de Gunner
JF-Expert Member
- Nov 2, 2021
- 11,824
- 23,778
- Thread starter
- #21
Acha kujitetea wewe..Unatafuta umaarufu usio kusaidia chochote kifupi una utoto mwingi
Tukija kwenye hoja yako, watu wa dar ni wazembe, sijui wavivu, au wachafu, umefanya research ukaona ni wote? Huko mikoani hakuna wazembe, hakuna wavivu hakuna wachafu, yaani wote ni wachapa kazi?? Ingekuwa hivyo mbona kuna mikoa inaongoza kwa umasikini, kuna mikoa inaongoza kwa omba omba, kuna mikoa Tasafu inashinda huko ingekuwa wachapakazi kungekuwa na maendeleo
Uchafu ni Tanzania nzima ndio maana unaona hata Raisi kuwaagiza wakuu wa mikoa kushughulika na mazingira
Research gani bongo? Nimeishi na kujiona kwa hiyo macho yangu na ya wengine ya nadanganya mpaka yawe verified na research uchwara?