Watu wa Mbeya mtabadilika lini?

Watu wa Mbeya mtabadilika lini?

Kikwete rais wake pia alipigwa mawe, watu wakatiwa ndani

Wavuta bangi sawa inayoandaliwa ni kuyavunja majimbo hayo kuyatoa mikononi mwa wabunge wao wahuni ili kuleta adabu,MPE salamu sugu,hilo jimbo akibaki nalo nashukuru mungu maana amewasha moto,
 
Njoo utiwe mimba Mbeya. Mbeya tuna akili sio kama nyie wapuuzi mnaolialia na ccm.
Siasa za Mbeya ni zetu wanaMbeya, we kwakuwa unawashwa lete makalio

Dawa yenu iko motoni na sawa ni kuondoka wabunge wahuni kuongoza majiji makubwa ndo mtajua mwaka huu,
 
Kila kitu Mbeya ni tofauti sana hata soka zikumbuke hizi team Tukuyu star, Taiga, Meko, Kimondo, Mbeya city, Mbeya prisons inamaana huu ni mji wa mabadiriko. Hatuwezi kukubali kuchagua makandarasi badala ya kuchagua rais. Watu wenye asili ya Mbeya mmewapa sumu wengi tu na Hata Mwamunyange mnataka kumuua. Mbeya songa mbele kwanza nchi zote mnazopakana nazo wate walifanya mabadiliko toka miaaka ya 90 e.g Malawi, Zambia. Hongera nyumba na ikiwezekana pigeni risasi huyo mpiga push ups maana hakuna namna sasa.


Umenikumbusha lowasa alivyompa sumu mwakyembe na mwandosya,chini mafya apson mwangonda,mungu ataripa,
 
Wavuta bangi sawa inayoandaliwa ni kuyavunja majimbo hayo kuyatoa mikononi mwa wabunge wao wahuni ili kuleta adabu,MPE salamu sugu,hilo jimbo akibaki nalo nashukuru mungu maana amewasha moto,

Shitambala mgombea wenu hajawasimulia?
 
Kuna njia za kistaarabu za kusema wameichoma ccm, kwenye sanduku la kura. Huu mkoa Sugu anauharibu kabisa na sioni alichofanya zaidi ya kuwafundisha fujo.

Kwa mkakati uliopo anaachia jimbo hata kwa jua yoyote,tena amemchokoza rais magufuli asifikiri magufuli ni kana kikwete,inakula kwake,
 
watu wa mji wa mbeya wamekuwa ni watu wa ajabu sana. Wanafanya siasa za kitoto sana zisizo za kistaarabu.

Kwa sasa ukizungumzia mbeya ni kama unazungumzia mji wa 'masela ma..' awa watu walimzomea mpaka rais wa nchi na sababu hawana.

Mji sasa unaongozwa na mawazo ya sugu na mnamuita rais wenu.. Just imagine?

Nyie siasa za vyama vingi mnachukulia ni ugomvi na fujo kwenu huko sasa kila kitu mmechukulia siasa ata timu yenu inakufa sababu ya siasa za kipuuzi.

Sasa nimeshanga mpaka hizi kampeni kazi yenu ni kuzomea zomea wagombea msiowunga mkono. Sasa sielewi ukishazomea ndio utapata nini na fujo tangu mzianze mmepata nini.

Mbeya inasikitisha imekuwa inawaiga watu wa arusha. Watu wa arusha wanajulikana hao hatuna tatizo nao cha arusha ndio tatizo. Sasa nyie mtaishi hivyo mpaka lini.

Sasa naomba mchukue ushauri wangu mbadilike, msijifanye nyie mnauchungu na chama kuliko watu wa kilimanjaro.

Msipobadilika mwaka huu mtailaumu serikali maana mzee jakaya kawalea sana. Badilisheni siasa zenu ziwe za kijanja or else.
hata hatubadiriki we endelea tu na yako
 
Dawa yenu iko motoni na sawa ni kuondoka wabunge wahuni kuongoza majiji makubwa ndo mtajua mwaka huu,

Akili zako fupi, kama hujui majiji yote yako chini ya UKAWA hakuna wa kubadilisha
 
Watu wa mji wa Mbeya wamekuwa ni watu wa ajabu sana. Wanafanya siasa za kitoto sana zisizo za kistaarabu.

Kwa sasa ukizungumzia Mbeya ni kama unazungumzia mji wa 'masela ma..' awa watu walimzomea mpaka rais wa nchi na sababu hawana.

Mji sasa unaongozwa na mawazo ya Sugu na mnamuita rais wenu.. Just imagine?

Nyie siasa za vyama vingi mnachukulia ni ugomvi na fujo kwenu huko sasa kila kitu mmechukulia siasa ata timu yenu inakufa sababu ya siasa za kipuuzi.

Sasa nimeshanga mpaka hizi kampeni kazi yenu ni kuzomea zomea wagombea msiowunga mkono. Sasa sielewi ukishazomea ndio utapata nini na fujo tangu mzianze mmepata nini.

Mbeya inasikitisha imekuwa inawaiga watu wa arusha. Watu wa arusha wanajulikana hao hatuna tatizo nao cha arusha ndio tatizo. Sasa nyie mtaishi hivyo mpaka lini.

Sasa naomba mchukue ushauri wangu mbadilike, msijifanye nyie mnauchungu na chama kuliko watu wa Kilimanjaro.

Msipobadilika mwaka huu mtailaumu serikali maana Mzee Jakaya kawalea sana. Badilisheni siasa zenu ziwe za kijanja or else.

Usitishe watu wewee, mbona lowassa aliwahi zomewa akitafuta wafadhili, Sasa wakizomea magufuli ndio ajabu gani, si lazima apendwe kila mahali na hajachaguliwa bado anasubiri tumchague ndio maana anatujia na pushup kutuomba kura, wananchi ndio watu wa muhimu wakati huu kuliko kiongozi yoyote yule, we huoni madiwani na wabunge wa CCM wengine wanaomba kura kwa kupiga magoti, ili waonewe huruma, ni mbele kwa mbele, mwenye kupata apate na kukosa akose, usilete ukoloni mambo leo... Hiyo ni sehemu ya kazi za siasa
 
nyie mnao walaumu watu wa mbeya,nimegundua bado mmpo nyuma Sana kisiasa.
hivi kweli mnatambua maana ya strong hold? mbeya ni strong hold ya chadema,mgombea wa chama kingine anapoenda anatakiwa afanyensiasa za Ku convince ili asizomewe,ila akileta siasa taka za kumchafua kipenzi cha watu wa eneo husika.
tujifunze kufanya siasa safi,that's just a signal .
 
Oct25 yatafanyika matanga ya ccm...anaebisha akale chumvi. Hatuna muda wa kupoteza kusikiliza ccm tena. Miaka 50+ imetosha kutapeliwa na mafisiemu. Ccm hakifai hata kuwa wapinzani, this time kinakwenda kufa jumla kama vilivyokufa vyama vingine. Watch out and wake up, it's time for CHANGE.

Mm nadhani ungeanza kufa, kwani ccm bado itaendelea kukaa ikulu, na kwa sababu wapinzani wamejichanganya, imekula kwao, na utashangaa sana, mtapigwa urais, ubunge na udiwani, kilichopo ni kelele ambazo zimezoeleka kwa Mbowe na wapambe wake, kwani leo tume imekuwa huru? hiyo kura yako unaiharibu bure mpigie Makufuri. Mbowe mwenyewe kaanza kujihami oh mara kura feki zimeingia, amekwisha kuelewa, ww ndo bado unakunywa uji wa mgonjwa.
 
Ha ha haa, nasikia hakupata hata nafasi ya kupiga push up jukwaani...watu wa Mbeya kiboko. Wastaarabu hupiga push up kwenye gym au nyumbani na si majukwaani.

Vipi wanaojinyea majukwaani ndio wastaarabu si ndivyo!
 
Sijui nicheke! Sasa ww ni kama nani katika nchi hii

hahaha amevurjgikiwa ushauri huu afanyie nyumbani kwake na familia yake ..

mtu anaenda kucheza viduku wasimzomee kwann...

watu wanahitaji mabadiliko na si blah blah
 
Mm nadhani ungeanza kufa, kwani ccm bado itaendelea kukaa ikulu, na kwa sababu wapinzani wamejichanganya, imekula kwao, na utashangaa sana, mtapigwa urais, ubunge na udiwani, kilichopo ni kelele ambazo zimezoeleka kwa Mbowe na wapambe wake, kwani leo tume imekuwa huru? hiyo kura yako unaiharibu bure mpigie Makufuri. Mbowe mwenyewe kaanza kujihami oh mara kura feki zimeingia, amekwisha kuelewa, ww ndo bado unakunywa uji wa mgonjwa.

Pole monges...
Nakushauri usijekimbia jf after Oct25. Ukitaka kujua ugumu wanaoupata hao vibudu wako mafisiemu waulize akina nappe, kinnana, lukuvvi, makammba na makufuli mwnywe. Ww kibaraka unasumbuka burhe kukomaa na propaganda uchwara huku. Wenzio wameshasahau hata ilani,,,wana kazi ya kupiga pushups, kucheza viduku na kutukana majukwaani ndimaana wakiingia kwny 18 za wanaojielewa wanaambulia kuzomewa. Hiyo ni alert tosha. Hzo buku7 zitakutokea puani. Come October 25 come!!!
 
Back
Top Bottom