BOB OS
JF-Expert Member
- Dec 11, 2011
- 3,462
- 7,007
umeielewa hiyo statement mkuu?Ndio utende mema uache kuchapa bakora wasiofunga
umeielewa hiyo statement mkuu?Ndio utende mema uache kuchapa bakora wasiofunga
View attachment 1094622
Vijana hapo juu wamecharazwa bakora na vijana wa kiuslam baada ya kukutwa sehemu wanakula kilaji na nyama choma lkn haikuwa hadharani walikaa eneo la ndani (uani)
Huo ubabe mnaofanya mtajutia nyie vijana
Funga ni kujuzuia wewe kula na sio kumzuia jirani yako kula
Kama umeshindwa kuvumilia wengine wewe hufai kufunga
Sasa tukiwatuma vijana wa kiha miamoja waje huko ili waje wawape kichapo na nyie ili muache uonevu
Jaribu uoneSio rahisi
bakora yaheee tunakuchapa vizuri tu yaheeeeEti nichapwe fimbo[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3] iyo noma ntaletaa hawatakaa waamini. Yani ntapasua watu na mawe. Haki naapa tutauana hapo.
Mchana wa leo nilikua pale Kisonge wakapita jamaa na dada wa kizungu na juice zao na 'biskuti' safi wanakula tena dada kavaa kikaptula kifupi mno.Kwa Zanzibar ilivyo ingeachwa tu iwe nchi kamili maana kuna wagaratia wanaishi huko kikazi au la ila maisha yanakuwa magumu Sana kutokana na mfumo dume wa kiarabu
Lakini kwa wazungu mnakuwa wapole, wanavaa hovyo mnakuwa kimya, kipindi hiki wanakula mitaani hovyo hamsemi wakila weusi wenzenu kelele kibaobakora yaheee tunakuchapa vizuri tu yaheeee
hahaha umenifanya nicheke peke angu kiongoziLakini kwa wazungu mnakuwa wapole, wanavaa hovyo mnakuwa kimya, kipindi hiki wanakula mitaani hovyo hamsemi wakila weusi wenzenu kelele kibao
Lakini kwa wazungu mnakuwa wapole, wanavaa hovyo mnakuwa kimya, kipindi hiki wanakula mitaani hovyo hamsemi wakila weusi wenzenu kelele kibao
Eti nichapwe fimbo[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3] iyo noma ntaletaa hawatakaa waamini. Yani ntapasua watu na mawe. Haki naapa tutauana hapo.
bakora yaheee tunakuchapa vizuri tu yaheeee
Huwezi pambana nao wote LA msingi kama hauna cha kupoteza unaanza kukamata mmoja baada ya mwingine....unampa mambo ya GwajibizooYani ningekuwa mm ndo wanifanyie hivyo ningeanzisha vagi ilo sio la nchi hii