Watu wanahisi mimi ni usalama wa taifa, naombeni ushauri

jiangalie kijana unaniita dogo unanijua?,kama huna cha kusema ni bora ukakaa kimya!,wwe hunatofauti na wale wanaodandia treni kwa mbele!,jifunze Ku respect watu,hili ni jukwaa la magreater thinker sio jukwaa la wahuni!,na wasiwasi na wwe inawezekana umetoroka milembe!

Mkuu acha mbwembwe! Great Thinker anaweza kuleta mada kama hii kweli? Hapa unataka watu wenye akili wachangie nini sasa?
 
Wwe bila shaka utakuwa sio mzima,una magonjwa ya akili,wwe unanijua mmi?,jiangalie wwe!,unanipiga mkwara mmi,nafikiri utakuwa umenifananisha,kaoge ulale!

Afisa usalama vp? Eti babu yako alisema unafanana na afisa usalama? Watu kwa kuandika upuuzi hamjambo aiseee!
 
jiangalie kijana unaniita dogo unanijua?,kama huna cha kusema ni bora ukakaa kimya!,wwe hunatofauti na wale wanaodandia treni kwa mbele!,jifunze Ku respect watu,hili ni jukwaa la magreater thinker sio jukwaa la wahuni!,na wasiwasi na wwe inawezekana umetoroka milembe!

kijana utanisamehe kama nitakuuzi ila ukweli ww ni mtu wa majisifu kuna hizi kauli mnazotumia siku hizi mfano unamchimbia mtu mkwara eti unanijua mm nani ss unaposema neno hilo tukuelewi vipi ok kila kitu mezani
 
Inategemea mkuu...kuna baadhi ya watu kwenye hiyo taasisi kweli kabisa na wanafahamika!!!...kuna jamaa mmoja yuko huko na nilisoma nae pale UDSM kipindi fulani...ni msiri sana kwenye mambo yake na ki ukweli huyu jamaa si mtu wa maringo wala kujisifu hata kidogo yaaani kumjua inabidi uwe na uwezo fulani halafu jamaa yuko vizuri sana kichwani
Ila ni TISS na nina uhakika huo 100% kuwa yuko huko japo for more than 15yrs toka tufahamiane sijawahi muuliza hicho kitu.

Kwa dar nawafaham weng tu kuna mmoja ni dereva wa daladala gongo la mboto sijui kama bdo yupo kuna mwingne ni dalali maeneo flani! lakin mleta uzi umechapia huna hzo sifa
 
Ndio wewe ulidisco udsm 2nd year?
Ukaenda mzumbe university ukadisco tena, 1st yr!
Hukomi ukaenda IAA, badala ya 3 yrs ukaspend 4 yrs, kila mwaka uko students govt

Duuh,mkuu hii statistics ni noma au na wewe ni usalama wa Taifa?
 
NI Marando na Wasira maafisa usalama wa taifa waliostahimili vigingi vya kisiasa nchi hii
 
Habari wana JF, nadhani mko poa sana,niko hapa kuomba ushauri wenu juu ya changamoto nayokutana nayo,nilipokuwa nasoma advanced secondary school bording, nilipoanza form five baada ya kupita miezi kama sita hivi nilikuwa na rafiki yangu mmoja tulikuwa marafiki kama ndugu siku mmoja aliniuliza swali, "hivi wwe ni afisa wa usalama wa utaifa".

Nilishangaa sana aliponiuliza swali kama hilo, nikamuuliza kwa nni ameniuliza swali kama hilo, akanijibu kwa sababu baadhi ya wanafunzi na walimu wanaamini hivyo, akadai wanafunzi wengi huwa wananijadili kimya kimya pasipo mmi kujua na wamefanya tafiti zao wengi wanahisi mmi ni usalama wa taifa,nikamwambia rafiki yangu mmi sio afisa usalama taifa na hao watu wa usalama wa taifa mmi siwajui,

Lakini alionekana kutoamini maneno yangu,!nilipokuja kufanya uchunguzi pale shuleni nikagundua baadhi ya wanafunzi na walimu walikuwa wananiogopa na nikahisi pengine sababu wanahisi mmi ni usalama wa taifa,hali hiyo ilinipelekea mmi kuondolewa katika adhabu za wanafunzi wote,Mara nyingi nilikuwa nikisamehewa kwenye adhabu.

Sasa miaka mingi imepita bado nafananishwa na usalama wa taifa,sasa hivi mmi ni mfanya biashara baadhi ya watu bado wanahisi mmi ni afisa usalama wa taifa baadhi ya marafiki na wafanyabiashara wenzagu wameshawahi kuniuliza kama mmi ni usalama wa taifa,nikawakatalia lakini wanaonekana bado hawajaamini.

Sasa hivi baadhi ya ndugu zangu wameniuliza hilo swali,nikawaambia mmi sio afisa usalama wa taifa,lakini hawakuniamini,babu yangu alikuwa commissioner mkubwa wa jeshi la polisi nilipokuwa Niko mdogo nikiwa darasa la saba,aliwahi kuniambia tabia zangu zilivyo nafaa kuwa afisa usalama wa taifa.

Babu yangu alifariki nikiwa bado mdogo,nimekuwa nikiwa nikiyafikiria maneno ya babu kipindi hicho nilikuwa MDOGO nilikuwa sielewi usalama wa taifa ndio kazi gani,sasa nimekuwa nikikutana na changamoto hiyo ya kuitwa afisa usalama wa utaifa.

Hali hii ya kuitwa afisa usalama wa taifa binafsi huwa inanitia wasiwasi kwa sababu inawezekana ikapelekea baadhi ya waharifu kuanza kuniwinda pengine kwa kunihofia mmi labda na wafatilia kazi zao,na wakati Mimi sio afisa usalama wa taifa,wala si wajui wakoje na hata office zao zilipo sijui pia sijawahi kufikiria kufanya kazi hiyo,naombeni ushauri wenu niishi namna gani ili watu waache kunihisi hivyo!

Itika! Huo ni wito.

SAUTI YA WENGI NI SAUTI YA MUNGU.
 
Hii pia ni moja ya maajabu ya Tz. Nilikuwa nafikiri ni vigumu kumhisi au kumjua afisa usalama wa taifa, kumbe mpaka wanafunzi wanjua vigezo na sifa za mtu anaeweza kuwa usalama wa taifa?!! hatari sana hii kwa usalama wa nchi.

:D:D:D:D:D:D:D:D:D:D! Yaani maafisa usalama wetu hawajui kuji'mix' na kupotelea kwenye kundi! NI SHIDAAA!
 
Habari wana JF, nadhani mko poa sana,niko hapa kuomba ushauri wenu juu ya changamoto nayokutana nayo,nilipokuwa nasoma advanced secondary school bording, nilipoanza form five baada ya kupita miezi kama sita
hivi nilikuwa na rafiki yangu mmoja tulikuwa marafiki kama ndugu siku mmoja aliniuliza swali, "hivi wwe ni afisa wa usalama wa utaifa".

Nilishangaa sana aliponiuliza swali kama hilo, nikamuuliza kwa nni ameniuliza swali kama hilo, akanijibu kwa sababu baadhi ya wanafunzi na walimu wanaamini hivyo, akadai
wanafunzi wengi huwa wananijadili kimya kimya pasipo mmi kujua na wamefanya tafiti zao wengi wanahisi mmi ni usalama wa taifa,nikamwambia rafiki yangu mmi sio afisa
usalama taifa na hao watu wa usalama wa taifa mmi siwajui,
Lakini alionekana kutoamini maneno yangu,!nilipokuja kufanya uchunguzi pale shuleni nikagundua baadhi ya
wanafunzi na walimu walikuwa wananiogopa na nikahisi pengine sababu wanahisi mmi ni usalama wa taifa,hali hiyo ilinipelekea mmi kuondolewa katika adhabu za wanafunzi
wote,Mara nyingi nilikuwa nikisamehewa kwenye adhabu.

Sasa miaka mingi imepita bado nafananishwa na usalama wa taifa,sasa hivi mmi ni mfanya
biashara baadhi ya watu bado wanahisi mmi ni afisa usalama wa taifa baadhi ya marafiki na wafanyabiashara wenzagu wameshawahi kuniuliza kama mmi ni usalama wa
taifa,nikawakatalia lakini wanaonekana bado hawajaamini.

Sasa hivi baadhi ya ndugu zangu wameniuliza hilo
swali,nikawaambia mmi sio afisa usalama wa taifa,lakini hawakuniamini,babu yangu alikuwa commissioner mkubwa wa jeshi la polisi nilipokuwa Niko mdogo nikiwa darasa la
saba,aliwahi kuniambia tabia zangu zilivyo nafaa kuwa afisa usalama wa taifa.

Babu yangu alifariki nikiwa bado mdogo,nimekuwa nikiwa
nikiyafikiria maneno ya babu kipindi hicho nilikuwa MDOGO nilikuwa sielewi usalama wa taifa ndio kazi gani,sasa nimekuwa nikikutana na changamoto hiyo ya kuitwa
afisa usalama wa utaifa.

Hali hii ya kuitwa afisa usalama wa taifa binafsi huwa inanitia wasiwasi kwa sababu inawezekana ikapelekea baadhi
ya waharifu kuanza kuniwinda pengine kwa kunihofia mmi labda na wafatilia kazi zao,na wakati Mimi sio afisa usalama wa taifa,wala si wajui wakoje na hata office zao zilipo sijui pia
sijawahi kufikiria kufanya kazi hiyo,naombeni ushauri wenu niishi namna gani ili watu waache kunihisi hivyo!

Hovyooo
 
Back
Top Bottom