Watu wa Pemba acheni mara moja hii tabia

Watu wa Pemba acheni mara moja hii tabia

View attachment 1094622

Vijana hapo juu wamecharazwa bakora na vijana wa kiuslam baada ya kukutwa sehemu wanakula kilaji na nyama choma lkn haikuwa hadharani walikaa eneo la ndani (uani)

Huo ubabe mnaofanya mtajutia nyie vijana
Funga ni kujuzuia wewe kula na sio kumzuia jirani yako kula

Kama umeshindwa kuvumilia wengine wewe hufai kufunga

Sasa tukiwatuma vijana wa kiha miamoja waje huko ili waje wawape kichapo na nyie ili muache uonevu
Hawa jamaa ni wapumbavu sana hata hiyo funga yao ina mashaka.. Hivi ukitia nia ya dhati na ukafunga jirani yako yako awe wa imani yako au tofauti akala wewe inakuathiri nini!?!?
 
Kwani mtu akila hadharani wewe inakuathiri vp kwenye funga yako?
Kufunga ni lazima kwa kila muislamu asiyekuwa na udhuru wa kisheria.na ni kweli kwamba dola za kiislamu zilikuwa zinadhibiti jambo hilo kwa kuhakikisha mtu hali hadharani.kama mtu anakula basi asile hadharani...

Ila kwa hawa vijana wa kipemba(hata kama tukio ni la zamani)hawa bado ni wajinga waelimishwe wao kwanza kabla ya kuwaelimisha hao wanaokula mchana waa ramadhani kwa sababu SHERIA YA KIISLAMU haijaachia mambo ya hukmu afanye mtu mmoja mmoja bali wanafanya wenye mamlaka kama polisi n.k

Ni kama leo wamkamate mwizi kisha wamkate mkono mtaani tu,huu utakuwa ni ujinga wao na ni makosa kwa sababu ni kuwatangulia wenye mamlaka katika nchi,hivyo waelimishwe kwanza wao kwamba haifai kutoa hukmu kama hizo mpaka fola ipitishe kwanza.

Huu ni ujinga wao kwa sababu wameshindwa kujua kwamba baba ana miliki familia na kiongozi anamiliki rai wote.
Baba anafaa kumuonya mtoto wake hata kwa bakoraa,lakini baba wewe huna jukumu la kumuonya mzee mwenzio labda kszini ukataka umpige bakora hadharani hilo sio jukumu lako kwa sababu mwenye mamlaka ni kiongpzi wa dola.

Hao vijana ilikuwa wakiwaona watu wawalinganie na kuwaelewesha kwamba jambo la kula hadharani mchana wa ramadhani kwetu sisi ni karaha wakazi wa hapa hivyo ni bora mgetafuta pahala mkafanya yenu.

Kwa sababu asiyekuwa muislamu hana uwajibu wa kufunga kwa mantiki hiyo pia anaruhusiwa kula lakini suala la kula hadharani ndipo pana leta ukakasi.

Waelimisheni vijana waache jazba
 
Ila kiukweli kabisa, ni asilimia ngapi ya wakristo huwa wanafunga kwaresma? Ni idadi ndogo
Hata kama iko hivyo haitoi uhalali wa waislam kuwanyima amani watu wa imani nyingine kisa wao wanafunga. Isitoshe kuna idadi kubwa tu ya waislam wenzetu hawafungi kipindi hiki na hawana matatizo yoyote.
 
Kwa kutumia ulinganisho wa kimani kweli ni tatizo ni kheri mtu akawa kimya tu
Ila kuwakingia kifua hawa jamaa wa kidini ni kazi mno
Ila kuhusu suala la hao wapemba hivyo ndivyo walivyo hata kwenye masuala ya kisiasa unaona siasa zao zilivyo,hivyo tatizo ni wao wenyewe na si kwamba imani yao ndio inawafanya kuwa hivyo nawajua vizuri hao jamaa.
 
Ila kuhusu suala la hao wapemba hivyo ndivyo walivyo hata kwenye masuala ya kisiasa unaona siasa zao zilivyo,hivyo tatizo ni wao wenyewe na si kwamba imani yao ndio inawafanya kuwa hivyo nawajua vizuri hao jamaa.
Comoro nayo ina waislam 98% kama Zanzibar tu, unajua sheria zao ni za kibabe kama za Zanzibar kuhusu Ramadhani na mambo mengine ya Kiislam..nchi karibia zote za Kiislam zipo hivyo
 
Mbona bara tunafanya nao vibarua wakati wa kula wanakaa pembeni tunapiga story? Kweli zenji mdebwedo.
Bara ni kwa sababu Waislam ni wachache, wanajua wakileta ujinga ni kichapo na watajuta, Zanzibar 98% ni Waislam, Bara Waislam nao wangekuwa kama 70% hivi wangetuletea pia huo Udikteta na na muaji
 
Hii tabia inayofanywa na baadhi tu ya waislamu na kuchukuliwa ni dini hii ni tatizo sana. Mbona matukio yafanywayo na nchi za kikristo hazitafsiriwa kuwa ni ukiristo ngoja niyataje baadhi
1. Ndoa za jinsia moja
2. Kuhalalisha ushoga
3. Mwanamke mkiristo kuolewa na
mbwa.
4. Mapicha ya ngono, na ngono za wanyama kuwaingilia wanawake wa kikristo na wanyama kuwaingilia wanaume na wanaume kuwaingili wanyama
Lakini huu uchafu hauelekezwi kama ni wakiristo lakini itokeapo mwenye jina linaloshabihiana na uislamu na ametenda jambo baya basi inaelekezwa kwenye dini. Waafrika wapumbavu
Huko Zanzibar hakika wanafanya vizuri mkuu, hebu zileteni hizo harakati zenu na huku bara maana Waislam ndio Dini ya Haki
Tutawafanya kitu kizuri kweli
 
Zanzibar 99% ni waislamu,sasa kama mtu mzima mwenye akili timamu anashindwa kusoma alama za nyakati afanyajwe? Asubirie Mwezi Mtukufu uishe,Ibilisi atoke kifungoni aungane nae,sio ndani ya mfungo
Huku bara hivi mpo asilimia ngapi vile? Nasikia mpo wengi kuliko makafiri
 
Write your reply...Mshazowea ubuyu wa diamond ...ukikosekana mnapata shida sana
 
Kifupi watu inabidi wajue maana halisi ya dini...


Hizo sheria,Mungu alizoweka hajaweka kukupima kiwango chako cha utii kwako kwake,ameweka hili uweze kuishi dunia vizuri na watu wanaokuzunguka...

Usiue,kwani ukiua wewe, Mungu Ana hasara gani?kama sio utaozea jela tu.usizini,kwani ukizini, Mungu Ana hasara gani???Kama sio utakufa mwenyewe tu.mpende jiran yako,je ukimpenda Ni kwa faida ya Nani?kama sio wewe mwenyewe???

Mnakalili sana hizi dini,dini zipo pale kukufanya uishi maisha ya amani,upendo na furaha hapa duniani..

Matokeo yake,jitu linatumia dini kumdharau mwingine,kumnyima mtu kazi,kumwita mwenzake gaidi,kumuona mwenzake ndo mchafu sana yaani concept nzima ya dini imepotea,leo hii watu wanauana sababu Ni dini tofauti!sasa Nini faida ya dini Kama inakupa chuki?inakufanya umdharau mwingine, inakufanya ujitenge na wenzako!!!

Dini sio kwa ajili ya Mungu kwa ajili yako wewe uishi vizuri duniani kabla ya kwenda mbinguni.
Hii point nmeielewa Sana mkuu
 
View attachment 1094622

Vijana hapo juu wamecharazwa bakora na vijana wa kiuslam baada ya kukutwa sehemu wanakula kilaji na nyama choma lkn haikuwa hadharani walikaa eneo la ndani (uani)

Huo ubabe mnaofanya mtajutia nyie vijana
Funga ni kujuzuia wewe kula na sio kumzuia jirani yako kula

Kama umeshindwa kuvumilia wengine wewe hufai kufunga

Sasa tukiwatuma vijana wa kiha miamoja waje huko ili waje wawape kichapo na nyie ili muache uonevu
Hii dini ya kulazimishana kwenda mbinguni inanishangaza sana!!
 
Hawa jamaa sijui vp si ndo majuzi manara nae akasema harambee ya yanga kusiwe na bia eti kisa n mwezi wa ramadhani, nawashangaa kweli wanavompigania Mungu wao badala ya kuacha ajipiganie mwenyewe.
 
NI BORA NIWE CHRISTIAN ILI NIJIGWAJIBOY AU NIJIVATICAN NA MASISTA ASANTE YEZUUS.
 
Hawa jamaa sijui vp si ndo majuzi manara nae akasema harambee ya yanga kusiwe na bia eti kisa n mwezi wa ramadhani, nawashangaa kweli wanavompigania Mungu wao badala ya kuacha ajipiganie mwenyewe.
BARA TUNAPIGA BIERE NIGHT TUNAJIGWAJIBOY
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom