Watu wa Dar ni washamba

Watu wa Dar ni washamba

Unatafuta umaarufu usio kusaidia chochote kifupi una utoto mwingi

Tukija kwenye hoja yako, watu wa dar ni wazembe, sijui wavivu, au wachafu, umefanya research ukaona ni wote? Huko mikoani hakuna wazembe, hakuna wavivu hakuna wachafu, yaani wote ni wachapa kazi?? Ingekuwa hivyo mbona kuna mikoa inaongoza kwa umasikini, kuna mikoa inaongoza kwa omba omba, kuna mikoa Tasafu inashinda huko ingekuwa wachapakazi kungekuwa na maendeleo

Uchafu ni Tanzania nzima ndio maana unaona hata Raisi kuwaagiza wakuu wa mikoa kushughulika na mazingira
Acha kujitetea wewe..
Research gani bongo? Nimeishi na kujiona kwa hiyo macho yangu na ya wengine ya nadanganya mpaka yawe verified na research uchwara?
 
Baada ya kuishi Dar.. Nimegundua essentially watu wanao run hili jiji ni makabila mengine kabisa...

Wazawa ni mazombie..

Kazi Kukesha vibarazani, kupiga zogo..

Hakuna jamii nzembe kama waishio ukanda wa bahari.. Sijui nini tu... Kazi kupakia chakula junk tu.. Mijitu imefutuka kama viboko.

Watu wa Dar, hawana staha kabisa, watoto hawasalimii wakubwa, utasalimiwa kama huyo dogo umezoea kumpa hela tu..

Kutukana matusi ni kama kiunganishi kama sentensi zao..

Alafu cha kuongeza, watu wa Dar ni wa chafu, mtu anafanya biashara ukiangalia mazingira kuna uchafu... Mtu anauza matunda, nzi wamezunguka... Na hajistukii.. Inshort mnasemaga watu wa mikoani washamba ila majitu ya Dar.. Ovyo kabisa.

Kazi zao, ni udalali, uwinga, uchawa na kutaka miteremko tu...

Ndo maana sisi ambao tunaishi huku tunayatawala tu.
Kuna ukweli kiasi kikubwa
 
Unatafuta umaarufu usio kusaidia chochote kifupi una utoto mwingi

Tukija kwenye hoja yako, watu wa dar ni wazembe, sijui wavivu, au wachafu, umefanya research ukaona ni wote? Huko mikoani hakuna wazembe, hakuna wavivu hakuna wachafu, yaani wote ni wachapa kazi?? Ingekuwa hivyo mbona kuna mikoa inaongoza kwa umasikini, kuna mikoa inaongoza kwa omba omba, kuna mikoa Tasafu inashinda huko ingekuwa wachapakazi kungekuwa na maendeleo

Uchafu ni Tanzania nzima ndio maana unaona hata Raisi kuwaagiza wakuu wa mikoa kushughulika na mazingira
Kwa hiyo ni mpaka rais aagize wasaidizi wake? Hao wasaidizi walikuwa hawaoni uchafu? Na mbona tumeongea sana hapa kwenye jukwaa. Rais ni leo anaona uchafu?
 
Kwa hiyo ni mpaka rais aagize wasaidizi wake? Hao wasaidizi walikuwa hawaoni uchafu? Na mbona tumeongea sana hapa kwenye jukwaa. Rais ni leo anaona uchafu?
Si kasema alikuwa anawabeba na ndio maana anawahamisha, na pengine hakai sana nchini ndio maana haoni
 
Wanaochafua jiji letu zuri ni nyie nyie waluga waluga wa Itigi,
Mzaramo afanye kazi ya nini wakati mshamjazia maghorofa kibao kazi yake kula ushuru tu, mnawaonea wivu
Wewe kabila gani kwanza?

Mzaramo na magorofa wapi na wapi?

Mimi sio wa itigi, usinifananishe na aina hiyo ya washamba. Mimi ni msukuma mjanja wa katoro..
 
Wewe kabila gani kwanza?

Mzaramo na magorofa wapi na wapi?

Mimi sio wa itigi, usinifananishe na aina hiyo ya washamba. Mimi ni msukuma mjanja wa katoro..
Hayo maghorofa yaliooteshwa Dar kwenye ardhi ya nani? washamba na wachafu ni nyie waluga luga mnakula ndizi au machungwa maganda mnatupa kwenye lami, mnatema tema mate hovyo, hamuogi mnanuka makwapa, jiji letu enzi hizo lilikua safi limestaarabika
 
Back
Top Bottom