Miss Natafuta
JF-Expert Member
- Sep 16, 2015
- 25,559
- 45,879
Una huruma sana me hata mwakani nisingemfataHata mimi niliwahi kumuacha mtu sababu ya ujinga wake. Alipofika ndio ananiambia niende nikamchukue,wakati anatoka mkoani hakuniambia.
Nikamwambia alale hapo, nitaenda kesho asubuhi kwa kuwa huku niliko kwa majira haya kuna Panya road.
Aligongwa na mbu usiku mzima nikaenda kesho saa 4 asubuhi.
Hilo lilikuwa fundisho, kwa sasa kila akitaka kuja lazima anipigie.