jamaaa ndio mambo yake hayoooooo
Nimecheeka sana mno.huyu bwana anatabia za kujisifia hafu baadae watu wanajua kumbe ni famba yani housing ndo maana wanasepa.walichotarajia sip.so Hata hapa kwa tiss anajifagilia akijua ni kazi ya sifa.dogo angalia watu wapo kazini na wala usichezee kazi za watu