Kimbesa11
JF-Expert Member
- Sep 6, 2015
- 4,652
- 2,696
Nashangaa mtu anaamka asubuhi kwa kutumia jina la chadema anaweka account number yake binafs anaanza kutafuta hela za mwaka mpya kwaajili ya kula na familia yake na watu wanamchangia kweli hii ni aibu mno huu ujinga utaisha lini, acheni kuwalisha hawa matapeli ya chadema
na ikumbukwe kuwa hizo hela ni kwaajili ya kula hazimgusi mtu mwenye kansa, ukimwi mkali, kisukari Wala makundi ya watu wenye mahitaji maalumu hizo hela ni kwaajili ya kula - huu ujinga utatuisha lini Watanzania.
Chadema acheni kuishi kwa kula hela za kitapeli hazitawasaidia hyo ni laana.
Chadema ni kikundi cha matapeli
na ikumbukwe kuwa hizo hela ni kwaajili ya kula hazimgusi mtu mwenye kansa, ukimwi mkali, kisukari Wala makundi ya watu wenye mahitaji maalumu hizo hela ni kwaajili ya kula - huu ujinga utatuisha lini Watanzania.
Chadema acheni kuishi kwa kula hela za kitapeli hazitawasaidia hyo ni laana.
Chadema ni kikundi cha matapeli