Watu wa Dar ni washamba

Watu wa Dar ni washamba

Nuulize anajua mwenyewe.
Skia Confession nilisha kuambia don't mess up, ila bado unaendelea sasa, unakuja na ID ya hydroxo na hata kujificha kwa picha nako umeshindwa kmmk..
Nilichagua amani for my own peace of mind lakini naona huchoki.

Ulianza PM na leo unanitag kwenye thread. Unataka nini from me

7 years nipo jf bila ugomvi na mtu but it seems upo dedicated. Endelea tu
 
Nilichagua amani for my own peace of mind lakini naona huchoki.

Ulianza PM na leo unanitag kwenye thread. Unataka nini from me

7 years nipo jf bila ugomvi na mtu but it seems upo dedicated. Endelea tu
Anamchokoza hadi bubu!
Angeshakuja kukujibu ila nina uhakika mods wamempiga ban ya kucomment
 
Mbona mleta uzi anashambuliwa binafsi badala ya kujibu hoja zake,je ni kweli ni wavivu,wapiga soga,wachafu,wapenda dezo
 
320F7737-BFB7-4B5C-A6D7-E574BD79F0FE.jpeg
 
Humu ndani hakuna mshamba labda kama wewe umetoka mikoani...

1788629162710.png
 
Back
Top Bottom