Hao watoa adhabu ni mabwege kuliko mabwege wengine duniani!ilinipelekea mmi kuondolewa katika adhabu za wanafunzi wote,Mara nyingi nilikuwa nikisamehewa kwenye adhabu.
Hao watoa adhabu ni mabwege kuliko mabwege wengine duniani!ilinipelekea mmi kuondolewa katika adhabu za wanafunzi wote,Mara nyingi nilikuwa nikisamehewa kwenye adhabu.
Naskiaga na kuona watu wengi wanaipenda sana hyo kazi,hivi ni kwanini? Mbona kazi za kujipatia kipato halali zipo nyingi tu....Mkuu nadhani unaipenda hiyo kazi,so upo humu ukijaribu kujipigia chapuo.Basi wenyewe watakuwa wamekusikia subiria PM....
Kweli na tusilolijua ni sawa na usiku wa giza. .Vijana wanavitaka wasivyoviweza ndio maana yake.....
Kumbe hapa ndo ukaanza kuwa mjanjaeeTISS Ndiyo Nini Mkuu? Idadavue Hiyo Ili Nasi Akina Ngumbaru Tuifahamu.
Tz wakishakuona una mishe mishe nyingi hata kama ni jambazi tu utaitwa usalama wataifaMpaka watu kukuhisi kuwa ni afisa usalama wa taifa inadhihirisha huna sifa hata chembe za kukufanya uwe afisa usalama wa taifa. Usalama wa taifa hawana tabia kama zako (Hizo zinazofanya uhisiwe usalama wa taifa)... kuwa huru kijana fanya mambo yako watakaoendelea kukuhisi ni wale tu wasiojua chochote kuhusu haya mambo.