Watu wa Mbeya mtabadilika lini?

Watu wa Mbeya mtabadilika lini?

Nakubaliana na wewe mkuu, sio wana Mbeya wote wenye matatizo . Kina mama wa Mbeya kwa mfano ni kina mama wastarabu sana ata wazee wa huko ni wema, tatizo ni hiki kizazi kilichokuja juzi na kikakosa akili kamili sijui kilitokea wapi! Watu wapo karne ya technology wao wanarudi kwenye ujima yani kwa akili zao ukiwawekea jiwe wanalichagua kweli sasa hizi akili sio za binadamu aliyekanilika hii ni jamii ya primates.

Ccm ni janga na kwa mbeya tutaifuta kabisa..lowasa hoyeeeeeeeeee
 
Wala sio watu wa Mbeya bali wahuni wachache, ni sawa na mtu kuzomewa kariakoo na kubdi la watu 20 alafu useme Dar es Salaam imemzomea.

John Pombe Magufuli atamshinda Lowassa kwenye uchaguzi huu kwa mkoa wa Mbeya.

Mwaka huu hadi diwani hampati mbeya
 
Wala sio watu wa Mbeya bali wahuni wachache, ni sawa na mtu kuzomewa kariakoo na kubdi la watu 20 alafu useme Dar es Salaam imemzomea.

John Pombe Magufuli atamshinda Lowassa kwenye uchaguzi huu kwa mkoa wa Mbeya.

Hatuna muda mchafu wa kuichagua ccm
 
Teh teh hiki ndicho nilitambua tangu awali ndo kinachokufurukuta!!!

Kilimanjaro inakuwasha sana acha uvivu na kuendekeza ngono na starehe za kishenzi mpaka mnashindwa fanya kazi mnabaki kuwa masikini mnaamsha chuki kwa waliofanikiwa kwa nguvu na jasho lao!!!

Chama cha kilimanjaro wapi wakati hao watu wa Kilimanjaro walishawateka siku nyingi nchi nzima mmewauzia wenyewe viwanja mijini mkakimbilia porini??

We kima kweli Mbeya imeamka tangu enzi za Nyerere akiwa Rais na chini ya mfumo wa chama kimoja!!!

Kwahiyo usifikiri sisi ni watu dhalili kama nyie kizazi cha laana tupu!!!

Waache waendelee kuota ndoto za mchana wakati ccm ndiyo inazidi kufutika ktk ramani ya kisiasa nchini tanzania
 
Jamaa hadi wamekimbia hapa! Twaweza wameonesha kwenye ripoti yao kua malofa na wapumbavu ndo wanaoichagua ccm. Mtu mwenye akili timamu hawezi sema ccm imewajengea barabara lazima atakua mbumbumbu tu kichwani na watu wengi mbeya hawako hivyo. Wanajitambua na Uzuri unaambiwa hapo hapo. Unapoenda mbeya uwe unajipanga. Mama salima alishawahi kuoneshwa vidole viwili pale Tunduma na akina mama. Pombe kwanza wamemstahi sana Jk alipopolewa na mawe kabisa kule Chunya
 
Mji unarudi rasmi kwa ccm uchaguzi huu, kama fujo zingekuwa ndio kura basi uchaguzi wa serikali mitaa karibu yote isingechukuliwa na ccm. Huu ndio usokwe nnaousema hapa.

Sahau kabisa habari ya ccm mkoani mbeya
 
Wala sio kizazi mkuu, hao waliofanya hivyo ni makonda na wamachinga wachache sana.Utashangaa utakapoyaona matokeo ya uchaguzi mkoa wa Mbeya, keep my words, Magufuli will carry the day in this region.

Ccm imeshafutika ndani ya mkoa wa mbeya
 
Dr Magufuri ni mtu safi shida kubwa ni wanamzunguka, najiuliza atapenyaje kufanya kazi maana mfumo umeoza. Au labda akishinda ahame chama hapo atafanya kazi
 
Mkoa wa Mbeya kati ya Wabunge 10 ni 2 tu wa Upinzani Sugu na Silinde
 
Watu wa mji wa Mbeya wamekuwa ni watu wa ajabu sana. Wanafanya siasa za kitoto sana zisizo za kistaarabu.

Kwa sasa ukizungumzia Mbeya ni kama unazungumzia mji wa 'masela ma..' awa watu walimzomea mpaka rais wa nchi na sababu hawana.

Mji sasa unaongozwa na mawazo ya Sugu na mnamuita rais wenu.. Just imagine?

Nyie siasa za vyama vingi mnachukulia ni ugomvi na fujo kwenu huko sasa kila kitu mmechukulia siasa ata timu yenu inakufa sababu ya siasa za kipuuzi.

Sasa nimeshanga mpaka hizi kampeni kazi yenu ni kuzomea zomea wagombea msiowunga mkono. Sasa sielewi ukishazomea ndio utapata nini na fujo tangu mzianze mmepata nini.

Mbeya inasikitisha imekuwa inawaiga watu wa arusha. Watu wa arusha wanajulikana hao hatuna tatizo nao cha arusha ndio tatizo. Sasa nyie mtaishi hivyo mpaka lini.

Sasa naomba mchukue ushauri wangu mbadilike, msijifanye nyie mnauchungu na chama kuliko watu wa Kilimanjaro.

Msipobadilika mwaka huu mtailaumu serikali maana Mzee Jakaya kawalea sana. Badilisheni siasa zenu ziwe za kijanja or else.

Nawapongeza sana watu wa mbeya kwa maamuzi waliyochukua na yote hyo ni elimu waliyonayo. Msirudi nyuma ccm haina nafasi tena.
 
Tatizo Siyo Kuzomea Jmn, Wale Walikuwa Wakimshangilia Barabarani, Wkt. Akipita Njia Na Kuanza Kuwasalimu Kwa KUOMBA Wampigie KURA!! Shida ULE Haukuwa Mkutano, Kulikuwa WATU Wa Aina TOFAUTI!! Sasa Kama Kuna Wafuasi Wa CCM Na Ukawa Eneo Lile, Ni MATOKEO Yake!!!??? Kama Si Kila Mtu Kushangalia Kundi Lake!!! Sasa Humu Ndio Mnaleta Ushamba Wenu!! Kama Alizomewa POLISI WALIKUWA Wapi!!!!??? Si Wangewakamata Basi!!! ALAFU Kusema Kuwa Wenye Haki Ya Kuwa Wazomeaji Ni Watanzania Wa Mtwara Na Kigoma Au Tabora, Eti Wao Ndio Wana MAISHA Magumu TOFAUTI Na Mbeya, Arusha, Mwanza, Mara, Moshi, Dar!! Sio SAHIHI!! Kila Mtanzania Ana Haki Ya Kujua Shida Zake, Matatizo Na Changamoto Zinazomkabili!! Sasa Kama Sehemu Nyingine Wamelala Usingizi, Basi Na WENGINE Walale!!!
 
Nawapongeza sana watu wa mbeya kwa maamuzi waliyochukua na yote hyo ni elimu waliyonayo. Msirudi nyuma ccm haina nafasi tena.

Hatuwezi kufanya uzembe kama huo, tumeshaamua kuifuta kabisa ccm
 
Back
Top Bottom