Mbeya kwetu walilolifanya jana wale vijana si la kulishabikia.
Hekima na busara n kusikiliza then kwa sandkula kura kama hajakuconvice usimpe kura.
Kelele na fujo hazisaidii
Kwanza mktukosya esoni twaoneka Mbeya wafujo.
Nahii abia imekuaikiendelea ata kwenye iutao ya kampeni hasa vijna wa CDM kuleta fujo.
Watu wa mbeya niwajuao mimi ni wastarabu
Huu uzi unaweza kuwa ni uzi wa ovyo tangu kampeni zianze.
nafarijika kuzaliwa mkoa wa mbeya ningezaliwa dodoma ningeumia sana
goodHii zomea zomea ndo inawashikisha adabu CCM ndo maana bajeti zote za serikali vipaumbele ni MWANZA...MBEYA...KILIMANJARO...ARUSHA......
Mbona kwa masikini na majuha vipenzi wa CCM MOROGORO...TABORA....GEITA...RUVUMA hakuna maendeleo?
Hawajaichoka ccm ila ni watu wanaopenda sana ushabiki wa kishamba. Yani wana akili za kushikiwa.
Mkuu ccm wanastahili kuzomewa popote waendapo.Watu wa mji wa Mbeya wamekuwa ni watu wa ajabu sana. Wanafanya siasa za kitoto sana zisizo za kistaarabu.
Kwa sasa ukizungumzia Mbeya ni kama unazungumzia mji wa 'masela ma..' awa watu walimzomea mpaka rais wa nchi na sababu hawana.
Mji sasa unaongozwa na mawazo ya Sugu na mnamuita rais wenu.. Just imagine?
Nyie siasa za vyama vingi mnachukulia ni ugomvi na fujo kwenu huko sasa kila kitu mmechukulia siasa ata timu yenu inakufa sababu ya siasa za kipuuzi.
Sasa nimeshanga mpaka hizi kampeni kazi yenu ni kuzomea zomea wagombea msiowunga mkono. Sasa sielewi ukishazomea ndio utapata nini na fujo tangu mzianze mmepata nini.
Mbeya inasikitisha imekuwa inawaiga watu wa arusha. Watu wa arusha wanajulikana hao hatuna tatizo nao cha arusha ndio tatizo. Sasa nyie mtaishi hivyo mpaka lini.
Sasa naomba mchukue ushauri wangu mbadilike, msijifanye nyie mnauchungu na chama kuliko watu wa Kilimanjaro.
Msipobadilika mwaka huu mtailaumu serikali maana Mzee Jakaya kawalea sana. Badilisheni siasa zenu ziwe za kijanja or else.
Safari hii hadi kigamboni lazima akione cha moto tunamsubiri kwa hamu sana na madharau yake.
Watu wa mji wa Mbeya wamekuwa ni watu wa ajabu sana. Wanafanya siasa za kitoto sana zisizo za kistaarabu.
Kwa sasa ukizungumzia Mbeya ni kama unazungumzia mji wa 'masela ma..' awa watu walimzomea mpaka rais wa nchi na sababu hawana.
Mji sasa unaongozwa na mawazo ya Sugu na mnamuita rais wenu.. Just imagine?
Nyie siasa za vyama vingi mnachukulia ni ugomvi na fujo kwenu huko sasa kila kitu mmechukulia siasa ata timu yenu inakufa sababu ya siasa za kipuuzi.
Sasa nimeshanga mpaka hizi kampeni kazi yenu ni kuzomea zomea wagombea msiowunga mkono. Sasa sielewi ukishazomea ndio utapata nini na fujo tangu mzianze mmepata nini.
Mbeya inasikitisha imekuwa inawaiga watu wa arusha. Watu wa arusha wanajulikana hao hatuna tatizo nao cha arusha ndio tatizo. Sasa nyie mtaishi hivyo mpaka lini.
Sasa naomba mchukue ushauri wangu mbadilike, msijifanye nyie mnauchungu na chama kuliko watu wa Kilimanjaro.
Msipobadilika mwaka huu mtailaumu serikali maana Mzee Jakaya kawalea sana. Badilisheni siasa zenu ziwe za kijanja or else.
Mkuu tumekuwa tukilalamika muda mrefu kuwa ingawaje tunaishabikia CCM, lakini huko kwetu CCM Mtandao imeiliza CCM Mbeya.mbeya ni moja ya miji ambayo watu wake wanatafuta hela zake kihali.(kihalali?)
hawana muda wa kushabikia watu wanaowanyonya na kuwakandamiza na kusubiri hela za misaada kujenga barabara.
mji wa tatu kwa ukusanyaji wa kodi nchi hii ila kila sehemu ni vumbi tu.
bara bara za tangu enzi za nyerere ndio bado zipo