambumbu.. wakafika mbali zaidi wakasema kwamba, kutajirika kwao kwa njia ya dhulma ni lazima... Watadhulumu watu ardhi hadi mwisho wa maisha yao..

Wakasema tena kwamba, maana kula kwa urefu wa kamba yako ni KUDHURUMU WATU ARHI ZAO WALIZOPATA KIHALALI,

Hivyo maafisa idara ya ardhi kwao na familia zao ni ufahari kulala kitanda cha pesa ya dhulma, kukalia kochi la dhulma, kulima ardhi ya dhulma, kuendesha gari ya dhulma, na kuishi katika nyumba iliyojengwa kwa dhulma...

Mbaya zaidi, wanahamasisha wana wao, ndugu zao wana wa ndugu zao kwamba wapambane wahakikishe wanasoma kozi ambazo zinawawezesha kuwa maafisa ardhi, ili dhulma iendelee maana kwao ni ufahari...

Tena Pamoja na kuwa wao ni wasomi ndani ya idara ya ardhi, furaha yao kuona maneno na Mitaa isiyo pangwa (makazi holela) ikiongeza..

Huo ni ujumbe kutoka kwa maafisa idara ya ardhi nimefikiri niwafikishie tu... Ingawa ngumu kumeza upokeeni tu...
Daaah ndio ilivyo kiongozi.lakini tatizo kubwa ni kizimkazi hajawai kutolea tamko hii wizara tangu kaokota u president wake. Wanajua wamejimilikisha wizara n yao tu.



KAZI ni kipimo cha UTU
 
Ni kweli kabisa Mleta HOJA,hawa jamaa ni CHANGAMOTO, na wote wanafanana,kuanzia Wizarani hadi Halmashauri za Wilaya..nadhani MITAALA yao inashida sehemu..Mh Slaa unakazi kubwa
 
Back
Top Bottom