Watoto wazuri na zawadi ya iPhone

Watoto wazuri na zawadi ya iPhone

Ponjoro wa Kinondoni

JF-Expert Member
Joined
Jan 5, 2024
Posts
2,882
Reaction score
7,916
Kuna wadada wamejaaliwa utamu na kipaji cha mahaba kitandani.

Cha msingi usimtongoze kizembe, wewe ni mwanaume, mtafutaji, mnunulie iPhone 16 pro max na saa yata ya laki 5 tu, utanishukuru.

Yani unapewa kwa moyo wote na hapo ndio utaona utam wa mwanamke.

October tunatiki kumuunga mkono mama yetu wa kizimkazi, halafu mwambieni mama sa100 hatutanii, no reforms no election.
 
Nyie ndio mnatuharibia wanawake. Unamhonga hivyo halafu unamuacha, matokeo yake sisi tukimtumia elfu 50 anatuona kama mbuzi tu..

Ukimhonga mwanamke kiasi icho uhakikishe unamuoa kabisa maana ukimuacha sisi wengine hatumuwezi sasa unamuachia nani..? 🤨
mnunulie iPhone 16 pro max na saa hata ya laki 5 tu
 
Kuna wadada wamejaaliwa utamu na kipaji cha mahaba kitandani.

Cha msingi usimtongoze kizembe, wewe ni mwanaume, mtafutaji, mnunulie iPhone 16 pro max na saa yata ya laki 5 tu, utanishukuru.

Yani unapewa kwa moyo wote na hapo ndio utaona utam wa mwanamke.

October tunatiki kumuunga mkono mama yetu wa kizimkazi, halafu mwambieni mama sa100 hatutanii, no reforms no election.
Utamuoa wewe au ataolewa na wenye uwezo wa Tecno😒
 
Kuna wadada wamejaaliwa utamu na kipaji cha mahaba kitandani.

Cha msingi usimtongoze kizembe, wewe ni mwanaume, mtafutaji, mnunulie iPhone 16 pro max na saa yata ya laki 5 tu, utanishukuru.

Yani unapewa kwa moyo wote na hapo ndio utaona utam wa mwanamke.

October tunatiki kumuunga mkono mama yetu wa kizimkazi, halafu mwambieni mama sa100 hatutanii, no reforms no election.
hii nchi Ina vijana wa hovyo sana na wewe ponjoro ukiwemo maamae!
 
Nyie ndio mnatuharibia wanawake. Unamhonga hivyo halafu unamuacha, matokeo yake sisi tukimtumia elfu 50 anatuona kama mbuzi tu..

Ukimhonga mwanamke kiasi icho uhakikishe unamuoa kabisa maana ukimuacha sisi wengine hatumuwezi sasa unamuachia nani..? 🤨
Usiogope wewe oa tu, mchango tutatoa, mambo yakiwa magumu tutasupport pia ili ndoa yenu idumu. Ila ukiwa unaomba game akakwambia amechoka sana elewa.
 
Back
Top Bottom