Watu wa Mbeya mtabadilika lini?

Watu wa mji wa Mbeya wamekuwa ni watu wa ajabu sana. Wanafanya siasa za kitoto sana zisizo za kistaarabu.

Kwa sasa ukizungumzia Mbeya ni kama unazungumzia mji wa 'masela ma..' awa watu walimzomea mpaka rais wa nchi na sababu hawana.

Mji sasa unaongozwa na mawazo ya Sugu na mnamuita rais wenu.. Just imagine?

Nyie siasa za vyama vingi mnachukulia ni ugomvi na fujo kwenu huko sasa kila kitu mmechukulia siasa ata timu yenu inakufa sababu ya siasa za kipuuzi.

Sasa nimeshanga mpaka hizi kampeni kazi yenu ni kuzomea zomea wagombea msiowunga mkono. Sasa sielewi ukishazomea ndio utapata nini na fujo tangu mzianze mmepata nini.

Mbeya inasikitisha imekuwa inawaiga watu wa arusha. Watu wa arusha wanajulikana hao hatuna tatizo nao cha arusha ndio tatizo. Sasa nyie mtaishi hivyo mpaka lini.

Sasa naomba mchukue ushauri wangu mbadilike, msijifanye nyie mnauchungu na chama kuliko watu wa Kilimanjaro.

Msipobadilika mwaka huu mtailaumu serikali maana Mzee Jakaya kawalea sana. Badilisheni siasa zenu ziwe za kijanja or else.

ushauri wa kipuuzi kawapelekee magamba wenzio hapa sio mahala pake sawa, wewe una uzito kutuletea ushauri ukashindwa kumpa ushari bombe na kubinuka jukwaani na push ups??? Kwenda zako
 
Watu wa mji wa Mbeya wamekuwa ni watu wa ajabu sana. Wanafanya siasa za kitoto sana zisizo za kistaarabu.

Kwa sasa ukizungumzia Mbeya ni kama unazungumzia mji wa 'masela ma..' awa watu walimzomea mpaka rais wa nchi na sababu hawana.

Mji sasa unaongozwa na mawazo ya Sugu na mnamuita rais wenu.. Just imagine?

Nyie siasa za vyama vingi mnachukulia ni ugomvi na fujo kwenu huko sasa kila kitu mmechukulia siasa ata timu yenu inakufa sababu ya siasa za kipuuzi.

Sasa nimeshanga mpaka hizi kampeni kazi yenu ni kuzomea zomea wagombea msiowunga mkono. Sasa sielewi ukishazomea ndio utapata nini na fujo tangu mzianze mmepata nini.

Mbeya inasikitisha imekuwa inawaiga watu wa arusha. Watu wa arusha wanajulikana hao hatuna tatizo nao cha arusha ndio tatizo. Sasa nyie mtaishi hivyo mpaka lini.

Sasa naomba mchukue ushauri wangu mbadilike, msijifanye nyie mnauchungu na chama kuliko watu wa Kilimanjaro.

Msipobadilika mwaka huu mtailaumu serikali maana Mzee Jakaya kawalea sana. Badilisheni siasa zenu ziwe za kijanja or else.

Mbeya kuna cha Malawi chalii yangu kama hujui!
 
Watu wa mji wa Mbeya wamekuwa ni watu wa ajabu sana. Wanafanya siasa za kitoto sana zisizo za kistaarabu.

Kwa sasa ukizungumzia Mbeya ni kama unazungumzia mji wa 'masela ma..' awa watu walimzomea mpaka rais wa nchi na sababu hawana.

Mji sasa unaongozwa na mawazo ya Sugu na mnamuita rais wenu.. Just imagine?

Nyie siasa za vyama vingi mnachukulia ni ugomvi na fujo kwenu huko sasa kila kitu mmechukulia siasa ata timu yenu inakufa sababu ya siasa za kipuuzi.

Sasa nimeshanga mpaka hizi kampeni kazi yenu ni kuzomea zomea wagombea msiowunga mkono. Sasa sielewi ukishazomea ndio utapata nini na fujo tangu mzianze mmepata nini.

Mbeya inasikitisha imekuwa inawaiga watu wa arusha. Watu wa arusha wanajulikana hao hatuna tatizo nao cha arusha ndio tatizo. Sasa nyie mtaishi hivyo mpaka lini.

Sasa naomba mchukue ushauri wangu mbadilike, msijifanye nyie mnauchungu na chama kuliko watu wa Kilimanjaro.

Msipobadilika mwaka huu mtailaumu serikali maana Mzee Jakaya kawalea sana. Badilisheni siasa zenu ziwe za kijanja or else.

Unataka watu waamini unacho amini we bwaha nini mbona hata makambako wamefanya hivo yaan hapo ndo wamebadilika wabadilike waende wapi
 
mtoa mada nakuunga mkono kabisa kwa mtazamo wako kuhusu siasa za Mbeya. Hata mimi ni mzaliwa wa huko lakini naishi Dar es Salaam. Kuna kipindi ninaona aibu kujitambulisha kuwa asili yangu ni Mbeya Mjini hasa nikiangalia aina ya Mbunge anayetuwakilisha. Eti Sugu ndiye Mbunge wetu !! What a shame. Halafu kuna mipumbavu iko pale maeneo ya Mwanjelwa huwezi kuwaambia kitu kuhusu Sugu wakati Sugu mwenyewe hakuna alichofanya pamoja na kuokota ubunge wa Mbeya kama embe lililoanguka chini. Watu wa Mbeya mjini wamejaa ushamba na ushabiki usio namaana na ndiyo maana hata maendeleo yanawakimbia kwenda mikoa mingine. sasa nawambia warudie makosa ya kumchagua Sugu tena ndiyo wataendelea kuwa na JIJI lenye nyumba za matope na vibarabara vya uchochoro.

Wewe kweli hamnazo. Kuishi Dar ndio unaona umewin sana hadi unatukana vijana Wa Mbeya hivyo?
Acha ushamba wewe, hao wabunge wengine unaowaona wamaana kuliko Sugu wamefanya kipi majimboni mwao?

Unaifananisha Mbeya na mkoa gani?... Mbeya ipo juu sana mtumwa wee.
 
ushauri wa kipuuzi kawapelekee magamba wenzio hapa sio mahala pake sawa, wewe una uzito kutuletea ushauri ukashindwa kumpa ushari bombe na kubinuka jukwaani na push ups??? Kwenda zako
Watu hawaipendi ccm mpaka basi. Hizo kura wataiba mpaka wataanza kuona aibu
 
SUGU anahusikaje hapo? Maana JK, MKP waliipata freshi kule mbeya. Je SUGU alikuwa mbunge kipindi hicho? Watu wa CCM wana akili ndogo sana fikiria nje ya box na utoke ndani ya box
 
wabunge wa ccm wanaongoza kuzomea bungeni nao ni ukawa wanatoka mbeya?au nao ni masela?
 
Watu wa mji wa Mbeya wamekuwa ni watu wa ajabu sana. Wanafanya siasa za kitoto sana zisizo za kistaarabu.

Kwa sasa ukizungumzia Mbeya ni kama unazungumzia mji wa 'masela ma..' awa watu walimzomea mpaka rais wa nchi na sababu hawana.

Mji sasa unaongozwa na mawazo ya Sugu na mnamuita rais wenu.. Just imagine?

Nyie siasa za vyama vingi mnachukulia ni ugomvi na fujo kwenu huko sasa kila kitu mmechukulia siasa ata timu yenu inakufa sababu ya siasa za kipuuzi.

Sasa nimeshanga mpaka hizi kampeni kazi yenu ni kuzomea zomea wagombea msiowunga mkono. Sasa sielewi ukishazomea ndio utapata nini na fujo tangu mzianze mmepata nini.

Mbeya inasikitisha imekuwa inawaiga watu wa arusha. Watu wa arusha wanajulikana hao hatuna tatizo nao cha arusha ndio tatizo. Sasa nyie mtaishi hivyo mpaka lini.

Sasa naomba mchukue ushauri wangu mbadilike, msijifanye nyie mnauchungu na chama kuliko watu wa Kilimanjaro.

Msipobadilika mwaka huu mtailaumu serikali maana Mzee Jakaya kawalea sana. Badilisheni siasa zenu ziwe za kijanja or else
Sasa unatutisha au?we boya kweli kashauliane na bwanazako huko sio wanambeya.huku hatuangalii sura unazomewa tu ukileta mambo ya ajabu.


Kwa hisani ya mwanaccm
 
Watu wa mji wa Mbeya wamekuwa ni watu wa ajabu sana. Wanafanya siasa za kitoto sana zisizo za kistaarabu.

Kwa sasa ukizungumzia Mbeya ni kama unazungumzia mji wa 'masela ma..' awa watu walimzomea mpaka rais wa nchi na sababu hawana.

Mji sasa unaongozwa na mawazo ya Sugu na mnamuita rais wenu.. Just imagine?

Nyie siasa za vyama vingi mnachukulia ni ugomvi na fujo kwenu huko sasa kila kitu mmechukulia siasa ata timu yenu inakufa sababu ya siasa za kipuuzi.

Sasa nimeshanga mpaka hizi kampeni kazi yenu ni kuzomea zomea wagombea msiowunga mkono. Sasa sielewi ukishazomea ndio utapata nini na fujo tangu mzianze mmepata nini.

Mbeya inasikitisha imekuwa inawaiga watu wa arusha. Watu wa arusha wanajulikana hao hatuna tatizo nao cha arusha ndio tatizo. Sasa nyie mtaishi hivyo mpaka lini.

Sasa naomba mchukue ushauri wangu mbadilike, msijifanye nyie mnauchungu na chama kuliko watu wa Kilimanjaro.

Msipobadilika mwaka huu mtailaumu serikali maana Mzee Jakaya kawalea sana. Badilisheni siasa zenu ziwe za kijanja or else.


mwaka huu mtanyooka tu!
 
Aboud Jumbe alitimuliwa kutoka Kyela, Mbeya, baaada ya serikali kufunga maduka binafsi miaka ya 1970 akaahidi kutorudi tena Mbeya! Alipanda jukwaani akasema TANU oyeeee, wananchi wakajibu kwa kishindo Ziiiiiiiiiiii!!!!!! Mkutano ukafungwa hapo hapo!

Magufuli juzi imebidi awasalimie watu wa Mbeya "Chadema Oyeeeee!!! Peoples's........" Hakuna sehemu nyingine Magufuli kafanya hivyo.

Sasa nadhani unapata picha kamili ya watu wa Mbeya


Wewe unaona hiyo ni akili?

Hapana Mkuu, sioni kama ni akili kwa Magufuli kusalimia watu wa Mbeya Chadema Oyeeeee na Peoples!
 
Watu wa mji wa Mbeya wamekuwa ni watu wa ajabu sana. Wanafanya siasa za kitoto sana zisizo za kistaarabu.

Kwa sasa ukizungumzia Mbeya ni kama unazungumzia mji wa 'masela ma..' awa watu walimzomea mpaka rais wa nchi na sababu hawana.

Mji sasa unaongozwa na mawazo ya Sugu na mnamuita rais wenu.. Just imagine?

Nyie siasa za vyama vingi mnachukulia ni ugomvi na fujo kwenu huko sasa kila kitu mmechukulia siasa ata timu yenu inakufa sababu ya siasa za kipuuzi.

Sasa nimeshanga mpaka hizi kampeni kazi yenu ni kuzomea zomea wagombea msiowunga mkono. Sasa sielewi ukishazomea ndio utapata nini na fujo tangu mzianze mmepata nini.

Mbeya inasikitisha imekuwa inawaiga watu wa arusha. Watu wa arusha wanajulikana hao hatuna tatizo nao cha arusha ndio tatizo. Sasa nyie mtaishi hivyo mpaka lini.

Sasa naomba mchukue ushauri wangu mbadilike, msijifanye nyie mnauchungu na chama kuliko watu wa Kilimanjaro.

Msipobadilika mwaka huu mtailaumu serikali maana Mzee Jakaya kawalea sana. Badilisheni siasa zenu ziwe za kijanja or else.
Ina maana wewe mpaka umri huo hujui kuwa kuzomea ni njia ya kistaarabu ya kumwambia mtu mkubwa/mzima kuwa hutakiwi na tafadhali ona haya uondoke zako?haiingii akili watu wazima kwa miaka Zaidi ya 50 mnakuja kuwaimbisha watu wazima wenzenu uongo ule ule tofauti tu mnabadilisha mtangaza uongo halafu mutegemee kushangiliwa?zomea itawahusu sana mwaka huu!
 
Nakubaliana na wewe mkuu, sio wana Mbeya wote wenye matatizo . Kina mama wa Mbeya kwa mfano ni kina mama wastarabu sana ata wazee wa huko ni wema, tatizo ni hiki kizazi kilichokuja juzi na kikakosa akili kamili sijui kilitokea wapi! Watu wapo karne ya technology wao wanarudi kwenye ujima yani kwa akili zao ukiwawekea jiwe wanalichagua kweli sasa hizi akili sio za binadamu aliyekanilika hii ni jamii ya primates.
Hebu achene kujitoa ufahamu hapa !ina maana wote hamjui tafsiri ya kuzomea?waambieni hicho chama chenu kiache kutangaza uongo(ilani) inaupigia debe kwa miaka 50 ndipo wananchi wataacha kuwazomea!kuna ahadi yeyote mpya waliyoitoa hao Zaidi ya zilezile kanakwamba ndio mara yao ya kwanza kuingia kwenye uchaguzi na utawala unaoisha hawana nasaba nao?zomea zomea inawahusu sana mwaka huu!
 
Lawama zote anatakiwa azibebe Magufuli maana yeye alikuwa anapiga push up vijana wakajua labda jamaa amechanganyikiwa.... na kwa kuwa Mbeya ni wastaarabu sana wakahamua kumzomea ....walikuwa hawajui kuwa push up ni sehemu ya sera za ccm...UKOMANDOO WA KUIBA KURA!
 
Back
Top Bottom