Kunywa maji baada au kabla ya kula?

Sundii

Member
May 6, 2020
27
31
Habari za sahizi. Naomba ufafanuzi wa kina!!

Hivi Ni wakati gani sahii/mzuri wa KUNYWA MAJI?

KUNYWA mdji KABLA ya Kula? Au KUNYWA MAJI BAADA ya Kula?

Elezea na sababu za kisayansi kabisa
 
Kunywa maji kabla ya kula kutakusaidia usile chakula kingi kupitiliza hasa kwa wale wanaoathiriwa na ladha ya chakula.

Kunywa maji wakati unakula ,kutasaidia mmeng'enyo wa chakula uwe rahisi zaidi.

Kunywa baada ya kula hakuna faida sna kama hivyo vya juu umevitekeleza .


Note. Ni muhimu sana wakati unakula fikra ,matendo na hisia zako zote ziwe kwenye mchakato mzima wa kula.

Kumbuka kutokuzingatia sna ladha ya chakula wakati wakula ,kwani hii hukufanya ule kupita kiasi.
 
Maji yana protini ukiyanywa kabla ya kula utashiba halafu utakula chakula kidogo na baada ya muda mfupi utajisikia njaa na kutaka kula tena
 
Kunywa maji kidogo sana kabla ya kula kulainisha tu koo,halafu kula chakula hadi kipimo chako halafu shushia kwa maji kidogo kama ½ glasi hivi.Chakula kikishamengenywa lazima utahisi kiu hapo sasa ndo unywe maji ya kutosha.
 
Sundii kiafya inatakiwa kunywa maji walau dakika 45 kabla ya kula chakula au kunywa maji dakika 45 baada ya kula chakula.

Unapokunywa maji wakati mmoja na chakula au dakika chache sana baada au kabla ya kula unaharibu virutubisho vya chakula ulichokula. Formula ya kula matunda ni hii hii kama ya maji.

Weka interval ya muda kwa kila aina moja ya kitu unachoingiza tumboni ili kilete faida kwenye mwili wako. Maana yake, chakula kipishane muda na maji au matunda, Matunda yapishane muda na chakula au maji, Maji yapishane muda na chakula au maji.
 
Back
Top Bottom