BRO SANTANA
JF-Expert Member
- Jun 15, 2015
- 1,845
- 2,249
Naona mnajitahidu sana kuichafua dini ya mwenyezi mungu.View attachment 1094622
Vijana hapo juu wamecharazwa bakora na vijana wa kiuslam baada ya kukutwa sehemu wanakula kilaji na nyama choma lkn haikuwa hadharani walikaa eneo la ndani (uani)
Huo ubabe mnaofanya mtajutia nyie vijana
Funga ni kujuzuia wewe kula na sio kumzuia jirani yako kula
Kama umeshindwa kuvumilia wengine wewe hufai kufunga
Sasa tukiwatuma vijana wa kiha miamoja waje huko ili waje wawape kichapo na nyie ili muache uonevu
Mara msingizie ugaidi mara itikadi kali na sasa mmekuja na mfungo wa ramadhani.
Hivi kwanini mnaupiga sana vita uislamu kwa kupakazia uongo?
Na kamwe hamtaweza kuupoteza uislamu kwa fitina zenu za uongo kwasababu ulimwengu mzima unajua uislamu unapakaziwa uongo na ndio maana kila siku misikitini watu wanakuja kubadili dini.